darcity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2009
- 9,101
- 18,055
Wanasitisha vipi uokoaji? Hivi vitu vinatia hasira. Kwa hiyo kesho wataenda kuokoa maiti? Ni binadamu gani anaweza kuishi ndani ya maji kwa zaidi ya masaa kumi huku akipigwa baridi!? JWTZ hawana meli au boti ziwani Victoria? Polisi nao hawana vifaa vya uokozi? Hata kama umaskini hii too much.
Poleni mliofiwa,
poleni mliojeruhiwa,
Mwenyezi Mungu awanusuru na kuwalinda waliopo ziwani wakiwa hai.
Mungu awapokee kwa amani waliofariki
Poleni mliofiwa,
poleni mliojeruhiwa,
Mwenyezi Mungu awanusuru na kuwalinda waliopo ziwani wakiwa hai.
Mungu awapokee kwa amani waliofariki