Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Kazi ya uokozi haijakamilika unatangaza namna ya kufanya mazishi na yawe ya namna gani huyu waziri bana nilidhani angekuwa field akishughulikia namna ya kuokoa habr za mazishi atoe hata waziri wa habari kuonyesha hata kwa kufake kuwa alisaidia yeye anaandaa mazishi na viongozi gani wahudhurie

Hizo gharama za mazishi kwanini mchana wa jana wasingenunua taa ili zisaidie kuondoa giza walilodai kuwa kikwazo kwa wao kuokoa sijui mawaziri wetu wapo kujibu tu maswali bungeni au vipi maana kwenye vitu vya msingi ambapo tungeona uwajibikaji wao hatuuoni kabisa kwa waziri makini hii ilikuwa sehemu ya kushughulika kwelikweli habari za mazishi angetangaza hata mkuu wa mkoa
[emoji818][emoji818][emoji818]
 
Nimesikitika sana kusoma kwamba sababu ya kivuko kupinduka ni abiria kukimbilia upande mmoja ili wawahi kushuka kivuko kikitia nanga, hivyo kupelekea kivuko kuzama. Abiria wanatakiwa kupewa elimu ya jinsi uwiano wa uzito ulivyo muhimu kwa kivuko kuelea majini.Nashauri kwenye vivuko kuwe na "vessel attendants" kama ilivyo kwa "flight attendants" kwenye ndege ambao kazi yao ni kuelekeza abiria nini cha kufanya waingiapo kivukoni, wakati gani wa kuanza kujiandaa kushuka, kuonyesha jinsi ya kuvaa boya(maybe thru a tv screen)n.k. Hii ajali insingetokea iwapo kungekuwa na watu wa kuwazuia/elekeza abiria kusubiri walipo hadi kivuko kitie nanga.
Anyway, yameshatokea. Nawapa pole wote walioguswa kwa karibu na maafa haya.
RIP marehemu wote.
 
Dalili zimeanza kuonesha, baadhi ya Wanasiasa kudai watu flani wawajibike,wajiudhuru, mawazo ambayo yako kisiasa zaidi, ni kweli ipo sababu iliyopelekea kutokea ajali hiyo mbaya, sababu zinaweza kuwa ni za uzembe wa kibinadamu,au za kitaalamu(mechanical problems), hivyo kwenda moja kwa moja kwenye(human error) tutakuwa hatuwatendei haki wataokumbwa na sakata.

Itakuwa kisiasa zaidi, hivyo kabla ya yote Mashauri uchunguzi wakina ufanyike, isije kutokea kama ile ya Muhimbili kupasua kichwa badala ya mguu na mguu badala ya kichwa, maamzi ambayo yalipelekea kuwapoteza !adakitari bingwa wa mifupa na wenye uwezo mkubwa, ambao Mara moja Botswana iliwachukua hadi leo wanafanya maajabu huko.

Ikumbukwe mfano Prof. Kinasha alieleza kwamba alikuwa ameshafanya upasuaji wa kichwa kwa watu 1,008 na wote walipona, na huyu ambaye ni bahati mbaya alikuwa wa 1,009. Sasa akahukumiwa kwa kosa moja tu !!!!

Hii ilikuwa kisiasa zaidi ikiongozwa na Prof. Mwakyusa, Sikatai kuwa uzembe ni mbaya na unaweza kugharimu maisha ya watu, jambo ambalo kamwe halikubaliki wala kuvumilika.

Lakini pia sikubaliani kuona kuwa watu wanaadhibiwa kwa mintarafu ya kisiasa, watu kutafuta kiki za kuonekana na jamii kwamba wamechukua hatua. Ajali hutokea kokote kule hata Ulaya na marekani, mfano Nyambizi ilizama, je nani aliwajibishwa?

Ndege aina ya Conctord iliua watu kibao je nani alifukuzwa kazi? Tusilione limetokea hapa kwetu, sasa ukawa muda wa wanasiasa kuishutumu Serikali nakuitaka kufukuza watumishi wake kwa madai kwamba wamefanya uzembe.

Kikubwa hapa ili Wanasiasa waoneshe kukomaa kwao wanatakiwa kuitaka Serikali kufanya uchunguzi wa kina juu ya sababu zilizopelekea ajali hii mbaya. Huu ni Ushauri tu na si vinginevyo.
 
Bajeti ya kununua hivo vivuko inapitishwa na wanasiasa.
Matengenezo yanategemea msukumo wa wanasiasa.
Usimamizi unategemea wataalamu na wanasiasa.
Hilo eneo lilihitaji zaidi ya kivuko kilichozama, pia ilihitaji wanasiasa wafanye maamuzi,
Vifaaa vya uokozi kwa jeshi la polisi na majeshi mengine yanahitaji wanasiasa wapitishe bajeti

Unatenganisha vipi siasa na matukio ya kizembe kama haya iwapo kina watu wanapaswa kuwajibika?

Mkuu wa Mkoa awajibike
Waziri wa uchukuzi awajibike
Polisi wawajibike kwa uzembe
SUMATRA wawajibike
 
Hivi, unafahamu kwamba kuna vyanzo vya uhakika vinasema kwamba abiria walokuwamo humo kwenye kivuko ni zaidi ya 200?

Na pia hakuna anaefahamu zaidi ikwamba inawezekena abiria wakawa zaidi ya 400 aana wengi walokuwa wakienda gulioni?

Sasa waziri wa uchukuzi anaingiaje hapo?

Cha msingi ni kwamba kivuko ni kizima na hakikuwa na kasoro yoyote ile kwani hivi karibuni kilipata injiini mbili mpya.

Suala linaanzia kwenye msimaizi wa hicho kivuko ambae anasimamia kwamba ni tiketi ngapi ziuzwe na abiria wangapi waruhusiwe kuingia kwenye kivuko.

Hivyo usimamizi kwamba kivuko kinabeba uzito upi, namba ya abiria, mizigo na korokoro zingine si jukumu la waziri.

Hilo ni jukumu la wasimamizi wa kivuko ambao ndo wanapaswa kuwajibishwa.


..una uhakika gani kama hizo "injini mpya" hazikuwa na matatizo?

..na pia kivuko kuwa na "injini mpya" haimaanishi kwamba hakina matatizo ktk maeneo mengine.

..kwa maoni yangu it is too early kujua chanzo cha ajali hiyo ni nini.

..Uchunguzi huru wa kitaalamu unatakiwa kufanyika kubaini kivuko kilipatwa na matatizo gani na kupelekea kizame/kupinduka.
 
Dalili zimeanza kuonesha, baadhi ya Wanasiasa kudai watu flani wawajibike,wajiudhuru, mawazo ambayo yako kisiasa zaidi, ni kweli ipo sababu iliyopelekea kutokea ajali hiyo mbaya, sababu zinaweza kuwa ni za uzembe wa kibinadamu,au za kitaalamu(mechanical problems), hivyo kwenda moja kwa moja kwenye(human error) tutakuwa hatuwatendei haki wataokumbwa na sakata. Itakuwa kisiasa zaidi, hivyo kabla ya yote Mashauri uchunguzi wakina ufanyike, isije kutokea kama ile ya Muhimbili kupasua kichwa badala ya mguu na mguu badala ya kichwa, maamzi ambayo yalipelekea kuwapoteza !adakitari bingwa wa mifupa na wenye uwezo mkubwa, ambao Mara moja Botswana iliwachukua hadi leo wanafanya maajabu huko. Ikumbukwe mfano Prof. Kinasha alieleza kwamba alikuwa ameshafanya upasuaji wa kichwa kwa watu 1,008 na wote walipona, na huyu ambaye ni bahati mbaya alikuwa wa 1,009. Sasa akahukumiwa kwa kosa moja tu !!!! Hii ilikuwa kisiasa zaidi ikiongozwa na Prof. Mwakyusa, Sikatai kuwa uzembe ni mbaya na unaweza kugharimu maisha ya watu, jambo ambalo kamwe halikubaliki wala kuvumilika. Lakini pia sikubaliani kuona kuwa watu wanaadhibiwa kwa mintarafu ya kisiasa, watu kutafuta kiki za kuonekana na jamii kwamba wamechukua hatua. Ajali hutokea kokote kule hata Ulaya na marekani, mfano Nyambizi ilizama, je nani aliwajibishwa? Ndege aina ya Conctord iliua watu kibao je nani alifukuzwa kazi? Tusilione limetokea hapa kwetu, sasa ukawa muda wa wanasiasa kuishutumu Serikali nakuitaka kufukuza watumishi wake kwa madai kwamba wamefanya uzembe. Kikubwa hapa ili Wanasiasa waoneshe kukomaa kwao wanatakiwa kuitaka Serikali kufanya uchunguzi wa kina juu ya sababu zilizopelekea ajali hii mbaya. Huu ni Ushauri tu na si vinginevyo.
Waambie hawa hayo mawazo yako UVCCM KUSHIRIKI UOKOAJI ZIWA VICTORIA - JamiiForums
 
Kazi ya uokozi haijakamilika unatangaza namna ya kufanya mazishi na yawe ya namna gani huyu waziri bana nilidhani angekuwa field akishughulikia namna ya kuokoa habr za mazishi atoe hata waziri wa habari kuonyesha hata kwa kufake kuwa alisaidia yeye anaandaa mazishi na viongozi gani wahudhurie

Hizo gharama za mazishi kwanini mchana wa jana wasingenunua taa ili zisaidie kuondoa giza walilodai kuwa kikwazo kwa wao kuokoa sijui mawaziri wetu wapo kujibu tu maswali bungeni au vipi maana kwenye vitu vya msingi ambapo tungeona uwajibikaji wao hatuuoni kabisa kwa waziri makini hii ilikuwa sehemu ya kushughulika kwelikweli habari za mazishi angetangaza hata mkuu wa mkoa
Kudos!
Yaani nadhani hata adui akitushambulia usiku kupitia ziwa Victoria tutasema hatuna taa ya kumlika kufanya mashambulizi.
Ina maana Mwanza hatuna Navy force yenye boti na vifaa vya uokozi?
Jeshi letu la wanamaji hawawezi ku respond kwa catastrophe kama hii, sasa tutakuwa tayari lini?
Tunasubiri South Africa watuletee wanamaji kuokoa kama walivyofanya miaka 22 iliyopita??
Yaani hatupo tayari kwa disaster yeyote.
 
Ulitaka waokoaji nao wafe kwa kukosa vifaa vya kuokolea usiku hyo ndipo ujue walikuwa na uchungu wa watu waliozama, Na wewe jitafajari umeteleza [emoji102] [emoji102]
Bwana Panzi na Jongoo, acha kubwabwaja bwabwaja kama hayawani.

Wavuvi huvua usiku.Kwa umri wako hujawahi kuona taa inayoitwa KARABAI?

1537536947372.png


Nenda kwa wavuvi waombe wakuoneshe karabai ikiwashwa usiku inakuwaje halafu rudi uje kubwabwaja.

1537537256638.png
 
Dalili zimeanza kuonesha, baadhi ya Wanasiasa kudai watu flani wawajibike,wajiudhuru, mawazo ambayo yako kisiasa zaidi, ni kweli ipo sababu iliyopelekea kutokea ajali hiyo mbaya, sababu zinaweza kuwa ni za uzembe wa kibinadamu,au za kitaalamu(mechanical problems), hivyo kwenda moja kwa moja kwenye(human error) tutakuwa hatuwatendei haki wataokumbwa na sakata. Itakuwa kisiasa zaidi, hivyo kabla ya yote Mashauri uchunguzi wakina ufanyike, isije kutokea kama ile ya Muhimbili kupasua kichwa badala ya mguu na mguu badala ya kichwa, maamzi ambayo yalipelekea kuwapoteza !adakitari bingwa wa mifupa na wenye uwezo mkubwa, ambao Mara moja Botswana iliwachukua hadi leo wanafanya maajabu huko. Ikumbukwe mfano Prof. Kinasha alieleza kwamba alikuwa ameshafanya upasuaji wa kichwa kwa watu 1,008 na wote walipona, na huyu ambaye ni bahati mbaya alikuwa wa 1,009. Sasa akahukumiwa kwa kosa moja tu !!!! Hii ilikuwa kisiasa zaidi ikiongozwa na Prof. Mwakyusa, Sikatai kuwa uzembe ni mbaya na unaweza kugharimu maisha ya watu, jambo ambalo kamwe halikubaliki wala kuvumilika. Lakini pia sikubaliani kuona kuwa watu wanaadhibiwa kwa mintarafu ya kisiasa, watu kutafuta kiki za kuonekana na jamii kwamba wamechukua hatua. Ajali hutokea kokote kule hata Ulaya na marekani, mfano Nyambizi ilizama, je nani aliwajibishwa? Ndege aina ya Conctord iliua watu kibao je nani alifukuzwa kazi? Tusilione limetokea hapa kwetu, sasa ukawa muda wa wanasiasa kuishutumu Serikali nakuitaka kufukuza watumishi wake kwa madai kwamba wamefanya uzembe. Kikubwa hapa ili Wanasiasa waoneshe kukomaa kwao wanatakiwa kuitaka Serikali kufanya uchunguzi wa kina juu ya sababu zilizopelekea ajali hii mbaya. Huu ni Ushauri tu na si vinginevyo.
Siasa ni nini? Tuanzie hapo. Nchi inaongozwa na wanasiasa, bajeti inapangwa na kupitishwa na wanasiasa, maamuzi yanafanywa na wanasiasa, utekelezaji unasimamiwa na wanasiasa. Basi kama sio siasa itumike kilimo. Hata kilimo utaambiwa ni siasa ndio maana kuna siasa ni kilimo. Wewe unatetea kitu usicho kijua!
 
..mimi nadhani tumlaumu Mbunge wa Ukerewe anayetokea chama cha Chadema.

..kwanza, alipiga kura kukataa bajeti ya wizara ya uchukuzi.

..Mbunge alitegemea serekali itatoa wapi fedha za kununua au kukarabati vivuko?

..Pili Mbunge anapata milion 58 kila mwaka kwa ajili ya mfuko wa maendeleo. Angetumia fedha hizo kukarabati kivuko huenda ajali hii isingetokea.

Cc tindo
 
Ha ha ha....
Wazee wa kugharamia mazishi.
So sad[emoji24] [emoji24]
 
Habari ya mchana wana Jamvi
Natanguliza pole kwa ndugu wote waliofikwa na msiba wa kufa maji jamaa zao wa karibu.
Mungu awape faraja ya kipekee.
Kwa namna moja nimeshangazwa na maamuzi yaliyo fanywa na baadhi ya viongozi wetu Mwanza baada ya ajari kutokea.
Maamuzi ya kusitisha safari ya meli (boti) za Mv Clarias (serikali) na mv Nyeunge (mwarabu) zilizo kua zikifany safari yake kutoka Nansio kwenda Mwanza muda wa mchana ili kwenda kusaidia swala la uokoazi. Ambapo meli ya Mv clarias ilikua tayari imeanza safari ya Kueleke Mwanza ikabid irudi ishushe Abiria na kuelekea eneo la tukio vile vile Nyeunge ilifanya vivyo ivo pamoja na kushusha Magari yalio kua yakivushwa.
Sawa ni Jambo jema
Ila habari ya kusikitisha ni kuwa mpaka muda huu hizo meli hazijarudi kuendelea na Huduma yake ya kuvusha watu kati ya Nansio (Ukerewe) -Mwanza watu wamekwama watu wameshindwa kufika ma offisin watu wameshindwa kuvusha biashara zao watu washindwa kwenda kuona wagojwa wao, walio kua wakienda mbali wameachwa na ndege na hasara nyingine nyingi.
Je serikali haina mbadala wowote wa uwokozi kiasi kwamba Huduma za kijamii zimesimama?
Kwa nin serikali asinge agiza meli za mizigo zisaidei uokoaji izo za abiria zikaendelez Huduma?
Kwa nini wa si ruhusu meli moja itoe huduma na iyo moja iendelee na uokozi wa miili?
Au ni maamuzi ya bila kufikiria ya Viongozi wetu?

SAWA AJARI IMETOKEA ILA LAZIMA MAISHA YAENDELEE

PUMZIKENI KWA AMANI NDUGU ZETU . TUTAWAKUMBUKA DAIMA [emoji120]
"Every person is wise until when he speak or act"

Unajua umuhimu wa "priorities" if possible change your ID name to oldmind, to reflect your thoughts.
 
Mtu anasemwa live na mkuu wake lakini kagoma kujiuzulu; sasa itakuwa hili ambalo halimhusu mtu directly.

Kujiuzulu ni utamaduni wa watu waliostarabika; sisi bora kumekucha.!!
 
Back
Top Bottom