Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Mv Bukoba iliwezaje kusafiri usiku kucha tokea Bukoba ikaja kupindukia Mwanza kukiwa kushakucha? tatizo ni kujitia ujuaji kwa kila kitu, jana nilieleza humu sababu pekee ya meli kupinduka ni kukosa stability, hii husababishwa na maofisa wa meli kuzidisha mzigo, kumbuka chombo cha majini kinapoundwa huwekewa mstari wa ukomo wa mzigo ili kuwawezesha watumiaji na wakaguzi kubaini uzito stahiki kabla ya kuanza safari.


Meli inapoundwa huwekewa matanki ya maji kwa chini ili yaipe stability, kutokana na tamaa maafisa wanapoona wamezidisha mzigo na ili wasishtukiwe hupunguza maji kwenye matanki ili meli ipande juu mstari uonekane ili waruhusiwe kuondoka, kitendo hiki hupoteza stability ya meli,mzigo ukizidi tu upande mmoja meli itaoverturn sababu chini ni kwepesi kuliko juu, meli inapoondoka watu huwa wametulia sehemu zao na hivyo mzigo huwa evenly distributed, meli inapokaribia kutua nanga watu hurundikana sehemu moja hivyo meli kupinduka.
Mr,nadhani taarifa za awali za serikali na hasa ile iliyotolewa na Mh. Rais wetu sasazitakusaidia unielewe nilichomaanisa. Mimi naanza niamini maneno ya Mh Rais kwamba Kapteni wa ile meli hakuwepo kwenye uongozaji wa ile ferry. Yaani kwa watu tunaoyajua vzr kivitendo (acha nadharia) uliyoikariri mambo ya uendeshaji wa vyombo vya majini,tulikuwa na maswali mengi the way ile ajali ilitokea!
Haingewezekana overload pekee ndiyo ikawa imepelekea ile ferry kutumbukia kwa ghafla kiasi kile kwamba haikutoa nafas kwa nahodha wake kumudu kujiokoa. Anyway,kwa vile Mh.Rais keshasema uchunguzi wa kina ufanyike,tuwaamini wataalamu wetu watatuletea taarifa sahihi. But for me,apart from overloading there was a lackness of competent to our captain!
 
Amani iwe nanyi wapendwa.

Rais wetu mpendwa Dr Magufuli jana ametoa salamu za pole kwa wote waliofikwa na msiba kutokana na ajali ya Mv Nyerere, pia salamu hizo zimelengwa kwa watanzania wote kwa ujumla ndiyo maana akatangaza siku nne za maombolezo na bendera za taifa kupepea nusu mlingoti nchi nzima.

Jambo la pili amewashukia kama mwewe baadhi ya wanasiasa viherehere waliofilisika kichwani ,ambao kwao ajali ya Mv Nyerere wameigeuza kuwa fursa ya kupata kiki kisiasa.
Ikumbukwe kuwa mara baada ya kutokea ajali hiyo mwenyekiti wa chadema Freeman Mbowe aliitisha vyombo vya habari na kuanza kutafuta kiki kwa kujigeuza mahakama na kuanza kushutumu na kuhukumu watu kwa mambo asiyoyajua vizuri.

Pia Zito Kabwe na James Mbatia hawakuwa nyuma katika kutumia msiba huu kama mitaji yao ya kiki za kisiasa .
Inasikitisha sana viongozi wa vyama vya upinzani badala ya kuwahi eneo la ajali kwenda kutoa msaada kwa wapiga kura wao ,wanabaki twiter kukejeli wafiwa na kujijenga binafsi kisiasa bila kutoa msaada wowote!!!

Hongera sana Rais Magufuli kwa kuwavua nguo hawa wanasiasa uchwara ,wachumia tumbo na wanafiki ,ambao wao muda wote wanawaza siasa tu huku vyama vyao vikiwafia kwa kukimbiwa na wananchi..
Mkuu mbona umekua mpumbafu kiasi hiki?
 
Wakati zoezi la uopoaji miili ya wahanga wa ajali ya maji iliyotokana na kivuko cha Mv Nyerere kinachofanya safari zake kati ya Kisiwa cha Ukara na Bugorora wilayani Ukerewe, Mbunge wa Ukerewe, Joseph Mkundi amesema kivuko hicho kilifanyiwa ukarabati.

Amesema kuwa Kivuko hicho kilifanyiwa ukarabati miezi miwili iliyopita, hivyo kilikuwa sawa na kilikuwa mbioni kubadilishiwa ratiba ikiwemo kuongeza idadi ya safari ili kukidhi mahitaji ya wananchi wa eneo hilo.

“Kuhusu hoja yangu niliyoitoa bungeni, ilifanyiwa kazi ambapo tulikuwa tunahitaji injini mbili ambazo zilipatikana na zikafungwa labda tu suala ambalo lilikuwa bado tunalifanyia kazi ni kuona namna gani tunaweza kubadilisha idadi ya safari”, amesema Mkundi

Aidha, amesema kuwa yeye mwenyewe ni miongoni wa watu waliopoteza ndugu katika ajali hiyo ambapo amedai kuwa takribani ndugu zake watatu wamefariki kwenye ajali hiyo.
Mbowe safari hii atanyoka tu anajaribu kudandia basikeli kwa mbele!!
 
Amani iwe nanyi wapendwa.

Rais wetu mpendwa Dr Magufuli jana ametoa salamu za pole kwa wote waliofikwa na msiba kutokana na ajali ya Mv Nyerere, pia salamu hizo zimelengwa kwa watanzania wote kwa ujumla ndiyo maana akatangaza siku nne za maombolezo na bendera za taifa kupepea nusu mlingoti nchi nzima.

Jambo la pili amewashukia kama mwewe baadhi ya wanasiasa viherehere waliofilisika kichwani ,ambao kwao ajali ya Mv Nyerere wameigeuza kuwa fursa ya kupata kiki kisiasa.
Ikumbukwe kuwa mara baada ya kutokea ajali hiyo mwenyekiti wa chadema Freeman Mbowe aliitisha vyombo vya habari na kuanza kutafuta kiki kwa kujigeuza mahakama na kuanza kushutumu na kuhukumu watu kwa mambo asiyoyajua vizuri.

Pia Zito Kabwe na James Mbatia hawakuwa nyuma katika kutumia msiba huu kama mitaji yao ya kiki za kisiasa .
Inasikitisha sana viongozi wa vyama vya upinzani badala ya kuwahi eneo la ajali kwenda kutoa msaada kwa wapiga kura wao ,wanabaki twiter kukejeli wafiwa na kujijenga binafsi kisiasa bila kutoa msaada wowote!!!

Hongera sana Rais Magufuli kwa kuwavua nguo hawa wanasiasa uchwara ,wachumia tumbo na wanafiki ,ambao wao muda wote wanawaza siasa tu huku vyama vyao vikiwafia kwa kukimbiwa na wananchi..

Hapo ulipo ww ndo unatumia msiba kisiasa zaidi. Post yako ni ya kisiasa kwa kumpa kiki huyo mwingine hlf pia unachofanya kwa lugha rahisi ya kiswahili tunaita unafiki kwani hayo unayosema "kumshukia kama mwewe" si sehemu ya hotuba ya rais aliyoitoa chini ya dkk10 na watanzania wote wameiona. Lkn jambo lingine ni kuwa mh Rais ametekeleza wajibu wake wa kuwafariji watanzania ila ww unaleta uchonganishi hapa.

Nalia na JF hiv kitufe kama hiki [emoji107] watakiweka lini maana thread zingine tunapoteza muda mwingi kumwaga maneno tu ingefaa sana km wangeweka na hcho cha dislike
 
Neno rambrambi jiwe alishaharibu maana yake, no one mwenye akili tinamu is interested, labda mashirika ya serikali yajipendeze
 
Mtu mwenye akili hawezi kulisikitikia wala kulifurahia jambo la kijinga mnajenga mabarabara ya juu maeneo nyingine wkt wanchi wengine wana lundo la shida poleni wafiwa walokufa mungu awaweke panapowastahili
 
Amani iwe nanyi wapendwa.

Rais wetu mpendwa Dr Magufuli jana ametoa salamu za pole kwa wote waliofikwa na msiba kutokana na ajali ya Mv Nyerere, pia salamu hizo zimelengwa kwa watanzania wote kwa ujumla ndiyo maana akatangaza siku nne za maombolezo na bendera za taifa kupepea nusu mlingoti nchi nzima.

Jambo la pili amewashukia kama mwewe baadhi ya wanasiasa viherehere waliofilisika kichwani ,ambao kwao ajali ya Mv Nyerere wameigeuza kuwa fursa ya kupata kiki kisiasa.
Ikumbukwe kuwa mara baada ya kutokea ajali hiyo mwenyekiti wa chadema Freeman Mbowe aliitisha vyombo vya habari na kuanza kutafuta kiki kwa kujigeuza mahakama na kuanza kushutumu na kuhukumu watu kwa mambo asiyoyajua vizuri.

Pia Zito Kabwe na James Mbatia hawakuwa nyuma katika kutumia msiba huu kama mitaji yao ya kiki za kisiasa .
Inasikitisha sana viongozi wa vyama vya upinzani badala ya kuwahi eneo la ajali kwenda kutoa msaada kwa wapiga kura wao ,wanabaki twiter kukejeli wafiwa na kujijenga binafsi kisiasa bila kutoa msaada wowote!!!

Hongera sana Rais Magufuli kwa kuwavua nguo hawa wanasiasa uchwara ,wachumia tumbo na wanafiki ,ambao wao muda wote wanawaza siasa tu huku vyama vyao vikiwafia kwa kukimbiwa na wananchi..
Genge la wahuni
 
Ajali hutokea kutokana na makosa y'a kibinadamu ! Hivyo basi kinachotakiwa ni kuzitakia faraja familia zilizo patwa n'a maafa haya makubwa ! Ila kama taifa tujitafakari n'a kujua chanzo ili tatizo lisijirudie ! Kwa haraka mimi naona chanzo ni mizigo kutokupangwa vizuri ili chombo kiwe na balance hivyo centre of boyance ikahama ! Na yote hii ni lack of knowledge kwa attendants ! Kwa kawaida engine ikizima chombo hakiwezi zama maramoja ! Watu wanapata fursa ya kuchukua maboya ! Kwa tatizo kama Hili haliwezi kuisha bila kuweka utaratibu unaosimamiwa n'a qualified persons ndani ya viombo vya majini ! Mengine y'a kusamehana kwani tunajua mapungufu yetu n'a ignorance kama waafrica
 
Amani iwe nanyi wapendwa.

Rais wetu mpendwa Dr Magufuli jana ametoa salamu za pole kwa wote waliofikwa na msiba kutokana na ajali ya Mv Nyerere, pia salamu hizo zimelengwa kwa watanzania wote kwa ujumla ndiyo maana akatangaza siku nne za maombolezo na bendera za taifa kupepea nusu mlingoti nchi nzima.

Jambo la pili amewashukia kama mwewe baadhi ya wanasiasa viherehere waliofilisika kichwani ,ambao kwao ajali ya Mv Nyerere wameigeuza kuwa fursa ya kupata kiki kisiasa.
Ikumbukwe kuwa mara baada ya kutokea ajali hiyo mwenyekiti wa chadema Freeman Mbowe aliitisha vyombo vya habari na kuanza kutafuta kiki kwa kujigeuza mahakama na kuanza kushutumu na kuhukumu watu kwa mambo asiyoyajua vizuri.

Pia Zito Kabwe na James Mbatia hawakuwa nyuma katika kutumia msiba huu kama mitaji yao ya kiki za kisiasa .
Inasikitisha sana viongozi wa vyama vya upinzani badala ya kuwahi eneo la ajali kwenda kutoa msaada kwa wapiga kura wao ,wanabaki twiter kukejeli wafiwa na kujijenga binafsi kisiasa bila kutoa msaada wowote!!!

Hongera sana Rais Magufuli kwa kuwavua nguo hawa wanasiasa uchwara ,wachumia tumbo na wanafiki ,ambao wao muda wote wanawaza siasa tu huku vyama vyao vikiwafia kwa kukimbiwa na wananchi..
Hata mbunge wa Ukerewe amewaumbua amesema Kivuko kimeshafanyia matengenezo na kuwekewa injini mpya mbili. Hivyo kawaumbua waliokuwa wanasema eti kilio cha mbunge hakikutekelezwa na serikali sijui sasa wanakimbilia wapi. Badala ya kujikita kwenye uhalisia wa chanzo cha ajali wanaleta siasa uchwara!
 
Amani iwe nanyi wapendwa.

Rais wetu mpendwa Dr Magufuli jana ametoa salamu za pole kwa wote waliofikwa na msiba kutokana na ajali ya Mv Nyerere, pia salamu hizo zimelengwa kwa watanzania wote kwa ujumla ndiyo maana akatangaza siku nne za maombolezo na bendera za taifa kupepea nusu mlingoti nchi nzima.

Jambo la pili amewashukia kama mwewe baadhi ya wanasiasa viherehere waliofilisika kichwani ,ambao kwao ajali ya Mv Nyerere wameigeuza kuwa fursa ya kupata kiki kisiasa.
Ikumbukwe kuwa mara baada ya kutokea ajali hiyo mwenyekiti wa chadema Freeman Mbowe aliitisha vyombo vya habari na kuanza kutafuta kiki kwa kujigeuza mahakama na kuanza kushutumu na kuhukumu watu kwa mambo asiyoyajua vizuri.

Pia Zito Kabwe na James Mbatia hawakuwa nyuma katika kutumia msiba huu kama mitaji yao ya kiki za kisiasa .
Inasikitisha sana viongozi wa vyama vya upinzani badala ya kuwahi eneo la ajali kwenda kutoa msaada kwa wapiga kura wao ,wanabaki twiter kukejeli wafiwa na kujijenga binafsi kisiasa bila kutoa msaada wowote!!!

Hongera sana Rais Magufuli kwa kuwavua nguo hawa wanasiasa uchwara ,wachumia tumbo na wanafiki ,ambao wao muda wote wanawaza siasa tu huku vyama vyao vikiwafia kwa kukimbiwa na wananchi..

Nenda kakojoe halafu ulale labda utapata akili.
 
We ndugu

Mbowe alimtaka Rais aongee na sio Msigwa Kutoa Twite kwamba Rais amesikitishwa hatimaye Rais kazungumza, je ndio kuvuliwa nguo huko?

Pili lawama kwa serikali haiepukiki kwa sababu zilizo wazi. Moja ndio yenye jeshi la uokozi sio vyama vya siasa. Pili serikali ndio mmiliki wa kivuko, tatu serikali kupitia Sumatra ndio mkaguzi maswala ya usalama wa vyombo vya usafiri na mwisho ndio operator wa kivuko hicho sasa lawama apewe nani?

Tumeona wavuvi ndio wamefanya kazi ya uokozi na uopoaji wa maiti je jeshi letu la uokozi lipo wapi inafika usiku wanasimamisha kazi ilihali watu bado wamenasa ndani ya meli.

Kwa muktadha huo huoni aibu kwa uliyoyaandika. Tusifie pale panapostahili na tukosoe pale inapohitajika. Sio kila kitu kusifia natamani upate janga kama hilo ndio akili ikukae vizuri.

Roho za marehemu wote waliokufa kwenye ajali Mungu azipe pumziko la milele
Umekosoa kisomi San.hongera kwako mzee.pamoja san
 
Back
Top Bottom