Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Kuna picha nimeziona dahhh alie zipiga alaaniwe kabisa huwez mpiga picha marehem kama zile angesema toka siku ya kwanza so leo
 
Umetusaidia sana kutoa muongozo kwamba hakuna kurusha upuuzi wowote mitandaoni kuhusu ajali ya Mv Nyerere. Asante sana, kwani hali mitandaoni ilikuwa mbaya sana

..kuna upuuzi mkubwa zaidi ya taarifa kwamba kivuko kilikuwa kinaendeshwa na "dei-waka."?

..taarifa hizo zimeichafua nchi.

Cc tindo, Pascal Mayalla, Richard
 
Sipingani na utaratibu wa kawaida wa kuchangiana na kuwafairiji wenzetu waliopatwa na huu msiba mkubwa...
Ila serikali yetu badala ya kuongeza nguvu kwenye uokoaji wa watu wanakimbilia kuchangisha rambi rambi...
Hatujasahau
1.rambirambi za luck vicent iliyouaa watoto wetu
2. Rambirambi za tetemeko la ardhi
Je na hizi zitawafikia walengwa???
Mzee hat bavicha hawapingi rambirambi.ulipo wew,bavicha hawajafij bad na hswatofika
 
Rambi rambi tz changamoto sikuhizi maana unatoa huku roho haikupi kama zitwafikia walengwa -rejea tetemeko
 
Umetusaidia sana kutoa muongozo kwamba hakuna kurusha upuuzi wowote mitandaoni kuhusu ajali ya Mv Nyerere. Asante sana, kwani hali mitandaoni ilikuwa mbaya sana
Mbona mchezo umemalizika mkuu , na uzuri ni kwamba yote yaliyorushwa ni kweli tupu na hayafutiki !
 
Back
Top Bottom