Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Watanzania tunakumbumbu sana ya mambo ya kulizwa. Ila nashangaa wakijaga kutoa hata soda tunasahau yote kama makonda na police wake. Au wakijana na tisheti zao loo kura nje nje . Sijui katuloga nani.
 
Tumezoea serikali kukwepa majukumu yake, usishangae Hela ya rambi rambi inapangiwa matumizi mengine ya kununua kivuko wakati ni jukumu la serikali, yale yale ya bukoba Hela ya rambi rambi kurekebisha bara bara na hospital,
Mimi sichangi
Britannica
Hakuna aliekulazimisha kamanda
Mnapenda kunung'unika wakati misiba,kwani kikinunuliwa kivuko si kitawasaidia huko huko au kitapelekwa Kenya?
 
Mmoja wa Mainjinia wa Kivuko cha Mv.Nyerere kilichopata ajali ya kuzama ziwa Victoria ameokolewa muda mfupi uliopita akiwa hai japo hali yake ni mbaya lakini anapatiwa huduma.

Imeelezwa fundi huyo alikuwa amekwama kwenye moja ya vyumba vya manahodha na alikuwa akigongagonga vitu ili waokoaji wamsikie jambo ambalo limetimia.

Lakini hawezi kuongea kutokana na hali yake kuwa mbaya baada ya kukaa ndani ya maji kwa takribani siku tatu.
 
Heri pesa ya rambirambi inunuliwe kivuko watavushwa raia siyo kuishia mikononi mwa wachache.
 
Ikiundwa tume yenye umakini, yataibuka mengi sana! Nimetonywa na rafiki kwamba, tamaa ya kujaza abiria ilikuwa ni kawaida yao ili kuongeza kipato binafsi. Waendeshaji wa kivuko hicho walikuwa wakitoa ticketi halali chache, na sehemu kubwa ya pesa zilikuwa zinapigwa hadi Dar es Salaam. Mgao ulikuwa ni mkubwa!

Wakatishaji wa ticket walikuwa wakizunguka na kivuko kama daladala, wakikusanya pesa. TEMESA wanastahili wajieleze vizuri juu ya hilo la kujaza kuliko kiwango kilichopitishwa. Rais huyu ana kazi kubwa ya kunyoosha akili iliyoharibika. Tukubali alivyosema, lazima uwe na viongozi vichaa.
 
Huyu Waziri kamkaidi Boss wake ama?
images.jpeg
 
Back
Top Bottom