Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,885
Ni janga lipi alishawai kuhudhuria ukilinganisha na ufunguzi. Mliposema vio gozi wa siasa wasifanye siasa mlitaka aende mpate la kusem
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa bado wana ile Sera ya majimbo?Jimbo la Ukerewa lipo chini ya CDM ila ndani ya CDM kuna ubaguzi wa kijinga sana. Na uhakika hili balaa lingetokea Arusha au Kilimanjaro CDM makao makuu wangetuma mtu wa kuwawakilisha kwenye msiba.
Wajinga sana, hata kutuma mwakilishi tu kiongozi wa kanda ya Ziwa yoyote wameshindwa, wapo Dsm wanaitisha press tu kumtukana Rais kichaa na kila aina ya propaganda kwa kutumia vifo vya watu.Umeona hii mijitu ilivyo?
Ni janga lipi alishawai kuhudhuria ukilinganisha na ufunguzi. Mliposema vio gozi wa siasa wasifanye siasa mlitaka aende mpate la kusem
Viongozi wa upinzani wamekasilishwa sana na tamko la mbunge wa Ukerewe (CDM) kuwa, mapungufu aliyowasilisha Bungeni, serikali iliyafanyia kazi! Viongozi wake wamechukulia kuwa amewazodoa kwa kiki waliyotarajia kuipata kupitia msiba huu.
Hili janga lingetokea kaskazini kamati kuu yote ya Chadema ingehamia huko!Ni janga lipi alishawai kuhudhuria ukilinganisha na ufunguzi. Mliposema vio gozi wa siasa wasifanye siasa mlitaka aende mpate la kusem
Walikuwa wanakutana na matarafikiNimejiuliza sana ili swali hasa baada ya kusoma katika gazeti la Chadema liitwalo Tanzania Daima kwamba uongozi unakaribia kumsajili maalim Seif katika chama chao. Ndiposa najiuliza mgombea urais mtarajiwa ndio kipaumbele cha Chadema kiasi cha kumtelekeza mbunge wa Ukerewe my Joseph Mkundi?!!!
Maovu mfanye nyinyi muhitaji huruma ya cdm?mashetani wakubwa nyinyiJimbo la Ukerewa lipo chini ya CDM ila ndani ya CDM kuna ubaguzi wa kijinga sana. Na uhakika hili balaa lingetokea Arusha au Kilimanjaro CDM makao makuu wangetuma mtu wa kuwawakilisha kwenye msiba.
Jitu ni kichaa mwenzakoUmeona hii mijitu ilivyo?
Hawa bado wana ile Sera ya majimbo?
Watachaguliwa na matarafikiMnatoa tu maneno ya kejeli, hivi angekuwa ni ndugu yako amefariki ungeropoka hivi? Kwa tabia hii , kejeli hizi mnategemea kweli Ukerewe itarudi CDM 2020 ? Au mnasubiri mje kusingizia mmeibiwa?
Walitaka wawape kesiNi janga lipi alishawai kuhudhuria ukilinganisha na ufunguzi. Mliposema vio gozi wa siasa wasifanye siasa mlitaka aende mpate la kusem