Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Unafiki wa hali ya juu wa Bavicha Mbunge alitegemea mngekuwa naye kwenye msiba lakini hakuna hata kiongozi mmoja wa Chadema aliyehudhuria kwenye huu msiba ndani ya jimbo la Chadema, kwa ubaguzi huu wa kikanda hakika chama hakitafika mbali.
 
Wavuvi wadogo wadogo hawawezi kuwa divers, hapo ni sawa na kuwaita mafundi mchundo Wakandarasi. Naomba tuwe na tabia ya kuheshimu taaluma za watu mkuu.

Pili, sijakulabel uanasiasa, balii nimekumbusha ya kwamba kuna masuala hayahitaji Siasa na mihemko. Ikiwemo masuala ya kitaalam kama ya Uokoaji chini ya maji. Mwaka 2014 kuna kivuko kilizama huko Korea kusini na Kuua watu takribani 304. Kuna Diver(s) walipoteza maisha katika harakati za uokoaji. Kwa hiyo wito wangu wa sisi wakina Kipozeo tusihemke na kukimbilia kutoa lawama bila kuwa na uelewa wa uendeshaji wa zoezi zima.
Kwenye bandiko langu, umeona lawama yeyote? Ukijiheshimu, ndiyo utaheshimika!!! This tragedy is a national event! Let the people express their feelings irregadlesss of their educational pillars or differences. You as a proffesional, play your part and don't root up anger to innocent observers!
 
View attachment 875561
Kwa niaba ya Baraza la Vijana wa Chadema(@official_bavicha_taifa)
Mhe. Joseph Nkundi, ukiwa Mwakilishi wa wananchi wa Ukerewe tunakupa pole sana kwa kuondokewa na wananchi wako, ambao walikuchagua ili uwatetee lakini watawala wakaamua kuziba masikio yao kwa pambaa na kukupuuza kwa wito wako ulioutoa bungeni. Walitamani kusikia wanayopenda kwa masikio yao lakini sio kusikiliza mahitaji ya wananchi wako waliokutuma Bungeni. Usivunjike moyo endelea kupamabana naendelea kuwa sauti ya watu wa Ukerewe.
Hongera kwa kuwa mwakilishi sahihi
Pole sana kwa msiba mkubwa wa wapiga kura wako.
Pumzike kwa amani Walipoteza maisha wote.
Tunawaombea majeruhi kupona haraka.
Serikali hii inapaswa kuwajibika kwa kila uzembe ulipelekea hili kuanzia Waziri Mkuu.
Waziri hataki sisi kukosoa, tufungeni tu maana kama hamko tayari kuheshimu mawazo ya wawakilishi wa wananchi mnakuwa defensive bila aibu, tutasema mpaka muondoke siku moja, huu ni wajibu wetu, najua mawaziri wengi mnatamani kuwa katika nafasi tuliyopo sisi ili nanyi mkosoe maana hamko free.
Patrick Ole Sosopi
M/Kiti BAVICHA Taifa

Mwenyekiti wa BAVICHA ndio anaandika ovyo ovyo siku hizi?
 
Hadi mzee wao ndesamburo alifariki akiandika cheque ya rambirambi..kweli asiyekujua hakuthamini.
Mimi ushauri wangu wa bure kwa wana Ukerewe na mbunge ni kwamba Msiba ukiisha mbunge wa Ukerewe hamia CCM Na niwaombe wana Ukerewe wampe kura.Kilichofanywa Na Chadema kwa watu wa Ukerewe sio sawa ni ubaguzi wa wazi wa kikabila.
 
Pia ukamkumbushe wanasemaga jeshi langu na watu wangu. Hakuna asiyejua kama yeye sio mtaalamu, ila mjifunze kuchukua mawazo mbadala watu wenu wamefika mwisho katika ubunifu. mawazo mapya ndio haya mnayoyakataa, kwamfano acha Mongela sio mwenye band sasa Kange unavyomuona unafikiri anayomawazo gani mapya au alishabuni kitu gani kabla utegemee aje na jipya zaidi ya tutawakamata tu.

Hii recycling ya watu waliokosa ubunifu ndio watu wana question.
Mongela wasamehe bure.Hizo ni hasira na frustrations zao za kushindwa chaguzi wameaamua KU STEAM OUT FRUSTRATION zao kwenye hiyo ajali.

Wamegeuka ghafla wasomi na wataalamu wa vivuko.Nyoooo!!!! wangekuwa wasomi na wataalamu si wangetumia usomi na utaalamu wao kushinda chaguzi?. Wakishindwa chaguzi hata za udiwani tu hugeuka na kujifanya wasomi na wataalamu waliobobea wa ku analyize mambo ya kitaifa na kimataifa!!!! ha ha ha ha
 
eti acheni siasa nyie wapinzani, je wale waliovaa minguo ya kijani msibani ni ya nini?
 
Nasikitik kisema ni fedheaha na aibu kwa miili ya matehemu walichukuliwa na ndugu hata dawa ya kuchoma maiti zisiharibike zinagharamiwa na ndugu wa marwhemu.

Kusafirisha miili ni ndugu wa marehemu kama huna uwezo unatakiwa kuzika kwenye kaburi la pamoja.

Ule ubani kwa wafiwa nani anatoa zisaidie familia za "wanyonge?"

Nimeandika haya kwa sababu nimepokea sms nikiombwa mchango kusaidia dawa ya kumchoma marehemu na kupata jeneza maana majeneza ya serikali yalishaisha na sisemi kwa ubaya ila hawa marehemu yale majeneza ni aibu kama tunasafirisha nyanya kumbe mwili wa mtanzania
 
Wamekufa raia wasio na hatia iatakuwa watu wanaolipwa na kusomea???! Wangekuwa mashujaa katika list ya mashujaa wa nchi hii.
Vipi hao divers wangelazimishwa na mkuu wa mkoa alafu wakaenda kufa ,vipi usingekuja kumlalamikia mkuu wa mkoa kwa kushindwa kusaidia wataalam??
 
Nasikitik kisema ni fedheaha na aibu kwa miili ya matehemu walichukuliwa na ndugu hata dawa ya kuchoma maiti zisiharibike zinagharamiwa na ndugu wa marwhemu.

Kusafirisha miili ni ndugu wa marehemu kama huna uwezo unatakiwa kuzika kwenye kaburi la pamoja.

Ule ubani kwa wafiwa nani anatoa zisaidie familia za "wanyonge?"

Nimeandika haya kwa sababu nimepokea sms nikiombwa mchango kusaidia dawa ya kumchoma marehemu na kupata jeneza maana majeneza ya serikali yalishaisha na sisemi kwa ubaya ila hawa marehemu yale majeneza ni aibu kama tunasafirisha nyanya kumbe mwili wa mtanzania
Wewe ni mbwiga kweli!

Unapokea sms ya matapeli kisha unaleta huku?

Tuoneshe hiyo sms na mtu akiyetuma weka namba yake hapa
 
Kwa hiyo Bodi ya ushauri wa mafundi Umeme Temesa Ndio inayoshughulikia vivuko vya tanzania?!
Ndio mkuu vyombo vyote vya usafiri majini vya serikali viko chini ya Temesa na haviusiani kabisa na sheria zozote za marine ambazo ni merchant shipping act au ferry act wao kanuni zao ni tofauti nadhani wanazijui wanao fanya kazi huko
 
Watakuwa wamekata malipo ya majeneza na kuikarabati mochwari. Tuvute subira tupate maendeleo. Bado tunasubiri michango ya rambirambi tukakarabati kivuko.
 
Nadhani ni wakati muafaka viongozi wakaelewa kuwa wananchi wa sasa sio wa kipindi cha Nyerere! Wataalamu gani washindwe kuchezea maji ya ziwa tena 50s meters tu toka nchi kavu kwa kisingizio cha giza/hali ya hewa! Shame!
 
Nasikitik kisema ni fedheaha na aibu kwa miili ya matehemu walichukuliwa na ndugu hata dawa ya kuchoma maiti zisiharibike zinagharamiwa na ndugu wa marwhemu.

Kusafirisha miili ni ndugu wa marehemu kama huna uwezo unatakiwa kuzika kwenye kaburi la pamoja.

Ule ubani kwa wafiwa nani anatoa zisaidie familia za "wanyonge?"

Nimeandika haya kwa sababu nimepokea sms nikiombwa mchango kusaidia dawa ya kumchoma marehemu na kupata jeneza maana majeneza ya serikali yalishaisha na sisemi kwa ubaya ila hawa marehemu yale majeneza ni aibu kama tunasafirisha nyanya kumbe mwili wa mtanzania
Unajua tabia za hawa watu? Kwa midomo wewe changa tu, kama hauna we acha. Ni watu wajuaji ile mbaya.
 
Mungu ibariki Bavicha , Taasisi pekee ya vijana inayovuma kwenye eneo la maziwa makuu
 
Viongozi wa upinzani wamekasilishwa sana na tamko la mbunge wa Ukerewe (CDM) kuwa, mapungufu aliyowasilisha Bungeni, serikali iliyafanyia kazi! Viongozi wake wamechukulia kuwa amewazodoa kwa kiki waliyotarajia kuipata kupitia msiba huu.
Walitaka aseme uongo na kuzira km nyumbu wengine wanavyopotosha mitandaoni. Walitaka kiki wamekwamishwa.
 
Ungekuwa wewe ungewalazimisha divers
Siku ya kwanza kuna diver yeyote aliyeekwepo kuokoa manusura au wananchi tu ndo walikuwa wanasaidiana wao Kwa wao,maana tumesikia kuwa wananchi na Vyombo vyao duni wameokoa 40 na serikali yenye Vyombo vya kisasa imeokoa mmoja.Eti hii ni kweli au watu wanachochea tu
 
Back
Top Bottom