Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukimaanisha nini kwa mfano, kwani wasio na phd walishawahi kutengeneza dawa ya malaria, au dawa za kufumbaza virusi vya ukimwi, au wasio na phd washawahi kukuletea madawa hayo unayoyaona mahospitalini kutoka kwenye mashirika ya wasio na phd huko nchini kwao wasio na phd, wasio na phd walihudumia hao waliookolewa kwenye ajali wakawapa matibabu? Nijibu tu mkuuNatafakari tu,
Kama PhD zimeokoa mtu mmoja, na wasio na elimu wameokoa 40,
Kuna haja ya PhD ?
Bado natafakari.
Wajati wewe unatafakari namna hiyo wenzako wanafikiria ni namna gani wataiba kura 2020!Natafakari tu,
Kama PhD zimeokoa mtu mmoja, na wasio na elimu wameokoa 40,
Kuna haja ya PhD ?
Bado natafakari.
Taarabu bila hoja.Wewe ni mwehu,hilo limepita ,tumeunda tume,unaturudisha nyuma,hakika ukizeeka lazima uwe mchawi,si ghubu hili ,
Babu wa Loliondo ana Phd? Mbona wenye PhD zao walienda kupata dawa? Mbona tunatumia dawa za miti shamba na zinatibu vizuri kuliko hizo za wenye PhD ?Ukimaanisha nini kwa mfano, kwani wasio na phd walishawahi kutengeneza dawa ya malaria, au dawa za kufumbaza virusi vya ukimwi, au wasio na phd washawahi kukuletea madawa hayo unayoyaona mahospitalini kutoka kwenye mashirika ya wasio na phd huko nchini kwao wasio na phd, wasio na phd walihudumia hao waliookolewa kwenye ajali wakawapa matibabu? Nijibu tu mkuu
Natafakari tu,
Kama PhD zimeokoa mtu mmoja, na wasio na elimu wameokoa 40,
Kuna haja ya PhD ?
Bado natafakari.
Ajali ni ajali kuna ajali ilitokea mbeya ft 2 toka usawa wa ardhi walikufa karibu abiria woteNatafakari tu,
Kama PhD zimeokoa mtu mmoja, na wasio na elimu wameokoa 40,
Kuna haja ya PhD ?
Bado natafakari.
Ilitokea linii mkuuu?????Ajali ni ajali kuna ajali ilitokea mbeya ft 2 toka usawa wa ardhi walikufa karibu abiria wote
Aliyekuwa rpc mbeya sakata lake unalikumbuka?Ilitokea linii mkuuu?????
Nadhani waliookoa watu 40 ni wavuvi ambao walikuwepo karibu na eneo la tukio. Mpaka hao unaowaita wa PhD kufika hakuna wa kuokoa.Natafakari tu,
Kama PhD zimeokoa mtu mmoja, na wasio na elimu wameokoa 40,
Kuna haja ya PhD ?
Bado natafakari.
hahah....hatar sanaTutakufa wote hadi jiwe...
HahahahahahahahahhaTutakufa wote hadi jiwe...
Napata mgagasiko wa moyo,PhD ndio huwa zinaokowa watu?Natafakari tu,
Kama PhD zimeokoa mtu mmoja, na wasio na elimu wameokoa 40,
Kuna haja ya PhD ?
Bado natafakari.
2020 wala hawafikirii chochote,wanakunywa mvinyo wakiwa wamerelax,2020 mtuwekee tena mamvi muone shughuli.Wajati wewe unatafakari namna hiyo wenzako wanafikiria ni namna gani wataiba kura 2020!