Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitajia mmoja tu aliyekuwa Na PhD aliyeenda kwa Babu wa loliondo kipindi kileBabu wa Loliondo ana Phd? Mbona wenye PhD zao walienda kupata dawa? Mbona tunatumia dawa za miti shamba na zinatibu vizuri kuliko hizo za wenye PhD ?
Hata Dr Shika naye ni Phd.Natafakari tu,
Kama PhD zimeokoa mtu mmoja, na wasio na elimu wameokoa 40,
Kuna haja ya PhD ?
Bado natafakari.
Natafakari tu,
Kama PhD zimeokoa mtu mmoja, na wasio na elimu wameokoa 40,
Kuna haja ya PhD ?
Bado natafakari.
wasio na PHD wanazo Dawa zao nzuri tu na zinatibu (Rejea dawa ya Mwaa40)Ukimaanisha nini kwa mfano, kwani wasio na phd walishawahi kutengeneza dawa ya malaria, au dawa za kufumbaza virusi vya ukimwi, au wasio na phd washawahi kukuletea madawa hayo unayoyaona mahospitalini kutoka kwenye mashirika ya wasio na phd huko nchini kwao wasio na phd, wasio na phd walihudumia hao waliookolewa kwenye ajali wakawapa matibabu? Nijibu tu mkuu
JiweNitajia mmoja tu aliyekuwa Na PhD aliyeenda kwa Babu wa loliondo kipindi kile
Mungu aepushie mbali, ikishindikana basi ngoma iibukie chatoNatafakari tu,
Kama PhD zimeokoa mtu mmoja, na wasio na elimu wameokoa 40,
Kuna haja ya PhD ?
Bado natafakari.
Zina create the easy way of doing workNapata mgagasiko wa moyo,PhD ndio huwa zinaokowa watu?
Sio kweli.Accident ya kivuko ndani ya maji na ugonjwa unao enezwa kwa ku contacts na victims ...... mi naona ebola tunaweza kuhandle ila maji mkuu hayana fundi
Ok, ukweli ni upi?Sio kweli.
umejuaje katika chumba cha injini alikuwepo mmoja tu (Mr Charahani)?Sababu ni simple tu kwamba hakuna binadamu wa kukaa chini ya maji zaid hata ya dk 10 bila ya vifaa maalumu. Kivuko kilipinduka saa nane, unategemea tuseme had saa 12 jioni kuna binadamu wa kuwa HAI chini ya maji zaid ya huyo anayesemekana alikua kwenye chumba cha injini?
Kipindi hicho hakuwa Na PhD,
Chumba cha injinia sio sehem ya kukaa abiria au watu wanaenda kupiga story.Ukileta habari za walikuwepo wengi sijui kama unakua umefikiri vizur chumba cha injini kunakuwa kuko vipiumejuaje katika chumba cha injini alikuwepo mmoja tu (Mr Charahani)?
kama walikuwepo wengine ambao siku ya pili walichoka
tusiwe wajinga kushangilia vifo vya wenzetu ambao wangeokoka km hata chombo cha welding au kukata kwa gesi kungefanyika mara mojahata usiku wangetolewa hai
Engine room kwanini watu wasikae?Chumba cha injinia sio sehem ya kukaa abiria au watu wanaenda kupiga story.Ukileta habari za walikuwepo wengi sijui kama unakua umefikiri vizur chumba cha injini kunakuwa kuko vipi