Hilo lingekuwa jema zaidi ni kukamata kipigo wataje waliowatumaHii roho mbaya ya kutekana inaonekana kushamiri. Kama waliweza kumthibiti wasingemua ili tujue ni akina nani waliowatuma.....
Visiwani Ukerewe ni mkoa wa MwanzaDah! Ukara ni wapi huko ambako hawataki masiala? Natamani wote wapate kilo ya sukari kwa gharama zao, wanywe wajipongeze!
Dah, kumbe Niko jirani kabisa na hawa Mashujaa??Visiwani ukerewe ni mkoa wa mwanza
Yaani hii ni ishara kuwa CCM ni mbovu hakuna mfano na ukiona MTU anaiunga mkono lazima ana matatizo kichwani.Jamani, inakuaje CCM wanakuwa waoga kiasi hiki? Mbona atukuyaona wakati wa j.k?
Hata hivyo wamepeleka somo zuri sana kwa watekaji wengine na wanaoratibu huu utekajiHii roho mbaya ya kutekana inaonekana kushamiri. Kama waliweza kumthibiti wasingemua ili tujue ni akina nani waliowatuma.....
Wewe upo wapiDah, kumbe Niko jirani kabisa na hawa Mashujaa??
Wewe bwana weee. Then ukishajua? Nini kifuate?Hii roho mbaya ya kutekana inaonekana kushamiri. Kama waliweza kumthibiti wasingemua ili tujue ni akina nani waliowatuma.....
Niko Mwanza hapa MwaloniWewe upo wapi
Mkuu Kiukweli ni mjinga tu ndio ataamini kuwa haya matukio yanaratibiwa na ccm, yaani wafanye huu utekaji na uuaji kwa makusudi kabisa huku wakijua kabisa lawama zitatupwa kwao na kuwapaka matope tena kwenye kipindi hiki cha uchaguzi?Mungu atuepushie huu ujinga, Tanzania ni nchi ya amani na naomba usiku na mchana amani, upendo , kuheshimiana kubaki kama mojawapo ya tunu zetu
Popote inapomwagika damu jua dhuruma ilianza kwa baadhi kujiona Wana haki kuliko wengine.Hii roho mbaya ya kutekana inaonekana kushamiri. Kama waliweza kumthibiti wasingemua ili tujue ni akina nani waliowatuma.....