William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Yani kosa unalofanyaga from time to time ni kukosa akili ya kuchambua.
Huyo mtu kakushauri kwa uzuri umemjibu vibaya.
Aisee!
Afu kama unadhani kutumia jina halisi ndo maakili mengi umeboogi.
- Mimi sina muda naye kabisa ni yeye ndiye anayehangaika kila mahali mpaka kutumia matusi mabebez wangu unataka nilete hapa matusi yake kwa mabebez wangu itakuwa aibu, wewe umerukia treni usiyoijua pole sana huyu anahitaji therapy wamsaidie kukubali ukweli kwamba sitamrudia tena! hahahahahahahaha
- Unamrudia mama aliyekwenda mwenyewe kwa siri kumbembeleza mama yangu amruhusu nimuoe leo anamtukana mama yangu wewe unaweza kumrudia mwanamke kama huyo hahahahahaha please usinilzimishe kusema mkuu!!
Le Mutuz
- Mimi sina muda naye kabisa ni yeye ndiye anayehangaika kila mahali mpaka kutumia matusi mabebez wangu unataka nilete hapa matusi yake kwa mabebez wangu itakuwa aibu, wewe umerukia treni usiyoijua pole sana huyu anahitaji therapy wamsaidie kukubali ukweli kwamba sitamrudia tena! hahahahahahahaha
- Unamrudia mama aliyekwenda mwenyewe kwa siri kumbembeleza mama yangu amruhusu nimuoe leo anamtukana mama yangu wewe unaweza kumrudia mwanamke kama huyo hahahahahaha please usinilzimishe kusema mkuu!!
Le Mutuz
- Kwa kutmia jina langu kamili ndio maana nimeweza kuwa maarufu na kuweza kutengeneza pesa kwa kutumia umaarufu ndio maana blog yangu ina miaka 3 tu infanya maajabu, pole sana ila na wewe umekosea sana kuubeba upande ambao hauna ukweli hahahahahahaha
Le Mutuz
Huyu jamaa lemutuz yeye ndio anatapatapa hajui for sure mimi ni nani ninaandika ndio maana anamsingizia huyo mama watoyo wakr na yote inatokana na yeye kukosa busara na kutoamini kama kuna watu zaidu ya mkewe familia yake watajua mambo yake ya ndani, kama hii issue ya watoto wake kumkataa pale ukonga na yeye kulia kwenye gari ilikuwa wazi na yeye hajapinga pote na kila mtu anajua sasa sioni sababu ya yeye kumuandama yule mzazi mwenzie kwa maneno ninaandika mimi, huyu lemutuz ninamjua siku nyingi sana na hata leo tumeonana mitaani tukasalimiana kwa furaha lakini hajanijua kama mimi ndio natuma post hizi hapa, anatakiwa a grow up na aache utoto.
Hu
Le mutuz!!!!! I always thought you were bigger than this...
hizi mambo personal si mmalizane ndani kwenu jamani.... humu kuna watoto under age afu mnaongea mambo makubwa ya familia!!!!
lemutuz kama kichaa akiiba nguo zako na kukimbia huwez ukamkimbiza bila nguo, wewe nae utaonekana kichaa... mi naona unyamaze tu, ushaongea mengi mkuu.
Kumbe una blog?
Inafanya maajabu gani?
Nilikua bado sijaamini kua una akili ya kitoto lakini hapa nimeamini.
Umaarufu wote huo na kutengeza pesa zote hizo na bado unategemea watoto wako walelewe na serikali kweli kama yatima halafu wewe baba kazi yako kucheza na vitoto vidoho huku na ukuwadi na kujisifu ovyo wakati huna lolote, kama kila taxpayer in america angetaka watoto wake walipiwe na serikali nchi si ingefilisika jamani, wewe na bill gates nani amelipa tax kubwa na mbona husikii watoto wake wako welfare, a big fat looser like u ndio atajisifu kulipiwa lipiwa na wanaume wenzake na watoto wake kuwa kwenye welfare na sishangai si hata bongo si kika mara kina seki na davis wanakulipia misosi yako na ticket za ndege, dume mwenzako wa mbegu mengi kakusaidia kwenye nyumba, juzi ridhiwani kakununulia kuku nusu pale container mikocheni ukawa so proud na kumsifia haha ur truly a looser no wonder u r so proud watoto wako kupewa misosi na afa na serikali pole babu lemutuz
Siwezi kumrudia kwa kuwa mie sio mwanaume.Siwezi kuoa kabisa.
Mtu mzima na akili yako unataka kusema ulioa kwa shinikizo la mama yako mzazi?
Ooh pleaseee! Enough information babu.
Wewe rekebisha kauli.
Sijarukia train babu, this is a public forum.Wewe na yeye ndio mnaomwaga habari zenu hapa no one asked of these tales.
Mkiamua semeni na mengine.
Yani nimesema toka mwanzo hya mambo c yakuongea hadharani itafika mahali mke aseme watoto c wke cjui itakuaje mtu umeishi nae miaka kibao mnashea vikojoleo mnakuja kuumbuana hadharani.mbna mengi ameacha n mkewe miaka kibao bt wanaongea n kuheshimiana tu.divorce c ugomvi n uadui kwa style hii babu anaharibu
Kweli kabisa