William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Yani kosa unalofanyaga from time to time ni kukosa akili ya kuchambua.
Huyo mtu kakushauri kwa uzuri umemjibu vibaya.
Aisee!
Afu kama unadhani kutumia jina halisi ndo maakili mengi umeboogi.
- Kwa kutmia jina langu kamili ndio maana nimeweza kuwa maarufu na kuweza kutengeneza pesa kwa kutumia umaarufu ndio maana blog yangu ina miaka 3 tu infanya maajabu, pole sana ila na wewe umekosea sana kuubeba upande ambao hauna ukweli hahahahahahaha
Le Mutuz