William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
le mutuz wewe ni mtu mzima sana kwanza hukupaswa kuwepo hata jf vijana hawawezi kukuchokonoa ukaweka mambo yako hadharani inabidi utumie hekima na hiyo unayoiita akili kubwa itumike hapo......!kaka tumia kichwa chako kufikiria acha kufikiria kwa kutumia kidole gumba acha kujibu ondoka endelea na mambo yako jifanye tajiri au maskini hiyo ni juu yako hapa unajivua ngua mjomba nimekudharau sana unaishi kwa tetesi kama chadema nionyeshe akili kubwa unayoiongelea hapa ...mambo ya kuachana na mkeo sio buplic issue inakuhusu wewe so unakuja kumuanika hapa na tunaendelea kukudharau nakusii kama ulivyoachana na mkeo na kumsahau achana na uzi huu na uusahau.
- Ona mjinga mwingine huyu anasema ameshanidharau ok ulipokuwa unaniheshimu uliongezea nini mkuu ambacho kitapungua sasa umenidharau au umejidharau mwenyewe? hahahahahahahah Wanaonidharau hawana muda na mimi ila wewe hunidharau unajidharau mwenyewe
- Niachane na uzi huu ili uniheshimu wewe maana wewe ni Mungu mazafantaza nyamza kama huwezi badili channel ok hahahahaha relax man!!
Le Mutuz