Okay tumeelewa kwamba huwezi ku grow up, atleast acha kutumia "hahahahha" kila mahali [emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]- hahahahahaha le mburulazzzz eti umesema nini hapa hahahahahahahahah
le Mutuz
Nia yake,ni kwamba jina lake liwe household name Tanzania,ili awe kama brand Fulani hivi-akiingia kwenye business venture iwe inaji market yenyewe-tatizo ana overstep the mark,ameshaona amefika,kiasi kwamba kwa kutumia jina lake anaweza msafisha mtu yoyote-anasahau katika background kuna watu wanamjua inside out na wanaweza kumshusha any moment- yaliyomkuta kwa Mange yatakuwa yamempa fundisho kwamba in future he should thread carefully-lets hope magazeti ya udaku ya kesho yatam ignoreOkay tumeelewa kwamba huwezi ku grow up, atleast acha kutumia "hahahahha" kila mahali [emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]
Alsf mpaka leo sielewi kwanini umeniblock Ig.. fanya kuni unblock basi
Ha h ha! le mutuz .... umri umeshaenda brother hebu sikiliza basi ht unavyoshauriwa na uliowazidi umri!!!
Kuna mtu huko anajiita mangekimambi_ aliyoyaandika juu yako ni aibu tupu!!!!!
Mange kimambi sio chizi kwamba akurupuke tu kuanza kusema kwamba majizo ni muuza unga ukiona hivyo ujue amefanya utafiti na kugundua kwamba kweli huyo majizo anauza unga wewe endelea kumutetea iposiku utakuja kuumbuka kwa kutetea hao wauza unga
- Leo siku nzima nilikuwa Vodacom Shop Masaki ninatengeneza Video maalum ya Promo for Vodacom 4G, ndio nimerudi ofisini, otherwise Majizo is my friend I am glad kwamba I stood for him na wanaotaka kumharibia kama nilivyosimama na Dr. Mwaka na wengine wengi.
- Kabla ya kuamua kumsaidia Majizo nilijua kutakuwa na matusi ila niliamua kwamba uraifiki wangu na majizo ni more important kuliko matusi so nikasimama na kumtetea my friend na siku zote ndio msimamo wangu.
le Mutuz
View attachment 352649 hahahaha
Mange kimambi sio chizi kwamba akurupuke tu kuanza kusema kwamba majizo ni muuza unga ukiona hivyo ujue amefanya utafiti na kugundua kwamba kweli huyo majizo anauza unga wewe endelea kumutetea iposiku utakuja kuumbuka kwa kutetea hao wauza unga
Insta iko katika meltdown- Le mutuz has finally met his match,Mange anakwenda toe to toe na le mutuz-credibility yake iko at stake data zinamwagwa like never before,mtu mzima is clinging on for dear life,anatumia lugha za mjini kukwepa makombora-Naona Mange ameamua kuchukua kwa nguvu taji la king/queen wa social networks bongo
life is not about acting... it's all about one's definition.
-sio ndio hapo sasa...kuna watu akili zimefungwa ndani ya boksi...mtu anaenjoy maisha yake tena na kaincome kanaingia labda roho anaumia mwingine.
πππ LOL my ribsmwanamke acheke wewe ucheke du mzee wa shati kama shuka.
swissme
-
- Sure boss wakati wanapiga kelele mimi nilikuwa Vodacom Shop Masaki natengeneza Video ya Promo za 4G, ndio maana ya msemo wa wajinga ndio waliwao wengine wanapiga kelele sisi tunatengeneza pesa U know hahahahahah
le Mutuz
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji26] lolmagoli kama haya mzazi unaombea bora ungepiga punyeto tu
- Hizi ni batazzz za Jumapili juzi na Wabebezzz Wakareezzz U know at downtown hahahahahaha ama nene? hahahahahaha kijana mdogo hebu safisha macho hapo kidogo halafu piga kazi ule batazzz na hawa wabebezzz wa ukweli U know uwachane na kulia lia huku JF hahahahahahaa KURA MAISHA U KNOW
le Mutuz Nation
Hao wabebez kweli wakare...@@
- Hizi ni batazzz za Jumapili juzi na Wabebezzz Wakareezzz U know at downtown hahahahahaha ama nene? hahahahahaha kijana mdogo hebu safisha macho hapo kidogo halafu piga kazi ule batazzz na hawa wabebezzz wa ukweli U know uwachane na kulia lia huku JF hahahahahahaa KURA MAISHA U KNOW
le Mutuz Nation