William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Hahahaa. Kama una akili utakua nayo kiduchu sana, na kama ni nyingi basi itakua imeganda kabisa. Hivi halafu hiyo miaka thelathini nje ya nchi ulikua ukiishi na watu timamu kabisa? Hahahaa.
duuuh watoto wa le mutuz nao wana hasara kuwa na baba kama huyu anaejisifia kupewa ticket na kina diamond/zari.kwa umri wake that will be the last thing to go public.. kua mwana umri mkubwa huo eboo.
- inasema nini kuhusu wewe na wengine kwenye this topic, mnaochangia na kusoma hahahahahaha ina maana hamna akili timamu kama mimi au what? hahahahahahahaha
Le Mutuz
- Kwanza mimi sijawahi kunywa pombe wala kuvuta sigara toka nizaliwe na pili mimi toka siku nazaliwa nilizaliwa na Baba aliyekuwa maarufu cause alikuwa DC Wa Tukuyu enzi ambazo DC alikuwa ni mtu mkubwa sana na since then akawa RC Mwanza, akawa Balozi Adis, then akawa WAziri wa East Africa akawa Balozi UN, kawa Waziri wa Nje, akawa RC Iringa kawa Balozi London akawa Makamu wa Rais na Waziri Mkuu, akawa Makamu wa Mwenyekiti wa CCM I mean sijawahi kununua umaarufu nilizaliwa nao, pole sana maana for sure umeandika maneno mengi ya chuki bila FACTS hahahahahahaha AKILI NDOGO hahahaha
Le Mutuz
Punguza shobo le mbululazz, kwa umri na exposure uliyonayo kuna vitu unatakiwa uwe hata hauvifanyi kiivyo kwa kushupaa.
Aah le mutuz acha uongo mimi binafsi nimeshakuona ukinywa pombe, nimeshakununulia pombe pale East 24, tulikuwa na steve
- Steve yupi mkuu mbona hujitambui hahahahaha wewe uninunulie pombe mimi na mimi sijawahi kunywa hata siku moja hahahahaha kweli umeishiwa bora ungenyamaza tu hahahahahahahahahhaa
Le Mutuz
- hahahahahaha nipo ofisini kwangu hapa Posta Mpya Tancot House 2nd fl ndipo ninapofanyia kazi zangu vipi na wewe una ofisi hapa Posta Mpya au maana tuwe tunabishana huku tunafanana japo kidogo au? hahahahahahahahha
Le Mutuz
Steve Nyerere we le mutuz wewe, HUKUNIOMBA pombe nilinunua pombe na ukanywa nadhani ni ndovu kama siyo castle lite, acha uongo le mutuz
Hahahaaa wenye kazi za maana wala huwa hatujisemi le mbululaz. Madebe matupuz kama wewe ndio kelele mingiz. Ila isiwe case ukija Arusha nipm upaone ofisini labda utajifuza kufunga mdomo. Hahahaaa.
- Labda ulikutana na mzimu unaofanana na mimi sijawahi kukaaa pamoja na Steve East 24th, hapo ndipo ulipokosea na siajwahi kuomba kununuliwa kinywaji hata siku moja maana siku zote mfukoni nina pesa ya kununulia maji na soda ninazokunywa so umekosea mbali sana pole sana aibu sana kwa mtumzima kutunga uzushi kama wako wa kitoto sana maana mnashusha hadhi ya jukwaa, hahahahahaha nina rent ya kulipia ofisi Posta Mpya na ninaweza kulipia Apartment Posta Mpya, nina hela ya kuendesha gari langu mpaka Mikochen East 24th lakini sina hela ya kinywaji, hahahahahaha
Le Mutuz
- Ok una ofisi kubwa sana Arusha lakini una time ya kutumia majina ya bandia kutukana watu huku JF hahahahahaha hahahahaha si unajua kuwa huwa ninakuja hapo Arusha all the times na ninapokaa nikija au niseme? hahahahahahaha
Le Mutuz
Unakipenda sana hicho kibwagizo cha jina bandia ukidhani kila mwenye jina bandia huku ni mtu wa kawaida lkn unasahau kwamba kuna watu na heshima zao wapo humu humu na majina bandia, mwenyekiti mwenyewe wa chama chetu naye huwa anapita kimya kimya pia le mbululaz..
Haha ngoja siku nikikununulia tena nitaku PM
Najua utabisha tuu, we ni mlevi labda ulikuwa umelewa acha uongo
- hahahahaha akitokea mtu mwenye heshima zake akapitia hapa na jina la bandia nitajie jina la bandia na jina lake halisi inaelekea hata maana ya mtu mwenye heshima huijui maana ungeijua usingesema kabisa hahahahahahaha
Le Mutuz
Hahaha. Kwa hiyo le debe tupuz unataka kutuambia wote wenye Id fake ni watu wa ajabu ajabu tuu ila wanaotumia majina yao halisi ndio 'Akili Kubwa' na wenye degree tatu kama wewe sio..
- hahahahahahahah yaaani unasema yote hata sihitaji kusema anything akili bwana kweli ni nywele kila mtu na zake sasa unakataa nini na unakubali nini mkuu? hahahahahaha
Le Mutuz
Ila babu let mutu unapenda sifa kaka utadedi masikini
- hahahahahahahah yaaani unasema yote hata sihitaji kusema anything akili bwana kweli ni nywele kila mtu na zake sasa unakataa nini na unakubali nini mkuu? hahahahahaha
Le Mutuz