Ukaribu wa Le Mutuz na watu maarufu

Status
Not open for further replies.
Kubwa jinga

- hahahahahahaha umekuja mbio kunichangia hahahahahaha U know naona hamna kitu hapa ok mkinihitaji tena nifahamisheni ila punguzeni umbeya watoto wa kiume nyie hapa ni mjini shauri lenu hahahahahahha

Le Mutuz
 
Le mcongoz yupo wapi?,maana kipindi Kile ulizidi, wewe Secky humjui wala nini?umejipendekeza kwake juzi juzi tu hapa,yaani Mining engneer awe rafiki yako? Uongo mtupu. Acha kujipendekeza kwa wenye nazo
 

Babuuuuuz wewe mwongo ratiba ilikuepo unatumia nguvu nyingi sana kuongea kuhusu seki kua unamjua sana piga kimya utaharibu cz umemjua mda mfupi kwa ..................humjui kiundani tulia
 

Attachments

  • 1429720696063.jpg
    29.9 KB · Views: 405
Babuuuuuz wewe mwongo ratiba ilikuepo unatumia nguvu nyingi sana kuongea kuhusu seki kua unamjua sana piga kimya utaharibu cz umemjua mda mfupi kwa ..................humjui kiundani tulia

- Hiyo ni ratiba iliyotolewa pale pale msibani wakati wa kuaga nyumbani kwake, hahahahahaha poleni sana sina muda wa kugombea kumjua my friend hahahahaha

- Wewe for sure ulikuwepo kama unakumbuka nilipofika tu niliingia kumuona mkewe siku ya Jumapili, nikamwambia awafukuze wajinga wote waliokuwa wamejazana pale karibu yake nikamwambia ni wanafiki watupu au umesahau hukuona sister mwenye miwani anakuja kuwafukuza hahahahaha U know

Le Mutuz
 
Le mcongoz yupo wapi?,maana kipindi Kile ulizidi, wewe Secky humjui wala nini?umejipendekeza kwake juzi juzi tu hapa,yaani Mining engneer awe rafiki yako? Uongo mtupu. Acha kujipendekeza kwa wenye nazo

- Le Mucongoz amerudi kwao last week alikuwa Kampala now amerudi kwao sikuzidi ni rafiki yangu wa karibu sana ndio maana hata sasa yupo kwao tunawasiliana na Mama yangu alipokuwa mgonjwa alinitumia msaada mzito sana kama wengine hapa, kuhusu Seky nenda kwenye instagram yangu tafuta spost niliyoitolea shukrani ya walionisaidia kumuuguza mama yangu nani nilimtaja wa kwanza kama sio Seki, pole sana maisha yamekushinda hapa mjini rudi kwenu mtazusha zusha maneno hapa sisi tunaendelea na maisha, hahahahahahaha U know pole sana mtuwanguzzz

Le Mutuz
 
- Mamen wasap maana U know I always have to straighten up this nigaz, that talk shit all the times U know but I gat them mazafantazz hahahaha wasap maan?

Le Mutuz

I'm cold chillin' ma nigga.

I like how you cut these mofos down to size.

That's what's up.
 

Bilionea anaweza kumtafuta kapuku ili apige nae picha...?
 

Hahahaha! we ni gunius man! majibu yako yanawakimbiza hawana cha kuliza tena!
 
bila kumuongelea willy malecela big boss AKILI KUBWA hamuoni raha You know
 

Kama kuwadi au dalali tatizo liko wapi?

Na kwa nini mimi au yeyote ajali?

Angalia wewe usigeuke kuwadi umkuwadie bila kujijua hapa.
 

Nilikua bado sijaamini kua una akili ya kitoto lakini hapa nimeamini.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…