Ukata wasambaratisha biashara Kona Baa - Afrika Sana

Ingia Google Store kisha download app. kupatana
 
Kutokana na hali kubana (hela kuwa ngumu) wateja wa kona baa Afrika Sana kwenye biashara pendwa wamesambaratika na wamebaki kutumia sabuni na mikono ili kuendana na kasi. Hongera Hongera sana
Wengine huwa wanatumia kichwa kufanya biashara!?[emoji2]
 
Weka photo mkuu, ila cku hizi ipo level ingine kuna duka pale jirani unaenda unakuta picha na namba unatwangiwa unaongea nae unaenda kwara simpo laiki zat mkuu
Hebu funguka vizuri kaka,hiyo huduma tunaihitaji bado,
 
yah hiki kitu ni kweli nimepita jana kona baa yaan kumepoa isivyo kawaida
 
Weka photo mkuu, ila cku hizi ipo level ingine kuna duka pale jirani unaenda unakuta picha na namba unatwangiwa unaongea nae unaenda kwara simpo laiki zat mkuu
ipowapi hi mkuu mana walio baki site zetu wame choka
 
Mkuu wewe ni kiboko nimecheka sn hp mpk mtasha mmoja napiga naye kazi hpa anashangaa salute you mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…