afande kifimbo
JF-Expert Member
- Aug 31, 2015
- 6,303
- 2,716
ndio mkuu at your own risk.....Pesa kwenye tigo pesa, m pesa kabla ya tendo si anaweza kuingia mitini?
Hata Mori wamepungua hao dada poa.
Meeda nako hivyo hivyo.
mkuu fanya hivyoNa ukitaka ushuhuda zaidi nikupe jina la akaunti fulani huko Facebook ujionee style mpya ya kuuza nyuchi kisasa, ukiangalia kwa woga itajuwa huyu ni binti wa gavana kabisa, nahisi kuna maduka wanakodisha nguo za kupigia picha maana duh! Nimechoka mwenyewe.
Kwani wewe uliwahi kumuona wapi?Umerudi lini Bongo?? [emoji631]
HALI NI NGUMU KIUKWELI, SITASHANGAA HAWA DADA ZETU WAKIRUDI KIJIJINI KULIMA...MALI MTAPATA SHAMBANI WAJAMENIKutokana na hali kubana (hela kuwa ngumu) wateja wa kona baa Afrika Sana kwenye biashara pendwa wamesambaratika na wamebaki kutumia sabuni na mikono ili kuendana na kasi. Hongera Hongera sana