Ukata wasambaratisha biashara Kona Baa - Afrika Sana

Ukata wasambaratisha biashara Kona Baa - Afrika Sana

Acha sasa dhambi ya uzinzi ipungue, tumieni sasa sabuni at own risk... Teh teh.... Wafunhe kabisa madanguro yote
 
Na ukitaka ushuhuda zaidi nikupe jina la akaunti fulani huko Facebook ujionee style mpya ya kuuza nyuchi kisasa, ukiangalia kwa woga itajuwa huyu ni binti wa gavana kabisa, nahisi kuna maduka wanakodisha nguo za kupigia picha maana duh! Nimechoka mwenyewe.
mkuu fanya hivyo
 
Kutokana na hali kubana (hela kuwa ngumu) wateja wa kona baa Afrika Sana kwenye biashara pendwa wamesambaratika na wamebaki kutumia sabuni na mikono ili kuendana na kasi. Hongera Hongera sana
HALI NI NGUMU KIUKWELI, SITASHANGAA HAWA DADA ZETU WAKIRUDI KIJIJINI KULIMA...MALI MTAPATA SHAMBANI WAJAMENI
 
hela haipatikani kirahisi kwa sasa. lazima ujipinde asee nani anataka ujinga wa kuchezea pesa?
 
Wataenda bugurun
Kujiunga wenzie wa cheap
Buk 2 kwa shut moko
 
Biashara pendwa kwishnei, Sentro na zile gesti bubu jirani kimyaaa kama koromije. Chezeya amri halali weyeeee. Kina Modesta, Angel, Rachel na Warda wamehamia Mwanza, Villa Park. Dar kishawaka.
 
Back
Top Bottom