Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,584
- 12,461
inasikitisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa kiongozi wangu baadaeMimi ni pale mugakorongo round about karibu na kwa mzee kazimoto kaka
Upo sahii kaka Toka Kagame alipochukua madaraka Wahutu wengi wsmeuawa!!!!Pia Habriymana aliua Watusi wengi sana!!!Serikali ya Kigali ndio opareta wa dhahama yote hii North Kivu and South KivuLengo la hii habari ni nini? Kwamba tuamini wacongo wakorofi, tuwaonee huruma hao wanyamulenge au ni kutaka kutuaminisha watutsi na Rwanda sio chanzo chanzo cha mauaji na vita kupitia M23?
Anaweza kuvamia na kuondoka sio kuweka territory!!!!Nata Tanzania kuna maeneo anadai ni ya Rwanda kaka 1996,1998, akiwa na Uganda na 2003 alikua anavamia na kuondoka!!!DRC kuna ugumu kupatawala labda kuiba mali na kuondoka kama walivyofanya WagandaKaweza 1996
Kaweza 1998-2003
Kipi kitamzuia mara hii? Jeshi la DRC ni dhaifu sana.
Pamoja Mkuusawa kiongozi wangu baadae
Aendelee kucheza na wakongo tu, huku ataishia kubweka tu kama mbwa Koko Alie mtaani kwao. Anajua kitachomkuta.Anaweza kuvamia na kuondoka sio kuweka territory!!!!Nata Tanzania kuna maeneo anadai ni ya Rwanda kaka 1996,1998, akiwa na Uganda na 2003 alikua anavamia na kuondoka!!!DRC kuna ugumu kupatawala labda kuiba mali na kuondoka kama walivyofanya Waganda
Kagame anadai Ngara na baadhi ya sehemu za wilaya ya karagwe ni Rwanda!!!!!Aendelee kucheza na wakongo tu, huku ataishia kubweka tu kama mbwa Koko Alie mtaani kwao. Anajua kitachomkuta.
Aendelee kudai kimoyomoyo tu chief. Hakuna action yoyote atachukua.Kagame anadai Ngara na baadhi ya sehemu za wilaya ya karagwe ni Rwanda!!!!!
Aliwahi kumtukana Raisi kikwete hadharani afu nilikua Kigali hiyo siku!!!Ukikua mkutano wa ndani wa umoja wa vijana wa chama chake kama sikoseiAendelee kudai kimoyomoyo tu chief. Hakuna action yoyote atachukua.
na hajawahi kuleta pua yake ndefu maana atafanywa hakuna na TZAliwahi kumtukana Raisi kikwete hadharani afu nilikua Kigali hiyo siku!!!Ukikua mkutano wa ndani wa umoja wa vijana wa chama chake kama sikosei
WapoHakuna mtutsi wa Karagwe, wewe ni mkimbizi.
Nilikasirika sana siku ile ila sikua na jinsi!!!!Watanzania wapole sana kumtukana vile raisi ilikua ni kutuvunjia heshima!!!Kisa kikwete kamushauri kufanya mazungumzo na waasi wa FDR kama sikosei!!!Mbona yeye alipokua muasi Habyrimana alikubali kufanya nae mazungumzona hajawahi kuleta pua yake ndefu maana atafanywa hakuna na TZ
Wa TZ wengi ambao walishawahi kwenda barabarani kusimama kupungia mkono mbio za mwenge nachelea kusema wana...io wa ubongo ni ma...ta grade ANilikasirika sana siku ile ila sikua na jinsi!!!!Watanzania wapole sana kumtukana vile raisi ilikua ni kutuvunjia heshima!!!Kisa kikwete kamushauri kufanya mazungumzo na waasi wa FDR kama sikosei!!!Mbona yeye alipokua muasi Habyrimana alikubali kufanya nae mazungumzo
Daaa hatarianaukata na meno sio kuramba boss
Mimi babu zangu ni wa kitambo sana na hata lugha yao inashabihana na kinyankole na kihaya na kiganda asilimia kubwa!!Sizungumzii wahamiaji wa miaka ya 50,s na 60!!!!Mimi nazungumzia koo za kichifu za babu zangu walikua askari wa kukodiwa na machifu wengine kuiba mifugo na kupigana vita kabla hata mkoloni hajachora mipaka wala kufika!!!Hawa waliokimbia machafuko miaka ya1920,1940,1950 na 1960 walikuta babu zangu wapo karagwe zaidi ya miaka 400!!Ni kama Wamanyema wa kigoma au Watusi wa Kongo DRC wapo pande zote!!!!Umeelewa mdogo wanguWapo
umeitembelea Karagwe?
Umeitembelea Kyerwa?
Umeitembelea Umurushaka?
Umefika Kibingo?
Usiisahau Kaisho na vijiji vyake?
Unafahamu familia tu ya Chief Rumanyika ni watutsi?
Je nao Wakimbizi?
Waliopewa Uraia miaka ya 1960 na Nyerere nao ni Wakimbizi?
Wapo pia Tabora kule kaliua na Ng'ombe zao
Wapo pia Mpanda
Wapo Sumbawanga
Usibishe jambo usilo lijua ila wote wanajitambulisha kuwa ni Wanyambo
MABASI WAKE wa ulaya na USA , wakimkatakaza ataacha.Kipi kitamzuia mara hii? Jeshi la DRC ni dhaifu sana.
Kusema mtutsi Kaiwa muhutu sio sahihi. Na kusema muhutu kauwa mtusi sio sahihi. Maneno hayo unamaanisha kuwa wahutu( all hutu society an all tutsi society wamehusitka kitu sio kweli)We sio mtutsi hamna mtusi kaua mhutu
Mtutsi wa rwanda au burundi?Mimi ni mtusi wa karagwe Tanzania ila kiukweli hata sisi tumeua sana Wahutu toka kagame alipochukua madaraka to be honest