Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,356
- 38,922
Aise zimeni disturb ubongo hizi video. Imenikumbusha 1994 genocideMkuu usiludie kutuma video za hivi hawa ni ndugu zetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aise zimeni disturb ubongo hizi video. Imenikumbusha 1994 genocideMkuu usiludie kutuma video za hivi hawa ni ndugu zetu
,poleAise zimeni disturb ubongo hizi video. Imenikumbusha 1994 genocide
Huenda yuyko sahihi: Kipare kinashabihiana na ki-kisii, kikurya-ruhya; kiha-kirundi----- siyo dhambi kukubali ukweli huuHivi huwa mnadanganya kwa faida ya nani? Una uhakika na hicho ulichoandika hapo juu?
Unajuaje kuwa hao waliouliwa hawana affiliation na M23; infact watu wanaofananana banyamulenge wanachukiwa sana kwasababu kwa east congo wam,ekuwa wakiwatesa wasio wa kabila lao, kwahiyo, kwasasa ni vigumu kuwatetea. wanatakiwa kujitakasa ili watu wawaeleweAwo wakongo kama wanataka vita wakapigane na m23 sio kuuwa watu waliokuwa hawana hatia mitaani.
Mbona PAKA hatajwiM23 na wanasiasa wa Drc ndio wakulaumiwa kwa huu uchochezi wa kikabila.
Moronight walker
Kinyambo kinashabihiana na kinyankole, kichiga (upande wa Uganda) hata museveni akiongea ni Mnyambo wanaelewana! Kihaya kinalandana na wala si kushabihiana tu na Kinyambo ila kinyarwanda ni tofauti na Kinyambo. Kagame akiongea Mnyambo haambulii hata neno moja. Achani kudanganya hapo maana hao wapuuzi wawili wazazi wao ni wanyarwanda waliohamia karagwe. Kwa vile mnyarwanda haachi asili, huwa wanafundisha watoto wao kinyarwanda. Hivyo hawa wapuuzi kutokana na kuzaliwa karagwe wanafahamu pia Kinyambo wanadhani kila Mnyambo anajua kinyarwanda.Huenda yuyko sahihi: Kipare kinashabihiana na ki-kisii, kikurya-ruhya; kiha-kirundi----- siyo dhambi kukubali ukweli huu
Mi sina hoja, ila lugha kushabihiana siyo dhambi: naanza kuona shida kuwa kuna mtu hataki kushabihishwa na Kagame kwakuwa kagame is evilila kinyarwanda ni tofauti na Kinyambo. Kagame akiongea Mnyambo haambulii hata neno moja.
Mimi nachukia uongo! For your information Kagame ameinyanyua Rwanda na Karibuni itakuwa superpower ya EA. Sasa hivi Rwanda imeendelea kuzidi Tanzania. Huwezi kulinganisha Kigali na Kampala ujue. Ila Ukweli ni lazima usemwe.Mi sina hoja, ila lugha kushabihiana siyo dhambi: naanza kuona shida kuwa kuna mtu hataki kushabihishwa na Kagame kwakuwa kagame is evil
Anahusika vipi na mzozo wa Drc ?Mbona PAKA hatajwi
Tunazungumzia evil deeds za kagame unaleta story za Kagame kujenga miji?get serious. Leta indices nyingine; mfano: hapness index kwa wanyarwanda vzvz Kagame regime, tueleze economicaly Kagame anapataje resources za Kujenga Kigali vzvz Kampala. Key issue ni namna ambavyo watu wenye asili ya kitutsi wanachukiwa because of Kagame deeds, jadili hili pleaseMimi nachukia uongo! For your information Kagame ameinyanyua Rwanda na Karibuni itakuwa superpower ya EA. Sasa hivi Rwanda imeendelea kuzidi Tanzania. Huwezi kulinganisha Kigali na Kampala ujue. Ila Ukweli ni lazima usemwe
Beneficially and financierAnahusika vipi na mzozo wa Drc ?
Hayo mahangaiko yako!Tunazungumzia evil deeds za kagame unaleta story za Kagame kujenga miji?get serious. Leta indices nyingine; mfano: hapness index kwa wanyarwanda vzvz Kagame regime, tueleze economicaly Kagame anapataje resources za Kujenga Kigali vzvz Kampala. Key issue ni namna ambavyo watu wenye asili ya kitutsi wanachukiwa because of Kagame deeds, jadili hili please
Kuna makundi 120 ya waasi huko Drc, mengine yametoka Uganda (Adf,LRA).. mengine Rwanda (Fdlr)... mengine Burundi (Red Tabare).... mengine ni ya wenyeji wa Drc (maimai n.k)...ila kwanini Kagame pekee atupiwe lawama ?Beneficially and financier
Wewe ni choko..Mimi ni mtusi wa karagwe Tanzania ila kiukweli hata sisi tumeua sana Wahutu toka kagame alipochukua madaraka to be honest
Asante kaka ila Nadhani hujawahi kukaa Rwanda miaka ya 1992 mpaka 1998 na siasa za Rwanda huzijui!!!!Mimi nipo kule vipindi vyote hivyo vya Hon Habriymana na Afande PC (Hon Paul Kagame)!!!!!Na mapungufu ya serikali zote mbili nimeyashuudia!!!Wewe ni choko..
Kuna sababu ila jibu sahii waulize wakongo hasa watu wa jamii ya wabangu bangu!!Kuna makundi 120 ya waasi huko Drc, mengine yametoka Uganda (Adf,LRA).. mengine Rwanda (Fdlr)... mengine Burundi (Red Tabare).... mengine ni ya wenyeji wa Drc (maimai n.k)...ila kwanini Kagame pekee atupiwe lawama ?
Moronight walker
Hao wabangu bangu hatuwasikii Sana kwenye mizozo kama wanyamulenge, wahema na walendu ...Kuna sababu ila jibu sahii waulize wakongo hasa watu wa jamii ya wabangu bangu!!
Ushawahi kufika na kuishi Rwanda!!!Kujenga mji mbona hata Habriymana angekua hai angejenga!!!Hapa zinazungumziwa dhaama za serikali ya Kagame kwa Wahutu wa Rwanda hata ambao hawakushiriki genocide (1993-1994) baada ya yeye kuchukua madaraka!!!Mimi nachukia uongo! For your information Kagame ameinyanyua Rwanda na Karibuni itakuwa superpower ya EA. Sasa hivi Rwanda imeendelea kuzidi Tanzania. Huwezi kulinganisha Kigali na Kampala ujue. Ila Ukweli ni lazima usemwe.
To me PK au JPM ndiyo marais bora maana kama JPM alitaka kuifanya Tanzania iwe superpower ya EA ujue kwa kuendeleza miundombinu. PK is the best na hivyo kwa kueleza kuwa Kinyambo na kinyarwanda havishabihiani naeleza ukweli, siyo kuwa namchukia Kagame. Na msimamo wangu hapa JF unajulikana kuhusu JPM