Moronight walker
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 3,103
- 4,704
- Thread starter
- #241
Wapo wapi nowNa marafiki zangu wakitusi nilisoma nao chuo kimoja DSM jamaa wanajisifia wanaakili Sana kama Jews.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo wapi nowNa marafiki zangu wakitusi nilisoma nao chuo kimoja DSM jamaa wanajisifia wanaakili Sana kama Jews.
Wewe unayo hio tabia mkuu, kujiona Bora kuliko wengine?Ni kweli kaka tabia hiyo ipo na mababu zetu waliamini wao sio wabantu ni waabeshi
Hapo anakula bata na pandikizi...MR SLIM (PK) SON ANAKULA BATA MBELE NA MALAYA
😂😂😂View attachment 2460060
Umenena yotewacongo walikuwa wanawachukia watutsi ( banyamulenge ) hata kabla ya PK kuchukua nchi kule rwanda.
Kwa sababu ya wao waliamia miaka ya nyuma congo , wakocngo walikuwa wanawaambia warundi, kwao tangu kipindi hicho.
Ila chuki ilizidi pale baada PK na RPA kuvamia rwanda vijana wao wengi walijiunga RPA rwanda ili kumsaidia PK kuchukua nchi na walifanikiwa.
Lakini 1996 walivamia congo(zaire) kwa lengo la kumuondoa mobutu na kumuweka kabila, ila nyuma wacongo wenyewe WANASEMA watutsi walitaka kuichukua north na kivu IWE rwanda KISA wamemsaidi kabila kuchukua nchi.
Japo kabila aliwashukuru kwa kumsaidia lkn mwishowe aliwafukuza watutsi warundi rwanda.
Na hii ndo chanzo cha vita vya pili vya congo.
Maana PK hakukubali kuwa kabila amfanyie uhuni.
Walivamia congo na kufanya ukatili MKUBWA sana.
So wacongo hawawapendi kwa sababu wanaonekana wanataka kuigawa congo.
Hao wazungu ndo wanaotugawaDah pole mkuu, yaani waafrika bila wazungu hatuwezi kumaliza Mambo yeti wenyewe
,pole
Ni RPF -Rwandese Patriotic Front siyo RPA usiandike kwa papara.They kill Rwigema in coldly way!!!!Hakudeserve betray ya namna ile kutoka RPA!!
Kisa, eti "he was too soft!!" alipendelea zaidi mazungumzo badara ya vita!!They kill Rwigema in coldly way!!!!Hakudeserve betray ya namna ile kutoka RPA!!
Uko sahihi huyo ni mhamiaji haramKinyambo kinashabihiana na kinyankole, kichiga (upande wa Uganda) hata museveni akiongea ni Mnyambo wanaelewana! Kihaya kinalandana na wala si kushabihiana tu na Kinyambo ila kinyarwanda ni tofauti na Kinyambo. Kagame akiongea Mnyambo haambulii hata neno moja. Achani kudanganya hapo maana hao wapuuzi wawili wazazi wao ni wanyarwanda waliohamia karagwe. Kwa vile mnyarwanda haachi asili, huwa wanafundisha watoto wao kinyarwanda. Hivyo hawa wapuuzi kutokana na kuzaliwa karagwe wanafahamu pia Kinyambo wanadhani kila Mnyambo anajua kinyarwanda.
Kinyarwanda kinashabihiana na kiha, kihangaza, kirundi.
Utakuwa intarahamwe sio bureTunazungumzia evil deeds za kagame unaleta story za Kagame kujenga miji?get serious. Leta indices nyingine; mfano: hapness index kwa wanyarwanda vzvz Kagame regime, tueleze economicaly Kagame anapataje resources za Kujenga Kigali vzvz Kampala. Key issue ni namna ambavyo watu wenye asili ya kitutsi wanachukiwa because of Kagame deeds, jadili hili please
We ni intarahamwe sio mtutsiUshawahi kufika na kuishi Rwanda!!!Kujenga mji mbona hata Habriymana angekua hai angejenga!!!Hapa zinazungumziwa dhaama za serikali ya Kagame kwa Wahutu wa Rwanda hata ambao hawakushiriki genocide (1993-1994) baada ya yeye kuchukua madaraka!!!
Hii ndiyo sababu mnapenda kuuaUtakuwa intarahamwe sio bure
Wapo hapa hapa Tanzania.vyuoni mbona huwa wapo wengi Tu lakini ni Watusi watanzania.Wapo wapi now
We mhutu tuliza mshonoWe mtutsi usituletee ujinga wako humu, acha jamaa atume video tuone mnvayoangamia. Mbona ninyi mmewaua wacongo wengi tu.
Mimi ni mtusi kwa mtazamo wako Wahutu wangeniita inyenzi na kwa kua ni mtusi nisiye mbaguzi RPF Lazima wanite Intarehamwe!!!!Lakini penye ukweli tupasemeWe ni intarahamwe sio mtutsi
Hapana kabla haijawa RPF walikua wanatumia jina hilo kule uganda miaka ya themanini mwishoniNi RPF -Rwandese Patriotic Front siyo RPA usiandike kwa papara.
Ni msaliti unajua mshahara wa msalitiMimi ni mtusi kwa mtazamo wako Wahutu wangeniita inyenzi na kwa kua ni mtusi nisiye mbaguzi RPF Lazima wanite Intarehamwe!!!!Lakini penye ukweli tupaseme
Ndio Hakupenda vita alipenda mazungumzo kwanzaKisa, eti "he was too soft!!" alipendelea zaidi mazungumzo badara ya vita!!
Afadhali mtu wa maana amepatikana katika huu uziUko sahihi huyo ni mhamiaji haram