Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Canibals hao wala nyama za watu satanistAisee jamaa analamba uume wa mwenzie, hatari sana huko
Wazungu walikuja kuleta civilization tamaa ya wapigania UHURU wakawatimuaSasa kama sio laana hiyo ni nini
Daa aise kweli waafrika ni zaidi ya wanyama
Homie unazingua sasa jana tulikua tunajadiliana sio kubishana kila mmoja anatoa maoni yake kwa utashi wake na wasomi(Watafiti) wenzangu sasa wewe vipi mbona unazingua kama wakuja unafeli homie!!!Huu uwanja huru kama Mada hauipendi acha wengine tujadiliane!!!!Acha kutumia nguvu bana kujitetea wewe ishi. Hii mipaka waliweka wakoloni na afrika ilikuwa moja. Mbona Kama mpakani na Kenya mmasai wa Kenya na Tanzania,mmeru wa Kenya na Tanzania na Kuna wakurya wapo Kenya na tanzania. Wao waliangalia ukubwa wa eneo wakagawana ili watawale Basi. Lakini sio kuwa asili ya watu ilikuwa inaangaliwa. Kama vipi mkubalie kuwa wewe Ni mkimbizi ili aridhike. Watu wanajitoa akili. Wakati wa Germany rule Rwanda na Burundi pia na Tanganyika ilikuwa kitu kimoja sema mwingereza ndio akamuachia Napoleon Rwanda na burundi
Laana ya congo ni matokeo ya tamaa ya mali toka kwa muabudu shetaniTuna nchi ya amani sana
Huko wao ni kuuwana tu ila kuna laana flani ni kama Somalia tu
Ukisema hivyo ni mbaguzi!!!Hata mtu mrefu ana haki ya kuishi sote bindamuMobutu ndie chanzo cha mauaji congo, congo itatulia siku mtu mrefu akiondoka duniani. Wakala wa shetani Hawezi ishi bila damu za watu.
Wanajisifia Tu hawana loloteYani namanisha HIZO akili zao zimewasaidia nn?
Kuishi kwa maumivu ya wengine si bora mmoja aondoke wapone wengiUkisema hivyo ni mbaguzi!!!Hata mtu mrefu ana haki ya kuishi sote bindamu
Labda sikukuelewa uliposema mtu mrefu kakaKuishi kwa maumivu ya wengine si bora mmoja aondoke wapone wengi
Duh!... hii ni dharau kwa wapigania Uhuru.....umepotoka mkuuWazungu walikuja kuleta civilization tamaa ya wapigania UHURU wakawatimua
Dharau ipo SAsa wakati ndo ukweli halisi, uoni maisha mabovu wanayoishi waafrika baada ya UHURU. Wapigania UHURU walipigania maslai yao binafsi na sio maslai ya waafrika wote. Thus wao waliishi peponi huku mamilioni ya waafrika wakiishi sawa na jehanamu.Duh!... hii ni dharau kwa wapigania Uhuru.....umepotoka mkuu
Ni kweli wapigania Uhuru (viongozi) waligeuka kuwa wakoloni weusi baada ya uhuru (wasaliti wa Uhuru)..Dharau ipo SAsa wakati ndo ukweli halisi, uoni maisha mabovu wanayoishi waafrika baada ya UHURU. Wapigania UHURU walipigania maslai yao binafsi na sio maslai ya waafrika wote. Thus wao waliishi peponi huku mamilioni ya waafrika wakiishi sawa na jehanamu.
Baada ya UHURU ni wao ndio wakaweka mifumo mibovu ya kuwalinda wao na maslai yao mfano wakaunda vikundi vya kigaidi kwa jina la kikosi cha kumlinda rais ( wasiojulikana) hivi viliteka, kutesa na kuua waafrika wengi sana Ili kulinda tumbo la mtawala SAsa ipi tofauti yao na mkoloni angalau hata mkoloni alileta maendeleo.Kamuzu banda,mugabe,mobutu,moi,nk kwa ukatili waliowatendea waafrika ni bora hata ya mkoloni.Kupigania UHURU huwa na maana kama mnaweza kuendelea zaidi baada ya UHURU na sio kurudi nyuma.Ni kweli wapigania Uhuru (viongozi) waligeuka kuwa wakoloni weusi baada ya uhuru (wasaliti wa Uhuru)..
..ila wazalendo kupigania Uhuru halikuwa jambo baya kufanya japo walisalitiwa na viongozi wapya baada ya uhuru.
Sasa kwenye hizo video mmoja kavaa combat za kijeshi?na mwenyewe ni mnyamulenge?ila kavaa combat za kijeshi?au ni mamluki wa Rwanda wameingia kwenye 18 za wacongo!?
Kuna tofauti kubwa mno kati ya uwekezaji na ukoloni, huko China kuna uwekezaji mkubwa mno kutoka kampuni za kimagharibi sababu ya soko lake kubwa na ujuzi wa gharama nafuu. ...ina maana huo nao ni ukoloni ?Unawaondoa wakoloni KISHA unawaita tena kwa mlango wa wawekezaji means tulikurupuka kudai UHURU,nini tofauti Kati ya mkoloni na muwekezaji,tena hawa wawekezaji ni hatari na wabaya zaidi kuliko hata mkoloni.