Ukatili na roho mbaya katika kundi hili la bodaboda vinasababishwa na nini?

Ukatili na roho mbaya katika kundi hili la bodaboda vinasababishwa na nini?

Siyo kwamba watu wote wenye boda bida ambao wapo vijiweni kweli ni "boda boda halisi*, walio wengi hapo wapo kama geresha tu, wanazuga huku wakiwa na shughuli zao halisi zinazowaingizia kipato cha halali na haramu. Wezi nao wapo humohumo kwenye kazi za boda boda. Aidha, hata "mumiani" nao wapo humohumo kwenye kundi la boda boda, na ndio hao walitumika sana wakati ule wa mwendazake katika "kuchora ramani" za watu ambao kwao walikuwa ni 'target's' zao. Bodaboda wengi (surveillance agents) walitumika sana ktk kufanikisha mipango yao (mumiani) kwenye misheni za kuteka watu na hata kuwafanyia watu (walengwa wao) vitendo mbalimbali vya hujuma, na ktk wakati huo pikipiki nyingi sana mpya aina ya boxer zilinunuliwa na walipewa watu hao ili waweze kufanikisha mipango yao hiyo ya kidhalimu. Pikipiki hizo nyingi unaweza kuzitambua (endapo kama utakkuwa na macho makali sana ya mwewe ) kwani utaona zimewekwa alama fulanifulani za utambuzi za kificho ili kuwafanya baadhi ya "members" kutambulika kiurahisi na wahusika au members wenyewe kuweza kutambuana wao kwa wao wawapo kwenye missions zao huko kwenye vilinge vya bodaboda. Kwa hiyo usione ukadhani.
Hii huwezi kukwepa popote na nchi yeyote, kuweka gharama kubwa ni kuwakomoa wanaoanza kazi.
 
Hii huwezi kukwepa popote na nchi yeyote, kuweka gharama kubwa ni kuwakomoa wanaoanza kazi.
Huwezi kujua, yawezekana pengine hicho kilinge cha bodabida ni Ofisi yao ya Siri ya kimkakati ya hao mumiani, kuweka gharama kubwa ya kiingilio pengine ni mbinu mojawapo ya kimkakati ya kuwazuia watu wengine/bodaboda ambao siyo members wa kundi lao, wala siyo kuwakomoa bodaboda wapya wageni au wanaoanza kazi.
 
Huwezi kujua, yawezekana pengine hicho kilinge cha bodabida ni Ofisi yao ya Siri ya kimkakati ya hao mumiani, kuweka gharama kubwa ya kiingilio pengine ni mbinu mojawapo ya kimkakati ya kuwazuia watu wengine/bodabida ambao siyo members wa kundi lao, wala siyo kuwakomoa bodaboda wapya wageni au wanaoanza kazi.
Nimekuelewa!
 
Baadhi yao ni wema kabisa lakn sometimes wanakuaga na ka ushirikiano kasiko na akili.Kuna jamaa juzi apa wamempiga hadi kutaka kumuua kisa boda mwenzao kawaambia kuwa jamaa alitaka kumuibia pikipiki siku za nyuma.Kumbe ki uhalisia yule jamaaa walikua na ugomvi nae wa madem,saiv tunavoongea jamaa amepata ulemavu kisa ushirikiano wa kijinga.SOMETIMES WAWE MAKINI😥
 
Back
Top Bottom