Ukavu sehemu za siri

labda una kilema cha huko chini wahi hosp
 
Eh! Mbona jibu unalo mwenyewe. Ni sawa na kwenda hospitali, kisha wamwambia Dr. Kwamba ukikaa kwenye jua kichwa kinakuuma. Dr. Atakwambia usiwe unakaa kwenye jua, simple!! JiBU LAKO: ukitaka kuseks na uwe unateleza kiulaiiini basi usinywe kilevu, Simple! Mwili wako ndo uko hivyo, si ugonjwa!
 
Dah hivyo vitu watu wanavisaka kwa UDI na uvumba !kwahiyo inakua kavu kabisa!
 
Waambie wahusika wawe wanatemea mate kila baada ya dakika kadhaa. Sidhani kama ni ugonjwa. Labda ukinywa mwili wako hausisimki.
 

Basi ntaacha......kuliko kukosa utamu
 
Nachojua mm....fluid yoyote ina uwezo wakucarry virus,sasa kama kuna michubuko ndo utata

Mkipigana mabusu nayo huwa mnavaa condom midomoni? Nendeni mkapime afya zenu, Kama humuamini! What's the point of being with him anyway?
 
Kitaalamu pombe ina tabia ya kuwa aphrodisiac...

Aphrodisiac ni kitu kinachoongeza matamanio ya ngono kwa mwanaume au mwanamke...

Pamoja na sifa hii ya pombe lakini kuna madhara mengi hasi kuliko chanya haswa inapotumika kwa watu wafanyao ngono...

Pombe yoyote is a central nervous system depressant.
Kwa kawaida mfumo wa fahamu wa kati umetengenezwa mahususi ka ajili ya mambo kama matamanio ya ngono na kufika mshindo, mfumo wa hewa na damu pamoja na mfumo wa neva za hisia.

Ukiacha hili pia pombe husababisha ukavu wa uke kwa kuwa ina sifa ya kufanya dehydration inapoingia mwilini mwa binadamu...(walevi wengi huwa ni marafiki wa choo).
Ukiacha ukavu wa uke pia huleta madhara mengine kama uchovu, maumivu ya kichwa n.k

Kuna madhara mengine mengi kwa wanaume na wanawake ila nimeyataja hayo mawili kulingana na tatizo ulilolibainisha...

Mwisho nakushauri uache uzinzi na matumizi ya pombe bi mkubwa, acha ngono isubiri hadi utapoolewa..
 


Point taken.......mpaka nitakapoolewa
 
Mkipigana mabusu nayo huwa mnavaa condom midomoni? Nendeni mkapime afya zenu, Kama humuamini! What's the point of being with him anyway?

Tumepima lakin tunavaa condom...tatizo lipo wapi???
 
Mkipigana mabusu nayo huwa mnavaa condom midomoni? Nendeni mkapime afya zenu, Kama humuamini! What's the point of being with him anyway?

Sema weyee... Mi nimeshangaa kimya kimyaa..!
 
Uterez nnao mzur tu wa wastani nisipokunywa ila nikinywa unakuwa kidogo sana.
Ingawa shem wenu ndo anasema inazid kuwa tamu jamani

Anazingua, kavu sio tamu kwani inaumiza na mwanamke hafurahii. Papuchi ikiwa na ute wa wastani ndio mpango mzima, anzeni kuilainisha na mate (halafu uzoefu wangu unaonesha hamtumii kinga nyie).
 
Sitaki hii kampeni yako inayolenga kupunguza pato la taifa. Wewe ni adui wa ukuwaji wa uchumi wa inji hii na hufai, unaweza kutibu watu bila kuathiri masharti ya Sheria ya Kodi ya mwaka ... na Sheria ndogo ya Vilevi.

cc: Baba V
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…