Asante......nichanganyishie na zanzi
Nooo, watoto wa Arusha huwa wanapata kitu inaitwa Ndizi-Kuku...
Unamix kile cha Arusha na Banana
What Are The Causes Of A Dry Vagina
Vaginal dryness is often caused by low levels of estrogen in the body. It is very common for this to happen just before, during and after menopause. The other frequent causes for a dry vagina are rough intercourse, certain tampons and female hygiene products that may contain alchohol or dyes. Stress and certain medications have also been found to cause vaginal dryness in women.
Hata Baby Johnson ya maji...ni nzuri..
Ongezeni Foreplay
Kuna hii extract nimeikuta hapa..... Dry Vagina Problems? How To Treat Vagina Dryness
katika causes wameweka haya...
Sasa kutokana na hio cause hapo juu na wewe umesema mkinywa pombe.., jambo naloweza kudhani labda kutokana na kunywa hio pombe na huyo jamaa yako kushuka jumvini maybe kuna connection ya hio alcohol kuamia huko chini hence causing dryness
Sina uhakika am just trying to be Sherlock Holmes
Tumia KY Jelly Silk E
hapo nakushaur uache pombe ili ufurahie mapenz ,ndo tiba sahihi
Nachojua mm....fluid yoyote ina uwezo wakucarry virus,sasa kama kuna michubuko ndo utata
Heeeee jamani???inakuwa ngumu haipenyi vizur au sababu ndom??!!
kama ni virus vya hiv hamna kwenye mate.labda hepatit B.
iyo tu kuwa mwanamke mnywaji, umeshapoteza sifa ya kuwa wife material. nakushauri uache pombe yasije kukukuta mabaya. tukija kwenye topic, siwezi discuss topic hi na wewe kwasababu unaonekana haujaolewa. kama hata condom ambayo imepakwa mafuta bado kavu basi una tatizo kubwa sana, either pepo mahaba/jini mahaba anakuwa anakuzuia usifanye na man mwingine kwasababu yeye anakumiliki na kukufanya bila wewe kujijua. haiingii akilini kuwa itakuwa haiingii hata kwa ndom iliyo na mafuta laini. au unaleta story tu za mtaani ili watu wakuone kuwa ni mnato kumbe......, pole.Habari zenu wana jamvii....
Me nina swali jamani....nikinywa kilevi wakati nnataka kusex na shemu wenu ute unakata na papuchi inakuwa kavu zaidi.Je ni ugonjwa au???
iyo tu kuwa mwanamke mnywaji, umeshapoteza sifa ya kuwa wife material. nakushauri uache pombe yasije kukukuta mabaya. tukija kwenye topic, siwezi discuss topic hi na wewe kwasababu unaonekana haujaolewa. kama hata condom ambayo imepakwa mafuta bado kavu basi una tatizo kubwa sana, either pepo mahaba/jini mahaba anakuwa anakuzuia usifanye na man mwingine kwasababu yeye anakumiliki na kukufanya bila wewe kujijua. haiingii akilini kuwa itakuwa haiingii hata kwa ndom iliyo na mafuta laini. au unaleta story tu za mtaani ili watu wakuone kuwa ni mnato kumbe......, pole.
iyo tu kuwa mwanamke mnywaji, umeshapoteza sifa ya kuwa wife material. nakushauri uache pombe yasije kukukuta mabaya. tukija kwenye topic, siwezi discuss topic hi na wewe kwasababu unaonekana haujaolewa. kama hata condom ambayo imepakwa mafuta bado kavu basi una tatizo kubwa sana, either pepo mahaba/jini mahaba anakuwa anakuzuia usifanye na man mwingine kwasababu yeye anakumiliki na kukufanya bila wewe kujijua. haiingii akilini kuwa itakuwa haiingii hata kwa ndom iliyo na mafuta laini. au unaleta story tu za mtaani ili watu wakuone kuwa ni mnato kumbe......, pole.
Ha ha ha me nimuoga sana hata nipime na mwanaume HIV bado siamini kavu.Kavu nilikulana sana na first boyfriend wangu lakin nahis ni utoto lakin toka hapo siwezi.
Jini mahaba nikinywa pombe tu.....basi mwache aendelee.
Halafu soma thread vizur sio kukurupuka.Haya asante kwa kuchangia.
Pole shosti.... Wenzio tukiweka kapombe kidogo ndio panateleza balaa..
But unaeza kuacha knywa maana inaonyesha haikupi mzuka