Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba msaada wenu, rfk yangu ana tatizo la ukavu ukeni kila anapofanya mapenzi, afanye nini kuepuka hilo tatizo?
Nawasilisha
Naomba msaada wenu, rfk yangu ana tatizo la ukavu ukeni kila anapofanya mapenzi, afanye nini kuepuka hilo tatizo?
Nawasilisha
KY jelly na lubricants nyingine. Aende pharmacy kubwa akieleza tatizo lake na kuwa anahitaji vilainishi(lubricant) atapata.Mafuta ya aina gani?
HajakeketwaSio lazima ujibu lakini itasaidia kama huyu rafiki yako amekeketwa (female circumcision) au hapana.
Tiba ya rahisi ni kutumia vilainishi kama K-Y lotion. Hii itamfanya asiumie tu lakini haitahakikisha yeye kufurahia hilo tendo.
Kama hajakeketwa basi kuna haja ya kumuona daktari wa wakina mama.
Weka wazi hapa. Amekeketwa au hapana ili apate ushauri wa kina.
Ila pia ni vema kabla hajatumia vilainishi vya ukeni akaenda kumuona gynecologist-daktari wa magonjwa ya wanawake kwa ushauri na tiba.Naomba msaada wenu, rfk yangu ana tatizo la ukavu ukeni kila anapofanya mapenzi, afanye nini kuepuka hilo tatizo?
Nawasilisha
Hajakeketwa