Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atafanya hivyoMimi ushauri wangu mkubwa akamuone doctor kwa sababu sijui kama tatizo lake ni la kihomoni au ni la kihisia(kutokufanyiwa matayarisho vizuri kabla ya tendo) na ninasisitiza kuwa usipake mafuta ya aina yeyote unless doctor awe amekushauri hivyo!
Naomba msaada wenu, rfk yangu ana tatizo la ukavu ukeni kila anapofanya mapenzi, afanye nini kuepuka hilo tatizo?
Nawasilisha
nione inbox, siruhusiwi kumwaga utalaamu kwenye majukwaa ya wazi kama hivi!Vyakula gani mkuu
Powa
AnajiheshimuMficha uchi.........?
Duuuuh.mwambie apake petrol ukeni kwa muda wa siku 3 mfululizo na tatizo lake litakuwa limeisha