Elections 2015 UKAWA kusimamisha mgombea Urais 2015

Hapo visiwan maalim
Tz yote awe huyu shibuda kama kwel wanania ya dhat ya kushnda
Lipumba, slaa, na mbowe hawana mvuto tena kwa watz
Watz wanategemea kuona sura nyingne uchaguz huu
Heb wamweke shibuda muone atakavopoteza
 
Labda wawafanyie operesheni ya ubongo slaa,mbowe,lipumba,seif na mbatia alafu waunganishe akili zao ili wapate mtu mmoja hapo nitawaelewa...otherwise watashiriki uchaguzi kutimiza wajibu wa kikatiba kama ilivyo desturi....
 
nyepesi nilizonazo ni kwamba atakuwa kati ya lema au sugu. msigwa yupo lakini hana wafuasi wengi kama hao wawili wa mwanzo.

Wana JF,
Nani anafaa kugombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA / UKAWA mwaka 2015???

Mandla,
 
Wana jf
Ni muda mzuri pia wa kutafakari nani haswa anastahihili kupeperusha dendera ya upinzani katika uchaguzi mkuu kupitia umoja wa UKAWA?
Imani ya wanachi Ni kwamba ataweza kusimama katika ukweli na kuweza kusimamia raslimaki zetu kwa uadililifu kwa manufaa ya watanzania wote
 
Dr. Slaa na mgombea mwenza Seif Sharif Hamad.. Hapo kazi inakuwa imekwisha..
 
,hivi kumbe dr.slaa ni msomi? Sasa mbona mnakataa kuwaita mashekhe wote kuwa nao ni wasomi au udini ndo umewatawala!
 
Chadema wana mgombea zaidi ya Babu Slaa atakayekuwa na miaka 70 mwakani?
 
Ha ha ha smoke screen cover, ha ha ......!!!&&&? Nyani haoni kundule....!!!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…