Dr Slaa kashazeeka sana!! Sidhani kama anafaa nafasi hiyo.
Nilimsikia juzi kwenye radio....anaongea kama hana meno mdomoni. Yani kiukweli kazeeka sana.
Nilimuona April...aisee kakongoroka sana.
Waangalie mtu mwingine kwa urais
Kumbe Dr Slaa ana matatizo ya mkono wa kushoto?? Duuhh
Hyo tuwaachie wakorea,walau koo zetu nazo zije bahatika kuukwaa uraisi,
Mbinafsishe kivipi yaan.., sikuelewi......enzi za Mwl. Nilimshauri tubinafisishe urais, akakata!
"sisi tungebaki na nafasi ya u-waziri mkuu tu...!"
Swadakta!!Mkuu,
Kwa maana hiyo kama ikipita hekaya ikawa ni leo mfumo uliopendekeza umeanza.......unataka kusema Ridhiwani mashalah?
hilo neno 'Cadaver' ni TM yangu.., naomba usilitumie tena tafadhali.., otherwise itabidi nirudi kwenye 'mbwa'!Hii thread imekaa ki cadaver kabisa...
si ndio maana nimelitumia katika uzi wako huu wa ki mbwa...hilo neno 'Cadaver' ni TM yangu.., naomba usilitumie tena tafadhali.., otherwise itabidi nirudi kwenye 'mbwa'!