Elections 2015 UKAWA kusimamisha mgombea Urais 2015

Elections 2015 UKAWA kusimamisha mgombea Urais 2015

waroho sana wa madaraka wengi wao hawawezi kutekeleza hilo
 
Hapo ndipo utaona unafiki wa wanasiasa,Mbowe alisema hawez ungana na chama chochote hapa nchn maana chadema inajitosheleza.
 
CCM haiwezekani kuanguka kwa hawa viongozi kuungana.

CCM ina ajenda kwa umma
,UKAWA ajenda za matukio

hawawezi ongoza nchi
 
Hahahahahaaaaaa, CHADEMA kwishney. Ukiona chama kinakimbilia kuomba msaada wa vyama vingine ujue ndo mwisho wake. Ila watambue kuwa nguvu ya CCM ni mara 100 ya nguvu ya UKAWA

Wahenga wanasema usimtukane mamba kabla hujavuka mto. Na hasa ikiwa kuvuka mto kuelekea ng'ambo ni jambo lisilokwepeka. Nadhani Chadema walilewa mafanikio ya muda mfupi na sasa they are coming back to their senses.
 
mwekundu umeishiwa akili, duh! Kweli nimeamini zaidi zitto siyo mtu mzuri.

hivi unafikiri ni mara ya kwanza vyama pinzani kufikiria kujiunga ?from 2000 hizo stori zao nasikia Lyatonga Mrema aliwaambia anataka awe Mwenyekiti wao so far ,mgomo wa juzi tu huu kuna wengine walirudi kimya kimya kwenda kuvuta posho bungeni......usisikie zinc njaa mbaya sana inaua umoja
 
Last edited by a moderator:
Wakifanya hivyo ndo tutashuhudia uchaguzi wenye msisimko, ingawa CCM watatumia vyama vingine kama ACT,ADC, APPT, nk kuwagawa wapiga kura chezea chama chakavu weye,

Kwa mujibu wa Gazeti la Mwananchi, UKAWA wana mpango wa kuweka Mgombea Urais 2015

- Aidha, wana mpango wa kusimamisha mgombea ubunge mmoja katika majimbo

- Mbowe, Mbatia na Lipumba wazungumza na kudai ni mapema mno kutoa maelezo juu ya umoja wao!

- Vyama vimeshapeleka mapendekezo kwenye sekretarieti za vyama husika kwa ajili ya kufanyiwa uchambuzi wa kufanikisha hili

- Mbowe adai kuunganisha nguvu ya vyama vya upinzani ni suala ambalo halikwepeki kwakuwa Siasa za sasa ni dynamic (zinabadilika) na fikra za jana ni tofauti na za leo.

- Lipumba adai Katiba imewaunganisha wapinzani na kuongeza kuwa huu ni mwanzo mzuri unaoweza kutoa mwanga wa nini kitatokea mbeleni.

- Mbatia asisitiza kuwa suala la wapinzani kuungana si la kujadili maana ndiyo mahitaji ya wananchi kwa sasa!
 
Hakika Mkuu. Hawawezina hawatathubutu

1.Lipumba tangia nakua ndo anagombea CUF uraisi -wengine wapo tu kibao hizi ni dalili za ufalme
2.Mbowe -amefuta kipindi cha ukomo wa madaraka ana tofauti gani na MUgabe,MU7 au PK? anayekinyemelea kiti Mhaini(hivi kuna uhaini ndani ya chama?_kimbuka uhaini ni mtu anayetaka kupindua dola/nchi kabla 2010 zanzibar ukipindua kesi yake huitwi mhaini i.e haikua nchi)
3.Mbatia naona ndo yuko clear ingawaje na yeye ana element za udikteta waulize vijana wa kigoma watakuambia
 
Kwa hiyo kila anaetaka madaraka ni mroho siyo?

Isipokuwa ccm
mbowe yuko kwenye chama tu amefuta ukomo wa kipindi cha madaraka kinyemela siku akiingia ikulu akawa anaandaliwa chai kule si atajitangaza mfalme?
 
ni kitu nilikua nakiomba siku zote kitokee naona ndoto zinakaribia kutimia.

Mungu saidia washinde propaganda chafu za ccm.!!
 
Kwa hiyo kila anaetaka madaraka ni mroho siyo?

Isipokuwa ccm
Ndo uone hamna tofauti kati ya wanaotutawala na wanaoutaka utawala-wanaotutawala hatuwapendi na tunaowataka hatuwaamini!!
 
Watanzania, haswa Watanganyika. Tufumbe macho kwa kumuheshimu Mola wetu tuombe; Ee Mola wetu, weye usikiaye kilio chetu, UKAWA idumu mpaka Maccm yachanganyikiwe. Twajua, sasa yanahangaika kuutibua umoja wetu huu kwani umekuwa chuma cha pua kwao. Hawajui waanzie wapi kuubomoa kwani ni kitu ambacho hawakutegemea. Mola wetu, usimsikie Kingunge na maombi yake batili ila utukinge na ndumba zake za waganga wake wa kienyeji walio mtuma aende kuchafua katiba yetu ya wananchi. Mzidishie ubunifu mmbaya ili azidi kuwaimarisha UKAWA. Asante kwa kuwa umesikia na umeshajibu tayari.
Jamani maombi yamesikiwa, tuamini kabisa kuwa maccm yameangukia pua. Katiba yao feki haitapita kwa wananchi.
 
Back
Top Bottom