1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 7,201
- 9,529
wapo wengi tu,ila kazi ipo kwa ccm kila mtu anajiona ana sifa za kuwa raisi hadi king Majuto nae ametangaza nia,heri nimpe kura majuto kuriko wasira au sita!
Daah!!
Lakini kweli,Majuto hana kashfa wala tuhuma.
Ni mtu safi.
Ila hana uwezo na uzoefu wa kuongoza labda tumjaribu tu kwenye serikali za mitaa kwanza.