Elections 2015 UKAWA kusimamisha mgombea Urais 2015

Elections 2015 UKAWA kusimamisha mgombea Urais 2015

Ulipata ajali ukadhani hukuumia kumbe UBONGO ULICHEZA madhara yake ndo HAYA
 
Mie nilijua leo ni 40 ya chama kilichokufa,ndiyo maana umekuja kutukumbusha?

Unataka kuwapeleka marehemu na washirika wake kwenye bunge la katiba?

Waweza kuongeza matumizi ya choo kwa kuwa bafu, lakini huwezi kugeuza matumizi ya bafu kuwa choo. Na Ukawa wasigeuze matumizi ya Bunge kuwa ya majukwaani na matumizi ya majukwaani kuwa ya Bungeni.
 
:rockon:😛eace:😛eace::rockon:

Magamba safari :llama:hii mmeula wa chuya!
 
Umoja wa katiba ya wananchi UKAWA, wamewataka wananchi kuendelea kuwaunga mkono UKAWA kwakua wataing'oa CCM ili wa Tanzania wa faidi rasilimali zao, hivyo wamewataka wananchi kutoyumbishwa na propaganda dhidi ya UKAWA kwakuwa umoja huu ndio fimbo ya kuing'oa CCM mwakani.
 
Hizo rasilimali wanazohubiri ndo zimewatoa bungeni? Tuondoleeni ushuzi wenu hapa na hao matapeli.

TUNDU LISU kaiba hela za taasisi na akaifilisi akaenda kujenga gorofa pale TEGETA. Atatwambia nini kuhusu ufisadi wa ccm wakati naye ni mwizi wa kutupa???

Huyo dj sina hata haja ya kumuongelea hapa nadhani kila mtu anajua jinsi gani alivyo mwizi wa kutupa hapa tz.

Hao matapeli wengne kama akina Lema na slaa nani asiyewajua mpaka mje kutuhubiria kana kwamba mmetuona tulivyo wajinga???

Huyo mdini lipumba na hivyo visuruali vyake vya kuishia chini ya magoti kwa kuendekeza udini pamoja na kijukuu chake toto la sultan seif sharif hamad nani asiyewajua walivyo matapeli na wasaliti kwenye siasa za nchi yetu???

Tuondoleeni ushuzi wenu hapa.

Nyie mngekua mnaishi Rwanda sizani kama mngelikua hai. Kitambo tumeshawazika.
 
Safi Sana ukawaaaaaaa tuko pamoja na kura Yangu ni yenu kikubwa namuomb Mungu anipe uzima
 
Hizo rasilimali wanazohubiri ndo zimewatoa bungeni? Tuondoleeni ushuzi wenu hapa na hao matapeli.

TUNDU LISU kaiba hela za taasisi na akaifilisi akaenda kujenga gorofa pale TEGETA. Atatwambia nini kuhusu ufisadi wa ccm wakati naye ni mwizi wa kutupa???

Huyo dj sina hata haja ya kumuongelea hapa nadhani kila mtu anajua jinsi gani alivyo mwizi wa kutupa hapa tz.

Hao matapeli wengne kama akina Lema na slaa nani asiyewajua mpaka mje kutuhubiria kana kwamba mmetuona tulivyo wajinga???

Huyo mdini lipumba na hivyo visuruali vyake vya kuishia chini ya magoti kwa kuendekeza udini pamoja na kijukuu chake toto la sultan seif sharif hamad nani asiyewajua walivyo matapeli na wasaliti kwenye siasa za nchi yetu???

Tuondoleeni ushuzi wenu hapa.

Nyie mngekua mnaishi Rwanda sizani kama mngelikua hai. Kitambo tumeshawazika.
Ebu rudia kusoma andiko lako hili vizuri na wewe ujiangalie.Je,ndo uwezo wako umeishia hapa au umeamua kujitoa akili kwa kuanza kuhubiri mambo ya udini wakati wewe pia unawaza kiudini dini. Bado muda unao badilika,Mwigulu Nchemba kaanza kubadilika kwa nini wewe ushindwe.
 
Umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Ukawa ndo mpango mzima kwenye safu ya ushindi 2015! Hakika ukawa mkisimama hawa magamba watakufa kifo cha mende.
 
CCM mmeishindwa bungeni unadhani mtaiweza mitaani???
Endeleeni kuota!
 
Hizo rasilimali wanazohubiri ndo zimewatoa bungeni? Tuondoleeni ushuzi wenu hapa na hao matapeli.

TUNDU LISU kaiba hela za taasisi na akaifilisi akaenda kujenga gorofa pale TEGETA. Atatwambia nini kuhusu ufisadi wa ccm wakati naye ni mwizi wa kutupa???

Huyo dj sina hata haja ya kumuongelea hapa nadhani kila mtu anajua jinsi gani alivyo mwizi wa kutupa hapa tz.

Hao matapeli wengne kama akina Lema na slaa nani asiyewajua mpaka mje kutuhubiria kana kwamba mmetuona tulivyo wajinga???

Huyo mdini lipumba na hivyo visuruali vyake vya kuishia chini ya magoti kwa kuendekeza udini pamoja na kijukuu chake toto la sultan seif sharif hamad nani asiyewajua walivyo matapeli na wasaliti kwenye siasa za nchi yetu???

Tuondoleeni ushuzi wenu hapa.

Nyie mngekua mnaishi Rwanda sizani kama mngelikua hai. Kitambo tumeshawazika.

Maskini Hadi unatia huruma kwa jinsi povu linavyokutoka! Utake usitake mwisho wa ccm umefika,tafuta kazi halali kuliko hii ya kupakatwa na mafisadi
 
ungeweka wazi kwamba UKAWA 2015 zamu yenu ya kuibia wananchi .... ni wale wale tu ....
 
Back
Top Bottom