Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,397
- 7,974
Hivi mnadhani ccm ni chama chepesi sana??? Hebu jaribuni kama mtaweza, mkipata hata nusu ya kura mimi nitakuwa wa kwanza kujitoa ccm.
Mandla.
We ni njaa tu, nani anajali kama unajitoa au unabaki CCM...
Bilioni 200 Mwigulu Nchemba alizopiga juzi na IPTL ndio zitaipeleke CCM kaburini. Mwigulu na wenzie wameiba bilioni 200 na mgao wa umeme unaendelea bila ratiba. Vijana hawana ajira wanaishie kuendesha bodaboda, wakulima wanakosa pembejeo vocha zote mnagawana mafisadi. Hospitalini hakuna dawa, wajawazito wanajifungua sakafuni. Sasa CCM itachaguliwa tena kwa kipi ilichowafanyia watanzania?
Tunajua mmeanza kuua Albino kupata ushirikina wa kushindia uchaguzi lakini safari hii Mwenyezi Mungu atasimama upande wa haki kwa ajili ya watu wa Jamhuri ya Tanganyika na watu wa Jamhuri ya Zanzibar