Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
hahahahaha watakapo shikana mashati ni hapo wakati wa kumteua Mgombea na hapo ndipo wata sambaratikaa wote.
Maana Lema,yericko,ben,crash,Mungi hawato kubali Prof Lipumba kuchukua kijiti na wale wa CUF Ngangari hawato kubali Dr slaa au Mbowe kuchukua Kijiti.
Na katika hili tukae tayari kushuhudia ngumi ambazo hazijawai kutokea.
Maana Dr.W.Slaa yeye anajua lazima apperushe bendera na Lipumba naye anajua Lazima apeperushe na hapo ndio ngumi zitako anzia.
Mkuu MSALANI
UKAWA wametoka kwenye Katiba hadi kugawana madaraka.
Kikundi cha UKAWA hakitoweza kukanyaga Ikulu kamwe.
Maana Lema,yericko,ben,crash,Mungi hawato kubali Prof Lipumba kuchukua kijiti na wale wa CUF Ngangari hawato kubali Dr slaa au Mbowe kuchukua Kijiti.
Na katika hili tukae tayari kushuhudia ngumi ambazo hazijawai kutokea.
Maana Dr.W.Slaa yeye anajua lazima apperushe bendera na Lipumba naye anajua Lazima apeperushe na hapo ndio ngumi zitako anzia.
Mkuu MSALANI
UKAWA wametoka kwenye Katiba hadi kugawana madaraka.
Kikundi cha UKAWA hakitoweza kukanyaga Ikulu kamwe.
Last edited by a moderator: