Elections 2015 UKAWA kusimamisha mgombea Urais 2015

Elections 2015 UKAWA kusimamisha mgombea Urais 2015

UKAWA wasimamishe mgombea ubunge mmoja kwa kila jimbo kutegemea na kukubalika kwa chama jimboni hapo. Kama ni Arusha basi UKAWA wasimamishe mgombea wa chadema, na kama ni Lindi UKAWA wasimamishe mgombea wa CUF.

Kwa kufanya hivyo viti vingi vya ubunge vitachukuliwa na UKAWA na kuinyima CCM nafasi ya kuwa na viti vingi bungeni.

mimi ninapinga kabisa na haitawekana kuwa na mgombea mmoja kila jimbo,kwa urais itawezekana. Msiwe na mategemeo chanya tu, kuna maeneo hawatakubaliana kabisa,kuna maeneo watakubaliana ila wananchi hawatakubaliana na chaguo la UKAWA hasa anaekubalika anapokosa nafasi,na wananchi watapiga kura kwa hasra,pia mpango huu unaua demokrasia na hautakuwa rafiki kwa wanasiasa vijana na chipukizi mana wazoefu ndio watapewa nafasi kwa kigezo cha KUKUBALIKA na si UWEZO. VIJANA NA WAPYA WANAWEZA KUWA NA UWEZO ILA HAWATAPENYA KWENYE UKAWA
 
Jipeni moyo, wenzeni wanajipanga na uchaguzi mkuu mwakani ukawa wanazunguruka mikoani kupandikiza chuki na uchochezi wa katiba, wakija kushtuka hawana chao, wanaanza kulia tena tumeibiwaaaaaaa!
Hata siku moja hakiri ndogo haiwezi kuitawala. Hakiri kubwa.


Wewe vipi? You are so negative!! Umetumwa nini? UKAWA hawafanyi chuki wala uchochezi, wanaeleza wananchi unafiki na uzandiki wa ccm!!!

Akili ndogo ni nani na akili kubwa ni ipi kati ya hizi?
1. Akili moja ni ya kifisadi na wizi wa mchana kweupe, na haina soni kwenye kudanganya wananchi
2. Akili ya pili inawaambia ukweli wananchi japo wengi hawaelewi kwa kutumia gharama kubwa

Hakiri = Akili


Weka akili sawa, kitakachotokea ni ccm kupoteza madaraka na upinzani kupata madaraka, si vinginevyo. Jiandaneni kisaikolojia tu.
 
CHADEMA Watawadanganya CUF na NCCR kuwa wao ndio wanakubalika hivyo wamuweke Mzee Slaa apiganie Urais


Acha uchochezi, we kaa kimya usubirie!! Akichaguliwa Slaa sawa, akiwa mbowe sawa, akiwa Lipumba sawa, akiwa Seif sawaaaa, akiwa mbatia sawaaaa. We shida yako nini? Hapa hakuna cha Chadema kudanganya ni makubaliano tu, acha woga wako na kutaka kuwagombanisha UKAWA. Wameshajipanga!! Shauri yenu.

Nyie ma CC mwekeni RIZ1 mwaka 2015 mtapata kura zaidi ya 85% kwikiii kwikiiiiiii
 
mimi ninapinga kabisa na haitawekana kuwa na mgombea mmoja kila jimbo,kwa urais itawezekana. Msiwe na mategemeo chanya tu, kuna maeneo hawatakubaliana kabisa,kuna maeneo watakubaliana ila wananchi hawatakubaliana na chaguo la UKAWA hasa anaekubalika anapokosa nafasi,na wananchi watapiga kura kwa hasra,pia mpango huu unaua demokrasia na hautakuwa rafiki kwa wanasiasa vijana na chipukizi mana wazoefu ndio watapewa nafasi kwa kigezo cha KUKUBALIKA na si UWEZO. VIJANA NA WAPYA WANAWEZA KUWA NA UWEZO ILA HAWATAPENYA KWENYE UKAWA

Kama we ni kijana na unataka kupenya, basi Ukawa ndio chaguo lako. UKAWA sio kama ccm ya kuangalia uzoefu na miaka mingi ya umbulula - wanaangalia kizazi kipya, na sera ya vyama vingi ni ya vijana na sio wazee. Wazee na waganga wa kienyejin chama chao kinajulikana.

Kuhusu kumpata mgombea wa ubunge, kutakua na vikao mahsusi vya kuteua ambavyo vitakua na viashiria vya kiyansi kabisa bila kumwangali mtu anatoka chama gani cha upinzania na ana uzoefu gani. Viashiria hivo kwa sasa ni siri ua Ukawa. Ila vipo , we ondoe woga ndugu yangu.
 
Mkuu Ruttashobolwa, UKAWA ni umoja ulioundwa katika misingi ya kilaghai, Mwanzo walisema nia yao ni kuwapatia wananchi wa Tanzania Katiba bora! lakini mara ghafla wakabadilika na kuanza kusema kuwa watasimamisha mgombea urais 2015. Je hiyo katiba bora ya wananchi (kwa mujibu wao) imeshapatikana? Au wanatuletea Usanii tu? Palipo na CHADEMA ulagahai hauchezi mbali!

Mkuu MSALANI tutegemee ngumi kati ya vijana wa Slaa na wa Lipumba.
 
Last edited by a moderator:
Kama we ni kijana na unataka kupenya, basi Ukawa ndio chaguo lako. UKAWA sio kama ccm ya kuangalia uzoefu na miaka mingi ya umbulula - wanaangalia kizazi kipya, na sera ya vyama vingi ni ya vijana na sio wazee. Wazee na waganga wa kienyejin chama chao kinajulikana.

Kuhusu kumpata mgombea wa ubunge, kutakua na vikao mahsusi vya kuteua ambavyo vitakua na viashiria vya kiyansi kabisa bila kumwangali mtu anatoka chama gani cha upinzania na ana uzoefu gani. Viashiria hivo kwa sasa ni siri ua Ukawa. Ila vipo , we ondoe woga ndugu yangu.
Sisi tuna subiri kushuhudia ngumi maana tunajua Chadema mtataka kuweka wagombea kla sehemu.
 
Mkuu Ruttashobolwa, UKAWA ni umoja ulioundwa katika misingi ya kilaghai, Mwanzo walisema nia yao ni kuwapatia wananchi wa Tanzania Katiba bora! lakini mara ghafla wakabadilika na kuanza kusema kuwa watasimamisha mgombea urais 2015. Je hiyo katiba bora ya wananchi (kwa mujibu wao) imeshapatikana? Au wanatuletea Usanii tu? Palipo na CHADEMA ulagahai hauchezi mbali!

Sijaona Ulaghai wowote hapo, we una chuki binafsi na chadema tu. Sina cha kukusaidia! Kuhusu kwamba watagombana na kupigana ngumi wakati wa kumchagua mgombea urais hayo ni mawazo yako tu, hujawahoji slaa wala lipumba wakakupa mawazo yao, hayo ni mawazo yako tu. Ambayo sio kweli. Na huwezi kuupata ukweli kwa sasa.

Opportunities come and go, UKAWA walitoka bungeni wakiwa na lengo la kuwafahamisha wananchi kwamba katiba mpya haiwezi kupatikana bungeni kwa kuwa wana ccm wameweka rasimu yao mbadala na pia kuna rushwa chini kwa chini ambayo itadhulumu mawazo ya wananchi, lengo lao ni kuwataarifi wananchi waweke shinikizo mkuhusu katiba waitakao na sio katiba ya ccm. katiba ni ya wananchi na sio mali ya chama chochote. Kuhsu wazo jingine la kuweka mgombe mmoja, hiyoni opportunity imejitokeza, kwa watu wenye akili kama ukawa hawawezi kuichachia ipite. Na hii strategy ya ukawa kusema itaweka mgombea mmoja mwaka 2015 ni mwiba mchungu sana kwa ccm, yaani imewaudhi sana wana ccm. Its very difficult sasa kwa wana ccm kuanza kupandikiza hila zao kwa wasichokijua. nafikiri umenipata. Kuhusu kutawala, hakuna kitu kinachoitwa kamwe hapa duniani - hiyo ni mali ya Mungu pekee. hata ccm inajua haitatawala milele, wanakushangaa hata wewe unavyosema kamwe!@!
 
Mbona umejibu kinyonge hivyo, teh teh teh Lipumba yupo CUF na CUF na CCM wameungana kuunda serikali.

Tumia akili mkuu,akili haujapewa kuwa dalali wa vitabu...Ukawa watasimamisha mgombea kijana..upo hapo
 
ccm mnasumbuka bure hata hamuamini kuwa salio lao halitoshi,kwenye daftari la kudumu kuna millioni 20 wapiga kura,je waliopiga kura walifika hata millioni nane?
Elimu kitolewa ushindani utaongezeka.
 
akihutubia maelfu ya wakazi wa jiji la arusha mapema jana katika mkutano wa [ukawa]katibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo,chadema,dr wilbod slaa, alisema,tumefikia makubaliano kama [ukawa] 2015 kumsimamisha mgombea 1 katika nafasi ya urais,lengo letu sio kutafuta vyeo bali kuwakomboa wananchi watanzania waliopigika na mfumo wa chama cha mapinduzi,nilifarijika sana niliposikia maneno haya kutoka kinywani mwake,maana ndio mwisho wa chama cha mapinduzi umewadia,kimsingi ni kujipanga bara bara kusuka kikosi kazi kitakacho fanya kazi ya ziada kuhakikisha ccm haifurukuti kabisa,bg up [ukawa] pa1tutashinda,

kufanikisha hilo lazima rais mgombea atoke cdm vinginevyo haiwezekani watabaki kugombania kiti hicho, lakini pia ccm wao wanampago wa kumsimamisha rais ambaye ni jembe la ukweli katika kufanya kazi na hana kashifa yoyote ya wizi au uongozi mbaya ambaye anauzika kwa watu na wanamkubali, ambaye anauzika kwenye majukwaa ya siasa na nje ya majukwaa ili kukabiliana na upinzani kikamilifu,waliowengi mnazani watamsimamisha lowasa ilo sahau maana mtapata nafasi ya kumsema uchafu wake wa wizi kwenye majukwa na midaharo ya kampeini.natabiri upinzani kuongeza viti vya wabunge na sio urais 2015.
 
Hata waungane haitasaidia ccm wanaanda jembe la ukweli ambalo halina kashifa za wizi wala utendaji mbaya ambalo wananchi wanamkubali kwa kuona utendaji kazi na sio wanatuaminisha kwa maneno, najua waliowengi mnazani watamsimamisha Lowasa ili mkamshushue na wizi wake kwenye midahalo na majukwa ya siasa hilo sahau kabisa ccm haiwezi fanya kosa kama hilo.
 
akihutubia maelfu ya wakazi wa jiji la arusha mapema jana katika mkutano wa [ukawa]katibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo,chadema,dr wilbod slaa, alisema,tumefikia makubaliano kama [ukawa] 2015 kumsimamisha mgombea 1 katika nafasi ya urais,lengo letu sio kutafuta vyeo bali kuwakomboa wananchi watanzania waliopigika na mfumo wa chama cha mapinduzi,nilifarijika sana niliposikia maneno haya kutoka kinywani mwake,maana ndio mwisho wa chama cha mapinduzi umewadia,kimsingi ni kujipanga bara bara kusuka kikosi kazi kitakacho fanya kazi ya ziada kuhakikisha ccm haifurukuti kabisa,bg up [ukawa] pa1tutashinda,

kufanikisha hilo lazima rais mgombea atoke cdm vinginevyo haiwezekani watabaki kugombania kiti hicho, lakini pia ccm wao wanampago wa kumsimamisha rais ambaye ni jembe la ukweli katika kufanya kazi na hana kashifa yoyote ya wizi au uongozi mbaya ambaye anauzika kwa watu na wanamkubali, ambaye anauzika kwenye majukwaa ya siasa na nje ya majukwaa ili kukabiliana na upinzani kikamilifu,waliowengi mnazani watamsimamisha lowasa ilo sahau maana mtapata nafasi ya kumsema uchafu wake wa wizi kwenye majukwa na midaharo ya kampeini.natabiri upinzani kuongeza viti vya wabunge na sio urais 2015.
 
kura za jk 2005 na 2010 zinalingana alafu jibu ujijibu mwenyewe.

Hii ndiyo UKAWA!.

Kuutunza ulaghai ni kazi inayohitaji nguvu za shetani lakini nguvu za shetani haziwezi kupambana na nguvu za Mungu.

Ukweli wa kikundi cha UKAWA umeanza kujidhihirisha!.

Hii inadhihirisha kuwa, UKAWA hawako kwa ajili ya maslahi ya Katiba bali kwa ajili ya kugawana vyeo lakini kikubwa zaidi, wameanza kugawana vyeo wakati hawafahamu hata matokeo ya Mchakato wa Katiba. Wao wana mchakato wao wa kugawana madaraka bila hata ya kuwauliza wanachama wa vyama vyao.

Hawawezi kufanikiwa!.

Kama kweli wamenuia basi Mgombea wa urais awe Dr Slaa na mgombea mwenza awe Seif Shariff Hamadi. Hapo CCM itakuwa kwisha habari yake.. Huo ndio utakuwa mwisho wa huo muungano feki na ,mwanzo wa mamlaka kamili katika kila nchi.



Mgombea atakayeleta ushindi wa kishindo kwa UKAWA lazima awe kati ya wale wanaotajwa ndani ya CCM .Hapo ndipo penye siri za ushindi mnono wa UKAWA

.Mgombea mwenza kuwa Maalim Seif ni sahihi kabisa lakini Dr .Slaa hatoshi kuongeza kura zaidi ya kupunguza kura za mwaka 2010.
 
Nani asiyejua kwamba Mkapa alipigwa chini na Mrema ila CCM ikatumia ubabe?

Tiba

Nani asiyejua kwamba JK naye alipigwa chini 2010 na Mzalendo Dr. Slaa wakachakachua.
Na kule Zanzibar kila mwaka huwa wanachakachuwa.
 
Dr.Slaa hana mvuto tena UKAWA wengi wanataka mgombea urais awe Prof.Lipumba mgombea mwenza ni Mbatia, Dr.Slaa akagombee ubunge Karatu.

Wewe ritz acha unafiki wako wewe unaweza kuwachagulia UKAWA mgombea.
Wewe si ndiye ccm damdam unayeimba "Zidumu fikra za Mwenyekiti hata kama siyo nzuri"
 
Wewe vipi? You are so negative!! Umetumwa nini? UKAWA hawafanyi chuki wala uchochezi, wanaeleza wananchi unafiki na uzandiki wa ccm!!!

Akili ndogo ni nani na akili kubwa ni ipi kati ya hizi?
1. Akili moja ni ya kifisadi na wizi wa mchana kweupe, na haina soni kwenye kudanganya wananchi
2. Akili ya pili inawaambia ukweli wananchi japo wengi hawaelewi kwa kutumia gharama kubwa

Hakiri = Akili


Weka akili sawa, kitakachotokea ni ccm kupoteza madaraka na upinzani kupata madaraka, si vinginevyo. Jiandaneni kisaikolojia tu.

Poleni sana eti kuwaambia wananchi ukweli, ukweli upi ambao wananchi hawaujui?
Chadema wanajifanya wema kwenu wakati hakuna kitu, ukihoji jambo au ruzuku unaitwa msariti,
Hamna uhuru wa kuhoji nyie waacheni viongozi Wale ruzuku ya saccos yao, nyie mtabaki hivi hivi. Tutakuta 2015 tuone mtaongea nini.
 
Wassira alishatabiri kuwa kabla ya 2015 chadema kitasambaratika, wenye akili ndogo hawakumuelewa...

Leo hii Chadema haitajwi, sasa ni Ukawa,

Hongera Wassira.

Wassiea alisema kabla ya mwaka 2014 kwa sababu walikuwa na mamluki wao Zitto waliyekuwa wanamtumia.
Wassita huwa sijui ni poti wa aina gani ambaye hajitambui. Naamini 2015 harudi Bungeni
 
nkongo
Hayo ni maneno ya kujifariji... Ina maana Ubungo, Moshi, Arusha, n.k mlikoshinda mlitumia Tume ipi????


Tumieni akili...

Kote huko Tume ilikuwa imekataa kutangaza Wananchi wakashinikiza ndo wakatangaza.
2015 ccm hamna pa kutokea
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom