UKAWA mbona hamjadili ruzuku zilizochotwa na viongozi wa Chadema zile 2bn?

UKAWA mbona hamjadili ruzuku zilizochotwa na viongozi wa Chadema zile 2bn?

Jay Milionea

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2015
Posts
1,185
Reaction score
154
Huo umoja wenu ipo siku utafirisika maana kuna watu humo wako kimaslahi ya matumbo yao na hawa tuna waita WACHUMIA MATUMBO, hasa hasa hao viongozi wa CHADOMO maana ripoti ya CAG hivi majuzi imewataja baadhi ya viongozi wa chama hiko kuwa waligawana fedha ambazo zilikuwa ruzuku ya chama kwa watu watatu, hiyo ni aibu sana kukwiba fweza kololooo kama hizo, tena za chama afu mnakimbilia Marekani kuomba nyingine ili muendelee kuzitafuna, behind za scene mnawasema wenzenu kuwa ni mafisadi? Sasa je wewe Dkt. SI-RAHA na MBO-WEWE muwaeleze wanachama wenzenu wa Ukawa zile bilioni 2 mmezipeleka wapi? Maana kwa styl hiyo mtakuja kuwaibia hata wenzenu akina MBAYATIA na akina LIPO-PUMBA, angalieni boriti zenu kbala hamjaangalia vibanzi vya majicho ya wenzenu!

Mwaka huu tafuteni vipaji vingine kama vile kukwiba fweza maana hiko ndo kipaji chenu kikubwa, hatuwashangai maana tabia yenu hiyo mmekulia nayo tokea mko wadogo, na hilo hamlibishii maana tabia hujenga mazoea! Hiki kipaji mnachokilazimisha cha kuwa wanasiasa kimewashinda na hamtakiweza, kubalini ukweli nyie ni level ya uchotaji fedha tuu za chama na sio vinginevyo, hao wanaowatetea nao ni wachumia matumbo wenu wasiojua ukweli wa uchafu wenu uliojificha, hasa hao vijana mnaowavalisha magwanda utadhani wanaenda kulinda lindo la usiku! Hahahaha mwaka huu mmechemka!
 
Umeandika upuuzi mtupu! Tanzania haiwezi kuendelea kwa kuwa na watu wanaowaza kwa kutumia masaburi.... ungekuwa na hoja nzuri kama usingeweka huo upuuzi wako
 
Huo umoja wenu ipo siku utafirisika maana kuna watu humo wako kimaslahi ya matumbo yao na hawa tuna waita WACHUMIA MATUMBO, hasa hasa hao viongozi wa CHADOMO maana ripoti ya CAG hivi majuzi imewataja baadhi ya viongozi wa chama hiko kuwa waligawana fedha ambazo zilikuwa ruzuku ya chama kwa watu watatu, hiyo ni aibu sana kukwiba fweza kololooo kama hizo, tena za chama afu mnakimbilia Marekani kuomba nyingine ili muendelee kuzitafuna, behind za scene mnawasema wenzenu kuwa ni mafisadi? Sasa je wewe Dkt. SI-RAHA na MBO-WEWE muwaeleze wanachama wenzenu wa Ukawa zile bilioni 2 mmezipeleka wapi? Maana kwa styl hiyo mtakuja kuwaibia hata wenzenu akina MBAYATIA na akina LIPO-PUMBA, angalieni boriti zenu kbala hamjaangalia vibanzi vya majicho ya wenzenu!

Mwaka huu tafuteni vipaji vingine kama vile kukwiba fweza maana hiko ndo kipaji chenu kikubwa, hatuwashangai maana tabia yenu hiyo mmekulia nayo tokea mko wadogo, na hilo hamlibishii maana tabia hujenga mazoea! Hiki kipaji mnachokilazimisha cha kuwa wanasiasa kimewashinda na hamtakiweza, kubalini ukweli nyie ni level ya uchotaji fedha tuu za chama na sio vinginevyo, hao wanaowatetea nao ni wachumia matumbo wenu wasiojua ukweli wa uchafu wenu uliojificha, hasa hao vijana mnaowavalisha magwanda utadhani wanaenda kulinda lindo la usiku! Hahahaha mwaka huu mmechemka!

Kweli uko serious wewe? ebu angalia kwenye red. Watu tuko busy wewe unaleta utoto humu.
 
Kweli uko serious wewe? ebu angalia kwenye red. Watu tuko busy wewe unaleta utoto humu.

Ha ha ha umeelewa wewe message sent!hizo read ni majina ya watu kuna kamanda mmoja aliwahi kutoa maoni yake humu akasema inabidi tuwe tunatumia majina yanayofanana na halisi ili kukwepa sheria ya mitandao kama sio mfuatiliaji wa JF utabakia kumangamanga!
 
Umeandika upuuzi mtupu! Tanzania haiwezi kuendelea kwa kuwa na watu wanaowaza kwa kutumia masaburi.... ungekuwa na hoja nzuri kama usingeweka huo upuuzi wako
Matako wewe, sasa ndo umeweka nini hapo? Mi nlijua umekuja kuwajbia na kueleze zile fedha wamepeleka wapi kumbe umekuja kuwatetea hao wezi wenzako! Fisi weee kwendaga huko!
 
Kweli uko serious wewe? ebu angalia kwenye red. Watu tuko busy wewe unaleta utoto humu.
Kwakuwa una utapiamlo wa ubongo huwezi kuelewa nilichoandika hap! Ila ujumbe umekufikia na umeuelewa vema sema unaona aibu tu na unabaki kukasirika bureee! Hiloooo kubwa jinga weweee!
 
Busy na wizii umekulaaamaharage yaawapiii weweee
 
JANA Makene msemaji wa CHADEMA kasema wametafuna na leo kuna bosi wao mwingine Wa fedha kaleta mchanganuo wa matumizi baada ya kubanwa akaorodhesha vitu walivyonunua mpaka bodaboda ila hajasema wamepiga sh ngapi akaanza kumdhihaki CAG KUWA NI MUONGO anatumika hivi hawa ndo wanataka kuongoza nchi kwa namna hii kweli?
 
Huo umoja wenu ipo siku utafirisika maana kuna watu humo wako kimaslahi ya matumbo yao na hawa tuna waita WACHUMIA MATUMBO, hasa hasa hao viongozi wa CHADOMO maana ripoti ya CAG hivi majuzi imewataja baadhi ya viongozi wa chama hiko kuwa waligawana fedha ambazo zilikuwa ruzuku ya chama kwa watu watatu, hiyo ni aibu sana kukwiba fweza kololooo kama hizo, tena za chama afu mnakimbilia Marekani kuomba nyingine ili muendelee kuzitafuna, behind za scene mnawasema wenzenu kuwa ni mafisadi? Sasa je wewe Dkt. SI-RAHA na MBO-WEWE muwaeleze wanachama wenzenu wa Ukawa zile bilioni 2 mmezipeleka wapi? Maana kwa styl hiyo mtakuja kuwaibia hata wenzenu akina MBAYATIA na akina LIPO-PUMBA, angalieni boriti zenu kbala hamjaangalia vibanzi vya majicho ya wenzenu!

Mwaka huu tafuteni vipaji vingine kama vile kukwiba fweza maana hiko ndo kipaji chenu kikubwa, hatuwashangai maana tabia yenu hiyo mmekulia nayo tokea mko wadogo, na hilo hamlibishii maana tabia hujenga mazoea! Hiki kipaji mnachokilazimisha cha kuwa wanasiasa kimewashinda na hamtakiweza, kubalini ukweli nyie ni level ya uchotaji fedha tuu za chama na sio vinginevyo, hao wanaowatetea nao ni wachumia matumbo wenu wasiojua ukweli wa uchafu wenu uliojificha, hasa hao vijana mnaowavalisha magwanda utadhani wanaenda kulinda lindo la usiku! Hahahaha mwaka huu mmechemka!
huna akili zote wewe mpuuzi tu.
 
Huo umoja wenu ipo siku utafirisika maana kuna watu humo wako kimaslahi ya matumbo yao na hawa tuna waita WACHUMIA MATUMBO, hasa hasa hao viongozi wa CHADOMO maana ripoti ya CAG hivi majuzi imewataja baadhi ya viongozi wa chama hiko kuwa waligawana fedha ambazo zilikuwa ruzuku ya chama kwa watu watatu, hiyo ni aibu sana kukwiba fweza kololooo kama hizo, tena za chama afu mnakimbilia Marekani kuomba nyingine ili muendelee kuzitafuna, behind za scene mnawasema wenzenu kuwa ni mafisadi? Sasa je wewe Dkt. SI-RAHA na MBO-WEWE muwaeleze wanachama wenzenu wa Ukawa zile bilioni 2 mmezipeleka wapi? Maana kwa styl hiyo mtakuja kuwaibia hata wenzenu akina MBAYATIA na akina LIPO-PUMBA, angalieni boriti zenu kbala hamjaangalia vibanzi vya majicho ya wenzenu!

Mwaka huu tafuteni vipaji vingine kama vile kukwiba fweza maana hiko ndo kipaji chenu kikubwa, hatuwashangai maana tabia yenu hiyo mmekulia nayo tokea mko wadogo, na hilo hamlibishii maana tabia hujenga mazoea! Hiki kipaji mnachokilazimisha cha kuwa wanasiasa kimewashinda na hamtakiweza, kubalini ukweli nyie ni level ya uchotaji fedha tuu za chama na sio vinginevyo, hao wanaowatetea nao ni wachumia matumbo wenu wasiojua ukweli wa uchafu wenu uliojificha, hasa hao vijana mnaowavalisha magwanda utadhani wanaenda kulinda lindo la usiku! Hahahaha mwaka huu mmechemka!

Everyone is wise, until he speaks!
 
huna akili zote wewe mpuuzi tu.


nyie mafisadi tu na wezi wa ruzuku 2009/2010 hamkupeleka hesabu, 2010/2011 napo hamkupeleka kisa mnaogopa mlikwiba sana 2011/2012 cag akawalima hati yenye mashaka, 2012/2013 tena mkapigwa hati yenye mashaka kwa matumizi mabaya ya ruzuku mnayopewa na serikali ya ccm afu wewe unashangilia ufisadi hivi uko sawasawa kichwani????wezi ni wezi tu haijalishi wamevaa magwanda au la!
 
JANA Makene msemaji wa CHADEMA kasema wametafuna na leo kuna bosi wao mwingine Wa fedha kaleta mchanganuo wa matumizi baada ya kubanwa akaorodhesha vitu walivyonunua mpaka bodaboda ila hajasema wamepiga sh ngapi akaanza kumdhihaki CAG KUWA NI MUONGO anatumika hivi hawa ndo wanataka kuongoza nchi kwa namna hii kweli?
Yetu macho. Ninachofahamu ni kuwa kuna kazi ya ziada kwa UKAWA. Kwa sasa ukiwauliza wanajuta kuungana. Wanadai CHADEMA inawaburuza. Mtashangaa muds si mrefu watu makini kama Mr. Mbatia watajiengua soon.
 
Au sijaelewa mada,hawa jamaa kama kweli wamekula hizo pesa siwarudishe jamaniiiiii chadema rudisheni nyie viongozi mnaochumia tumbo,mmetuchosha
 

hawa ni mafisadi tu na wezi wa ruzuku wala wasiwape taabu.mwaka 2009/2010 hamkupeleka hesabu zao kwa cag kwa ukaguzi, 2010/2011 napo hawakupeleka kisa wanaogopa walikwiba sana 2011/2012 cag akawalima hati yenye mashaka, 2012/2013 wakapigwa hati yenye mashaka kwa matumizi mabaya ya ruzuku wanayopewa na serikali ya inayoongozwa na ccm. Hawa ni wezi tu haijalishi wamevaa magwanda au la!
 
Back
Top Bottom