UKAWA mbona hamjadili ruzuku zilizochotwa na viongozi wa Chadema zile 2bn?

UKAWA mbona hamjadili ruzuku zilizochotwa na viongozi wa Chadema zile 2bn?

Hoja ya msingi ni ya kumsifia Mbowe na si lingine maana huyo hana makosa lakini siku wakija kujua kumbe hicho sio chama bali ni SACCOS ndo watajayaelewa unayoyasema!!! Maana vijana wa CHADEMA hata ripoti ya CAG hawajaisoma lakini wapo kukanusha tu!!! Someni ripoti sio muda wa kutetea wahalifu!!!! Hapa ungesema leta ushahidi na sio kuanza matusi!!!!! Msiwe kama enzi za FIRAUNI kuwa na yeye ni Mungu!!!! Kila mwanadamu anamapungufu yake!! Asiye na mapungufu ni ALLAH (Mungu tu) lakini sisi wanadamu tumejawa na tamaa!!!!
 
Hoja ya msingi ni ya kumsifia Mbowe na si lingine maana huyo hana makosa lakini siku wakija kujua kumbe hicho sio chama bali ni SACCOS ndo watajayaelewa unayoyasema!!! Maana vijana wa CHADEMA hata ripoti ya CAG hawajaisoma lakini wapo kukanusha tu!!! Someni ripoti sio muda wa kutetea wahalifu!!!! Hapa ungesema leta ushahidi na sio kuanza matusi!!!!! Msiwe kama enzi za FIRAUNI kuwa na yeye ni Mungu!!!! Kila mwanadamu anamapungufu yake!! Asiye na mapungufu ni ALLAH (Mungu tu) lakini sisi wanadamu tumejawa na tamaa!!!!
Njaa inawasumbua hao kaka achana nao, ripoti imeeleza kila kitu, 2bn zimetafunwa na chama chao afu wao wako mstari wa mbele kuwatuhumu wenzao wa ccm, wao si wasafi hata kidogo.
 
Hawa jamaa mie nashangaa xana zitto kuwasema tu kdogo wakaona nibora tumuengue mapema na haohao walixabasha lowassa kujiuzulu leo wanaxema hawana ushahd ambao unaonyesha lowassa kuwa na makosa wakat mwanzo walixema wanaushahd wote sasa wadau nsaidien kipi ni kwel kwenye hii siasa ya Tanzania na hawa viongoz wetu
 
Hawa jamaa mie nashangaa xana zitto kuwasema tu kdogo wakaona nibora tumuengue mapema na haohao walixabasha lowassa kujiuzulu leo wanaxema hawana ushahd ambao unaonyesha lowassa kuwa na makosa wakat mwanzo walixema wanaushahd wote sasa wadau nsaidien kipi ni kwel kwenye hii siasa ya Tanzania na hawa viongoz wetu
Xana,walixabasha,wanaxema,walixema???? What f-u-c-k is wrong with you young boys???? This is the indicator of low level of reading and writing literacy. Hizi Lugha zenu za kitoto si mtumiane huko sasa mnaleta mpaka huku jamii forums
 
Xana,walixabasha,wanaxema,walixema???? What f-u-c-k is wrong with you young boys???? This is the indicator of low level of reading and writing literacy. Hizi Lugha zenu za kitoto si mtumiane huko sasa mnaleta mpaka huku jamii forums

Punguza hasira au huelewi?
 
Njaa inawasumbua hao kaka achana nao, ripoti imeeleza kila kitu, 2bn zimetafunwa na chama chao afu wao wako mstari wa mbele kuwatuhumu wenzao wa ccm, wao si wasafi hata kidogo.

Kama report imesema basi tupelekwe mahakamani kwakuwa tunawajibika kuzirudisha pesa. Ila kam uko humu kufurahisha jamii wewe endelea kuongea. Maana zile ni fedha za umma lazima zitumike kwa hesabu thabiti. Unatakiwa kuwa mkweli ndugu.
 
Hoja ya msingi ni ya kumsifia Mbowe na si lingine maana huyo hana makosa lakini siku wakija kujua kumbe hicho sio chama bali ni SACCOS ndo watajayaelewa unayoyasema!!! Maana vijana wa CHADEMA hata ripoti ya CAG hawajaisoma lakini wapo kukanusha tu!!! Someni ripoti sio muda wa kutetea wahalifu!!!! Hapa ungesema leta ushahidi na sio kuanza matusi!!!!! Msiwe kama enzi za FIRAUNI kuwa na yeye ni Mungu!!!! Kila mwanadamu anamapungufu yake!! Asiye na mapungufu ni ALLAH (Mungu tu) lakini sisi wanadamu tumejawa na tamaa!!!!

Sawa wenye Chama. Ila kibaya zaidi mnapiga finga mpaka pesa za wagonjwa ndugu yangu mumeshindwa tuachieni sisi SACCOS TUONGOZE NCHI.
 

hawa ni mafisadi tu na wezi wa ruzuku wala wasiwape taabu.mwaka 2009/2010 hamkupeleka hesabu zao kwa cag kwa ukaguzi, 2010/2011 napo hawakupeleka kisa wanaogopa walikwiba sana 2011/2012 cag akawalima hati yenye mashaka, 2012/2013 wakapigwa hati yenye mashaka kwa matumizi mabaya ya ruzuku wanayopewa na serikali ya inayoongozwa na ccm. Hawa ni wezi tu haijalishi wamevaa magwanda au la!

Baba yako kasha jiunga wewe unasubili nini?
 
Kama report imesema basi tupelekwe mahakamani kwakuwa tunawajibika kuzirudisha pesa. Ila kam uko humu kufurahisha jamii wewe endelea kuongea. Maana zile ni fedha za umma lazima zitumike kwa hesabu thabiti. Unatakiwa kuwa mkweli ndugu.

Bora umekubali ukweli wezi ni wezi tu na mwaka huu mtalazimisha kupelekwa mahakamani ili muwe wasafi!
 
Nadhani tumejua nani anapumulia mipira.

Mmesugua benchi vya kutosha na kama haitoshi mkaamua kubeba magugu yaliyokatwa shambani ili yawasaidie teha teh matooyake Jk aliposema mwaka huu mtakiona cha mtema kuni mkaanza kulia tulizeni masaburi yenu taratibu dawa itaingia tu!
 
Back
Top Bottom