UKAWA mbona hamjadili ruzuku zilizochotwa na viongozi wa Chadema zile 2bn?

UKAWA mbona hamjadili ruzuku zilizochotwa na viongozi wa Chadema zile 2bn?

Huo umoja wenu ipo siku utafirisika maana kuna watu humo wako kimaslahi ya matumbo yao na hawa tuna waita WACHUMIA MATUMBO, hasa hasa hao viongozi wa CHADOMO maana ripoti ya CAG hivi majuzi imewataja baadhi ya viongozi wa chama hiko kuwa waligawana fedha ambazo zilikuwa ruzuku ya chama kwa watu watatu, hiyo ni aibu sana kukwiba fweza kololooo kama hizo, tena za chama afu mnakimbilia Marekani kuomba nyingine ili muendelee kuzitafuna, behind za scene mnawasema wenzenu kuwa ni mafisadi? Sasa je wewe Dkt. SI-RAHA na MBO-WEWE muwaeleze wanachama wenzenu wa Ukawa zile bilioni 2 mmezipeleka wapi? Maana kwa styl hiyo mtakuja kuwaibia hata wenzenu akina MBAYATIA na akina LIPO-PUMBA, angalieni boriti zenu kbala hamjaangalia vibanzi vya majicho ya wenzenu!

Mwaka huu tafuteni vipaji vingine kama vile kukwiba fweza maana hiko ndo kipaji chenu kikubwa, hatuwashangai maana tabia yenu hiyo mmekulia nayo tokea mko wadogo, na hilo hamlibishii maana tabia hujenga mazoea! Hiki kipaji mnachokilazimisha cha kuwa wanasiasa kimewashinda na hamtakiweza, kubalini ukweli nyie ni level ya uchotaji fedha tuu za chama na sio vinginevyo, hao wanaowatetea nao ni wachumia matumbo wenu wasiojua ukweli wa uchafu wenu uliojificha, hasa hao vijana mnaowavalisha magwanda utadhani wanaenda kulinda lindo la usiku! Hahahaha mwaka huu mmechemka!

Kama hizi habari zina ukweli basi hatuna budi kulaani matumizi mabaya ya madaraka, tusijifanye tuna makengeza endapo Viongozi wanakosea tusimame kidete kusema ukweli. Haijalishi ni UKAWA au CCM. Ufisadi ni ufisadi tu hauna jina jingine mbadala.
 
CHADEMA wabishinsana eti hawajui ufisadi ukifanyika ndani ya CHADEMA ila ukifanyika nje ndo wanaona, teh teh teh eti organ sense zao zinanasa mbali ila walipo kaa hazifanyi kazi ndo maana wamemshangaa CAG alipowarukia kwa wizi wa Ruzuku!
 
Mkuu kweli nna hasra nao sana ila kimoja tu kura lazima niwape maana hasra ya ccm ndo haielezek kabisa
 

nyie mafisadi tu na wezi wa ruzuku 2009/2010 hamkupeleka hesabu, 2010/2011 napo hamkupeleka kisa mnaogopa mlikwiba sana 2011/2012 cag akawalima hati yenye mashaka, 2012/2013 tena mkapigwa hati yenye mashaka kwa matumizi mabaya ya ruzuku mnayopewa na serikali ya ccm afu wewe unashangilia ufisadi hivi uko sawasawa kichwani????wezi ni wezi tu haijalishi wamevaa magwanda au la!

Inazidi ile ya Escrow. Epa . Meremeta . Richmond .etc. Zinazidi ?
 
Ukikaa ukitafakar Hakuna kosa kubwa kama kuipa kura ccm uchaguz huu maana hawajielewi kabisa ni mafisadi Mpaka kweny kitabu cha guines wapo
 
Inazidi ile ya Escrow. Epa . Meremeta . Richmond .etc. Zinazidi ?

Kumbuka ukinyoosha kidole kwa mwenzio, vinne vinakugeukia wewe. Issue hapa ni matumizi, unaona ya mwingine na ya kwako hutaki kuambiwa. Toa kwanza boriti kwenye jicho lako ili uone kibanzi kwenye jicho la mwenzako. Usihalalishe ubaya kwa kusema huu ni mdogo na ule ni mkubwa. Ubaya ni ubaya. Kama leo unasema wa kwako ni mdogo na hujapewa mamlaka, ukipewa si ndiyo itakuwa balaa maana umeshazoea kuona kuwa wewe huna dhambi ila wengine wanadhambi. Be carefull usituzuge hapa.
 
Umeandika upuuzi mtupu! Tanzania haiwezi kuendelea kwa kuwa na watu wanaowaza kwa kutumia masaburi.... ungekuwa na hoja nzuri kama usingeweka huo upuuzi wako
Wewe na akili yako ndo mpuuzi usiyetaka kuelewa hata ukielimishwa paka weee
 
Hapo kuna sifa gani zaidi ya
mitusi yenu!! Na wewe bila aibu
unashukuru kwa kusifiwa daaa
kweli mizigo ndani ya taifa inaongezeka!!!
hahahahaaaaa Mpwa, hujaelewa lolote hapo, ulitaka na mimi nimtukane? Hahahhaaaaa watu wazima ndio tunavyojibu hivyo, mwenye akili ameelewa Mpwa, usijali
 
hahahahaaaaa Mpwa, hujaelewa lolote hapo, ulitaka na mimi nimtukane? Hahahhaaaaa watu wazima ndio tunavyojibu hivyo, mwenye akili ameelewa Mpwa, usijali

Acheni kuzingua nyie, mkuu Elli na hao wenzio mambo gani mnafanya hapa! Hoja mmeiona mnakalia kuzingua tu!
 
hahahahaaaaa Mpwa, hujaelewa lolote hapo, ulitaka na mimi nimtukane? Hahahhaaaaa watu wazima ndio tunavyojibu hivyo, mwenye akili ameelewa Mpwa, usijali
Wewe kiazi tuu na utaendelea kutukanwa mende weeee
 
Kwanza jua maana ya ruzuku kwa vyama! ndipo uulize kijiswali chako. Ruzuku ya chama ni kuboresha na kuimarisha vyama kuanzia shinani hadi taifani. Sio ya kukugawia dona kapige zege acha kupaka inna.
 
Back
Top Bottom