Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo umoja wenu ipo siku utafirisika maana kuna watu humo wako kimaslahi ya matumbo yao na hawa tuna waita WACHUMIA MATUMBO, hasa hasa hao viongozi wa CHADOMO maana ripoti ya CAG hivi majuzi imewataja baadhi ya viongozi wa chama hiko kuwa waligawana fedha ambazo zilikuwa ruzuku ya chama kwa watu watatu, hiyo ni aibu sana kukwiba fweza kololooo kama hizo, tena za chama afu mnakimbilia Marekani kuomba nyingine ili muendelee kuzitafuna, behind za scene mnawasema wenzenu kuwa ni mafisadi? Sasa je wewe Dkt. SI-RAHA na MBO-WEWE muwaeleze wanachama wenzenu wa Ukawa zile bilioni 2 mmezipeleka wapi? Maana kwa styl hiyo mtakuja kuwaibia hata wenzenu akina MBAYATIA na akina LIPO-PUMBA, angalieni boriti zenu kbala hamjaangalia vibanzi vya majicho ya wenzenu!
Mwaka huu tafuteni vipaji vingine kama vile kukwiba fweza maana hiko ndo kipaji chenu kikubwa, hatuwashangai maana tabia yenu hiyo mmekulia nayo tokea mko wadogo, na hilo hamlibishii maana tabia hujenga mazoea! Hiki kipaji mnachokilazimisha cha kuwa wanasiasa kimewashinda na hamtakiweza, kubalini ukweli nyie ni level ya uchotaji fedha tuu za chama na sio vinginevyo, hao wanaowatetea nao ni wachumia matumbo wenu wasiojua ukweli wa uchafu wenu uliojificha, hasa hao vijana mnaowavalisha magwanda utadhani wanaenda kulinda lindo la usiku! Hahahaha mwaka huu mmechemka!
CHADEMA pumbafuu tu
CHADEMA pumbafuu tu
nyie mafisadi tu na wezi wa ruzuku 2009/2010 hamkupeleka hesabu, 2010/2011 napo hamkupeleka kisa mnaogopa mlikwiba sana 2011/2012 cag akawalima hati yenye mashaka, 2012/2013 tena mkapigwa hati yenye mashaka kwa matumizi mabaya ya ruzuku mnayopewa na serikali ya ccm afu wewe unashangilia ufisadi hivi uko sawasawa kichwani????wezi ni wezi tu haijalishi wamevaa magwanda au la!
Inazidi ile ya Escrow. Epa . Meremeta . Richmond .etc. Zinazidi ?
Wewe na akili yako ndo mpuuzi usiyetaka kuelewa hata ukielimishwa paka weeeUmeandika upuuzi mtupu! Tanzania haiwezi kuendelea kwa kuwa na watu wanaowaza kwa kutumia masaburi.... ungekuwa na hoja nzuri kama usingeweka huo upuuzi wako
asante kwa kunisifiaWewe na akili yako ndo mpuuzi usiyetaka kuelewa hata ukielimishwa paka weee
asante kwa kunisifia
hahahahaaaaa Mpwa, hujaelewa lolote hapo, ulitaka na mimi nimtukane? Hahahhaaaaa watu wazima ndio tunavyojibu hivyo, mwenye akili ameelewa Mpwa, usijaliHapo kuna sifa gani zaidi ya
mitusi yenu!! Na wewe bila aibu
unashukuru kwa kusifiwa daaa
kweli mizigo ndani ya taifa inaongezeka!!!
hahahahaaaaa Mpwa, hujaelewa lolote hapo, ulitaka na mimi nimtukane? Hahahhaaaaa watu wazima ndio tunavyojibu hivyo, mwenye akili ameelewa Mpwa, usijali
Kukusifia kwa lipi mpuuzi wewe,mweka hoja acha porojo zako humuasante kwa kunisifia
Wewe kiazi tuu na utaendelea kutukanwa mende weeeehahahahaaaaa Mpwa, hujaelewa lolote hapo, ulitaka na mimi nimtukane? Hahahhaaaaa watu wazima ndio tunavyojibu hivyo, mwenye akili ameelewa Mpwa, usijali