Ukawa waikubali katiba inayopendekezwa!!!

Ukawa waikubali katiba inayopendekezwa!!!

Dragunov Sniper

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2015
Posts
2,795
Reaction score
9
Kati ya mambo ambayo nimefurahishwa nayo ni hili la UKAWA kukubali Katiba inayopendekezwa,suala la mgombea Huru/Binafsi, tume Huru ya uchaguzi,Matokeo ya Urais kupingwa mahakama ya juu,Suala la mshindi wa Urais kupata kura zaidi ya 50% ya kura zote halali zitakazopigwa na mengine mengi yanayohusu masuala ya Imani za dini,umiliki wa ARdhi, haki za makundi mbalimbali, utambuzi wa shughuli za uimarishaji wa utafiti kwa maendeleo ya taifa Ibara ya 16.

Hongereni UKAWA kwa kuunga mkono Katiba Inayopendekezwa,mmeonesha njia kwa wanaowafuata katika ujenzi wa taifa imara.

Mungu Ibariki Tanzania.
 
Kati ya mambo ambayo nimefurahishwa nayo ni hili la UKAWA kukubali Katiba inayopendekezwa,suala la mgombea Huru/Binafsi, tume Huru ya uchaguzi,Matokeo ya Urais kupingwa mahakama ya juu,Suala la mshindi wa Urais kupata kura zaidi ya 50% ya kura zote halali zitakazopigwa na mengine mengi yanayohusu masuala ya Imani za dini,umiliki wa ARdhi, haki za makundi mbalimbali, utambuzi wa shughuli za uimarishaji wa utafiti kwa maendeleo ya taifa Ibara ya 16.

Hongereni UKAWA kwa kuunga mkono Katiba Inayopendekezwa,mmeonesha njia kwa wanaowafuata katika ujenzi wa taifa imara.

Mungu Ibariki Tanzania.

Akili yako fupi wewe hujui haya mliyakataa nyie mafisadi?
 
Akili yako fupi wewe hujui haya mliyakataa nyie mafisadi?
MIE PIA NIMESKIA HAYO KWAMBA UKAWA WAMEIKUBALI HII KATIBA INAYOPENDEKEZWA NA BAADHI YAO WAMESEMA HAKIKA HII INASTAHILI KURA ZA NDIYOOO, SASA ONA WAMEBANA WAMEACHIA HII KATIBA HAINABUDI KUPITA KWA YESSSSSSSSS. Haahahaha
 
Du hata sie huku arusha tumesikia taarifa za ukawa kuiunga mkono katiba inayopendekezwa,hata mie baada ya kuisoma nitaiunga mkono ,kwanza nawapongeza viongozi wangu wa ukawa kwa uamuzi huu,sie hapa sombetini tuko nao,pamoja sana
 
Duh umelipwa sh. ngapi ulete uongo huu hapa, pumbaf haiwezekani watu waligomea posho afu saiz wakubali utumbo huu
 
Akili yako fupi wewe hujui haya mliyakataa nyie mafisadi?

Wewe ni kibaraka tu na huwaelewi ukawa unafikiri mawazo yao ni kama yako unapinga vitu usivyovijua humu, msimamo wa Ukawa ndo huo sasa kama ulikua haujui tena Dr.Slaa aliwahi kuwaambia wtz ataruhusu utengenezaji wa gongo kisheria kwani yeye sio Ukawa??? Sasa au kabadilika? Na hiyo gongo yake ataitengenezaje kisheria kama hakuna mfumo wa kusimamia uvumbuzi,utafiti,uendelezaji wa teknolojia,ubunifu na usimamizi wa bidhaa bora kupitia uendelezaji wa local people au hilo haulijui?nenda kamuuliza Silaa acha kushangaa humu.
 
Duh umelipwa sh. ngapi ulete uongo huu hapa, pumbaf haiwezekani watu waligomea posho afu saiz wakubali utumbo huu

We mzembe tu hufuatilii matamko ya mabosi zako pisha unafikiri huwa wnayasema chini ya vitanda, kwani hujui Ukawa wanaunga mkono hayo???
 
Akili yako fupi wewe hujui haya mliyakataa nyie mafisadi?

Kati yako wewe na mtoa hoja nani ana akili fupi?kwani shida iko wapi au wewe umetumwa?kwani hayo mambo yako nje ya Katiba inayopendekezwa?si yamo ndani sasa unabisha nini UKAWA wakiyafurahia kwenye hii katiba inayopendekezwa?usijifanye kichwa cha kuku wewe!!!
 
Hongera UKAWA, mie pia nawaunga mkono na hizi ndizo siasa za tija,kwa maana katiba ndo sheria mama sasa ninge shangaa kama mngekuwa kama wale ambao walikula nyama ya mnyama wa ubishi kila jambo lazima kupisha hata bila kuchunguza mazuri yaliyomo ndani ya kile wanachobisha.Shime UKAWA mkiwa hivyo basi mtachangia kulijenga taifa hili ambalo misingi yake imara ilijengwa na waasisi.
 
Hongera UKAWA, mie pia nawaunga mkono na hizi ndizo siasa za tija,kwa maana katiba ndo sheria mama sasa ninge shangaa kama mngekuwa kama wale ambao walikula nyama ya mnyama wa ubishi kila jambo lazima kupisha hata bila kuchunguza mazuri yaliyomo ndani ya kile wanachobisha.Shime UKAWA mkiwa hivyo basi mtachangia kulijenga taifa hili ambalo misingi yake imara ilijengwa na waasisi.
Nakwambia mwisho wa siku UKAWA wote watapiga NDIYO
 
Join Date : 9th March 2015

Posts : 2,797
Rep Power : 0

Likes Received: 2

Likes Given: 0


Ni wastani wa post zaidi ya 250 kwa siku!
 
Join Date : 9th March 2015

Posts : 2,797
Rep Power : 0

Likes Received: 2

Likes Given: 0


Ni wastani wa post zaidi ya 250 kwa siku!

Duuu ndo kazi unayoifanya humu badala ya kujibu hoja umegeuka hansard!!!!:mvutaji::mvutaji::mvutaji:
 
Back
Top Bottom