bmbalamwezi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 788
- 195
Toa hoja acha kutukanana kwenye forum. Muungwana hatukani analeta hoja. Kweli UKAWA wameikubali katiba Inayopendekezwa ila kwa sababu hauna information ndo mana unaanza matusi. Jiheshimu kijana au kibabu.Duh umelipwa sh. ngapi ulete uongo huu hapa, pumbaf haiwezekani watu waligomea posho afu saiz wakubali utumbo huu