Dragunov Sniper
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 2,795
- 9
Kati ya mambo ambayo nimefurahishwa nayo ni hili la UKAWA kukubali Katiba inayopendekezwa,suala la mgombea Huru/Binafsi, tume Huru ya uchaguzi,Matokeo ya Urais kupingwa mahakama ya juu,Suala la mshindi wa Urais kupata kura zaidi ya 50% ya kura zote halali zitakazopigwa na mengine mengi yanayohusu masuala ya Imani za dini,umiliki wa ARdhi, haki za makundi mbalimbali, utambuzi wa shughuli za uimarishaji wa utafiti kwa maendeleo ya taifa Ibara ya 16.
Hongereni UKAWA kwa kuunga mkono Katiba Inayopendekezwa,mmeonesha njia kwa wanaowafuata katika ujenzi wa taifa imara.
Mungu Ibariki Tanzania.
MIE PIA NIMESKIA HAYO KWAMBA UKAWA WAMEIKUBALI HII KATIBA INAYOPENDEKEZWA NA BAADHI YAO WAMESEMA HAKIKA HII INASTAHILI KURA ZA NDIYOOO, SASA ONA WAMEBANA WAMEACHIA HII KATIBA HAINABUDI KUPITA KWA YESSSSSSSSS. HaahahahaAkili yako fupi wewe hujui haya mliyakataa nyie mafisadi?
Akili yako fupi wewe hujui haya mliyakataa nyie mafisadi?
Duh umelipwa sh. ngapi ulete uongo huu hapa, pumbaf haiwezekani watu waligomea posho afu saiz wakubali utumbo huu
wewe ndo utakuwa unaangamia maana najua hata katiba hiyo hujaisomaWatu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
Hahahh. Source!?
Akili yako fupi wewe hujui haya mliyakataa nyie mafisadi?
tcd na ukawa!!hahahh. Source!?
Nakwambia mwisho wa siku UKAWA wote watapiga NDIYOHongera UKAWA, mie pia nawaunga mkono na hizi ndizo siasa za tija,kwa maana katiba ndo sheria mama sasa ninge shangaa kama mngekuwa kama wale ambao walikula nyama ya mnyama wa ubishi kila jambo lazima kupisha hata bila kuchunguza mazuri yaliyomo ndani ya kile wanachobisha.Shime UKAWA mkiwa hivyo basi mtachangia kulijenga taifa hili ambalo misingi yake imara ilijengwa na waasisi.
Join Date : 9th March 2015
Posts : 2,797
Rep Power : 0
Likes Received: 2
Likes Given: 0
Ni wastani wa post zaidi ya 250 kwa siku!
Hahahh. Source!?