UKAWA Wapuuzwe!


Chama cha MAPINDUZI na Serikali yake ndio WAAJIRI WAKUU NCHINI...

Umesha wahi kuona WANA-BLOG na Wapiga PICHA na Watangazaji... Wakiambatana na VIONGOZI wa UPINZANI MIKOANI?

Ni CCM pekee inawapa RUZUKU za KUISHI NCHINI... Sababu CCM ina WIZARA ya HAZINA kibindoni kwao...

Sasa hapo ndio ULAJI... Unategemea hao waandishi au wanahabari watasema chochote kibaya ndani ya NCHI???

Is EVIL CRIMINALS... i.e MAFIOSO
 
Mkuu Usihangaike ana kithethe Mkuu hata mimi nimeangalia nikaona kumbe amebugi....
 
Natamani kukupigia simu kukueleza wazi huna hoja...anyway kwa kuwa umetoa number na huna hoja ngoja nikupigie nikwambie live kabisa maelezo yako yooote ni bure kabisa
 
Huyu Makonda yeye anaposema kuwa Nyerere katukanwa, mbona yeye alimtukana Mzee Lowasa na wazee wengine akiwamo na Kikwete awakukemea hayo? Au wazee CCM ni Nyerere tu.
 

Acha ujinga wako wewe! Nchi hii ni ya Demokrasia kila mtu ana haki ya kuamini na kufuata anacho penda! Kama mnataka anzisheni radio UKAWA na TV UKAWA muwasifie akina Mbowe,Mbati,Limpumba na Maalim Seif kuanzia asubuhi hadi usku wa manane kwa kila siku
 
Hivi BAVICHA wabadhani CHADEMA ndiyo wanahaki ya kupewa Air time......Demokrasia bado haijulikani kwa wengi. Sikuzote lazima ukubali kuto kukubaliana.
 

kila anayetumikishwa na ccm , atavuna alichopanda !
 

Hawezi kukuelewa kwasababu ameshikiwa akili.
 
Dogo mbunge wako ni joshua nassary sasa cjui una2mika ili uje ugombee ubunge
but jitathmn upya
acha ku2mika utadoda kama marlaw vile
 
Alianza na ukawa wiki iliyopita leo kamaliza na umoja wa vijana bungeni!
Pia hajafanya mahojiano ila m/kiti wa umoja vijana bungeni alituita waandishi wote kutoa tamko la umoja huo!


CCM wanao hadi waandishi ! Kazi ipo !
 

Mbona husemi BAVICHA wanavyopewa airtime ya kutosha ITV ya mchaga mwenzao!
 

Mkuu, kuuliza kwamba kwanini unataka hili na sio lile mara nyingi hufanywa na waandishi wa habari za kiuchunguzi au majarida tofauti na sisi wa radio au tv.
 
Msimamo wa Clouds FM unajulikana toka zamani kuwa wako upande wa CCM...sioni cha ajabu kwa Ayo kurusha matangazo yenye mrengo wa kuibeba CCM... The best we can do ni kuanzisha vyombo huru visivyofungamana na Chama chochote ...
 
Jaman millard tena kwel kazi ipo ila ukweli mnaujua kua kjana yuko poah sana mnaamua2 kutukana sasa mltaka afanyeje? Yesu rudi basi watu wamelewa kwenye ukwel wanapuuza na kutukana njooo hukumu yaishe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…