Captain Fire
JF-Expert Member
- Jul 23, 2023
- 2,435
- 5,000
- Thread starter
- #81
Antenna ni nini hiyo? Nisaidie broAngalia kama ana antenna, huenda unahangaika kumbe wameondoa antenna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Antenna ni nini hiyo? Nisaidie broAngalia kama ana antenna, huenda unahangaika kumbe wameondoa antenna
Ushapona gonorrhea kwanzaHabari!
Kuna demu wangu tangu nianze nae uhusiano uke wake ni mkavu sana kwenye tendo, licha ya romance na mautundu yote ila bado ni pakavu tu hali inayosababisha angalia sana na machozi na kutetemeka wakati wa show, mpaka mood inakata kwangu. Je sababu ni nini? Maana mademu zangu wote niliokua nao nimezoea panaloa wakati tu wa romance ikifika time ya show tayari utelezi upo.
Namalizia matibabuUshapona gonorrhea kwanza
Duh mwanaume ana ute!Endelea naye tu mi mwanaume nilikuwa nae dah alikuwa ana ute mwingi sana, inafika mda mnafuta ndo mnaendelea na shughuli, sasa waza huyu akikutana na wale wanawake wa bukoba hapo shughuli itakuwa pevu
Ni kweli. Hisia zero
Basi Naachana naeNi kweli. Hisia zero
Angekua hanipendi asingekua anaonyesha wivu kila mda, nilimuuliza tatizo nini akasema yeye mwenyewe hajui kwanini pakavu, kuhusu hospitali sijafikiria kwenda kwakua ni demu tu sio mke hata hospitali aibu tu
DuuuhSome girls are like that, hakuna uchi mtamu kama mkavu hujajua tu sema wewe unatumia extra man power
Ukiwa Tanga ukinunua malaya wako road, wengine wanajinadi kabisa kaka tia dole uone mimi mkavu.
Anyways oa kabisa, hisia zake zinapokuwa kwako, uoga ukaisha utamfurahia sana
Nataka kitu naturalHaya tumia KY, usije mchubua na kumuuliza mkulane kama tumbili
Ndio maana hana hisia na wewe anajua ni mpita njiaSio mke wangu, ni demu tu wakupita
Uoga gani? Uke ukiwa mkavu demu analalamika anaumiaSome girls are like that, hakuna uchi mtamu kama mkavu hujajua tu sema wewe unatumia extra man power
Ukiwa Tanga ukinunua malaya wako road, wengine wanajinadi kabisa kaka tia dole uone mimi mkavu.
Anyways oa kabisa, hisia zake zinapokuwa kwako, uoga ukaisha utamfurahia sana
Nilimdanganya nitamuoa kwahiyo haujui ukweliNdio maana hana hisia na wewe anajua ni mpita njia
Wengine wanakuwa uncomfortable vibaya mno kwa lile tendo, kuna wanaume huwa wanatetemeka wakiuona pussiesUoga gani? Uke ukiwa mkavu demu analalamika anaumia
Af muimba kwaya kabisaNa kanisani nimekuona. Kha!
Nimemzingua mleta mada.Sio kweli.
Futa hii comment, inapotosha.