Uke kuwa mkavu kwenye tendo

Kama tatizo hilo alikuwa nalo tangu awali kabla ya kukutana nawe basi nenda hospital. Ama limeanza baada ya kuwa na wewe basi kaa msemezane lipo Jambo in bitwini.
 
Ukimpeleka hospital watakuambia mwandae vizuri na wakati wewe una mwandaa...

Chakufanya wewe kama unataka kumuoa , muoe alafu mpe maji ya bamia, ndizi za kila aina, maparachichi na makarafuu na tangawizi. Huku unajiandaa kumpima homoni zake tofauti na hapo utafanya kazi bure
 
Sio bro, ni wa kupiga tu na kusepa ila nataka nimtumie kwa kama 5yrs
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…