Uke kuwa mkavu kwenye tendo

Uke kuwa mkavu kwenye tendo

Kama tatizo hilo alikuwa nalo tangu awali kabla ya kukutana nawe basi nenda hospital. Ama limeanza baada ya kuwa na wewe basi kaa msemezane lipo Jambo in bitwini.
 
Habari!
Kuna demu wangu tangu nianze nae uhusiano uke wake ni mkavu sana kwenye tendo, licha ya romance na mautundu yote ila bado ni pakavu tu hali inayosababisha angalia sana na machozi na kutetemeka wakati wa show, mpaka mood inakata kwangu. Je sababu ni nini? Maana mademu zangu wote niliokua nao nimezoea panaloa wakati tu wa romance ikifika time ya show tayari utelezi upo.
Ukimpeleka hospital watakuambia mwandae vizuri na wakati wewe una mwandaa...

Chakufanya wewe kama unataka kumuoa , muoe alafu mpe maji ya bamia, ndizi za kila aina, maparachichi na makarafuu na tangawizi. Huku unajiandaa kumpima homoni zake tofauti na hapo utafanya kazi bure
 
Ukimpeleka hospital watakuambia mwandae vizuri na wakati wewe una mwandaa...

Chakufanya wewe kama unataka kumuoa , muoe alafu mpe maji ya bamia, ndizi za kila aina, maparachichi na makarafuu na tangawizi. Huku unajiandaa kumpima homoni zake tofauti na hapo utafanya kazi bure
Sio bro, ni wa kupiga tu na kusepa ila nataka nimtumie kwa kama 5yrs
 
Back
Top Bottom