Uke wenza: Ni adhabu ipi inamstahili mwanamke anayechukia ama kujaribu kukwamisha mpango wa mume wake kuongeza mke mwengine?

Uke wenza: Ni adhabu ipi inamstahili mwanamke anayechukia ama kujaribu kukwamisha mpango wa mume wake kuongeza mke mwengine?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Imeshaandikwa katika vitabu vitakatifu mwanaume anaweza kuwa mpaka na wake wanne kwa mpigo, maana kwa jinsi mwanaume alivyoumbwa kaumbwa kuweza hili. (hata kwenye Biblia kuna manabii wengi sana walikuwa na wake wengi)

Sababu za kuomgeza mke inaweza kuwa mke wako ni tasa na mmejaribu sana ila imeshindikana, mke wako kukunyima unyumba kwa maksudi kwa kipindi kirefu, mke kuwa mbali na wewe mda mrefu mfano kahama mkoa kikazi, n.k

Sasa unakuta unataka kuongeza mke ila mke wako anachukia, hii ni kufru.

Ni adhabu zipi zinamstahili?

Pongezi kwa Masoud Kipanya kuongeza mke wa nne mbichi mdogo.
 
Naomba kuuliza je katika uislam mtu anaruhusiwa kutembea na mwanamke nje ya ndoa?

Kama ni kosa mtu kabla hajaongeza mke wa pili, tatu na nne si anakua amefanya dhambi ya matamanio au dhambi ya kutembea nje ya ndoa. Au ni halali kwake?
 
Huku kwetu Kwamtogole kuna mkazi alioa mke wa ujanani, mke aliyeanza nae katika chumba kimoja. Baada ya vijesenti kuingezeka hatimae aliweza kununua nyumba mtaa ule ule.

Aliikarabati nyumba na upande mmoja aliweka wapangaji. Upande wa pili ilikua sebule na chumba chake. Alimwambia mkewe mimi ninaoa mke atakaa hiki chumba cha tatu.

Mke kishingo upande alikubali, bi mdogo aliingia. Yule mke mkubwa aliishi ule mtaa muda mrefu, majirani wote anawajua.

Baada ya mke mdogo kuingia alikua anawaomba majirani khanga, vitenge na vijora atoe upya. Kwakua ni shost walimletea. Asubuhi aliamka na kufagia uwanja na kijora kipya. Bi mdogo anamuuliza mume wake mbona mimi hujaninunulia kijora?

Mchana mume akiacha 10,000 kwa mke mkubwa anaacha 10,000 kwa mke mdogo. Mke mkubwa nakwenda sokoni ananunua viungo vya pilau japo anapika mchicha. Anamrusha roho bi mdogo vitunguu vinalia chwaaa anaweka mdalasini.
 
Ifike wakati wanaume tusiumize vichwa kwa vitu vidogo, mke akikubania haki yako ya unyumba usiangaike naye, mpe treatment zake zote za mke na unyumba utapewa na mwanamke mwingine tena utapewa yote.

Kuongeza mke siyo solution, maana ikitokea ukayumba kiuchumi wote wawili utawakosa na hakuna rangi utaacha kuiona.
 
Huku kwetu Kwamtogole kuna mkazi alioa mke wa ujanani, mke aliyeanza nae katika chumba kimoja. Baada ya vijesenti kuingezeka hatimae aliweza kununua nyumba mtaa ule ule.

Aliikarabati nyumba na upande mmoja aliweka wapangaji. Upande wa pili ilikua sebule na chumba chake. Alimwambia mkewe mimi ninaoa mke atakaa hiki chumba cha tatu.

Mke kishingo upande alikubali, ni mdogo aliingia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanawake nao wapewe haki ya kuolewa na waume wawili ujue wanaume tunapendaga kujiona wafalme sana ww unataka wake wawili ad wanne kisa uliziki na mkeo au sheria za dini zinakuruusu sasa je km mwanamke aliziki na mume wake afanyeje ?

Nazan ni muda sasa dini na desturi ziangaliwe upya wanawake nao wapewe machaguzi km yawanaume af ndo tutajua inauma kias gan kushare Mke /mume na ndo mtajua why wanawake wengne hawapend waume zao waoe wake zaid ya mmoja japo dini zao ninaruhusu
 
Naomba kuuliza je katika uislam mtu anaruhusiwa kutembea na mwanamke nje ya ndoa?.

Kama ni kosa mtu kabla hajaongeza mke wa pili, tatu na nne si anakua amefanya dhambi ya matamanio au dhambi ya kutembea nje ya ndoa. Au ni halali kwake?
Ukimpenda mwanamke kwa lengo la kumuoa shida iko wapi?
 
Huku kwetu Kwamtogole kuna mkazi alioa mke wa ujanani, mke aliyeanza nae katika chumba kimoja. Baada ya vijesenti kuingezeka hatimae aliweza kununua nyumba mtaa ule ule.

Aliikarabati nyumba na upande mmoja aliweka wapangaji. Upande wa pili ilikua sebule na chumba chake. Alimwambia mkewe mimi ninaoa mke atakaa hiki chumba cha tatu.

Mke kishingo upande alikubali, ni mdogo aliingia. Yule mke mkubwa aliishi ule mtaa muda mrefu, majirani wote anawajua.

Baada ya ni mdogo kuingia alikua anawaomba majirani khanga, vitenge na vijora atoe upya. Kwakua ni shost walimletea. Asubuhi aliamka na kufagia uwanja na kijora kipya. Ni mdogo anamuuliza mume wake mbona mimi hujaninunulia kijora?

Mchana mume akiacha 10,000 kwa mke mkubwa anaacha 10,000 kwa mke mdogo. Mke mkubwa nakwenda sokoni ananunua viungo vya pilau japo anapika mchicha. Anamrusha roho bi mdogo vitunguu vibalia chwaaa anaweka mdalasini.
😂😂😂😂Yote hayo kurushana roho..🤣🤣🤣 ukewenza bwana
 
Wanawake nao wapewe haki ya kuolewa na waume wawili ujue wanaume tunapendaga kujiona wafalme sana ww unataka wake wawili ad wanne kisa uliziki na mkeo au sheria za dini zinakuruusu sasa je km mwanamke aliziki na mume wake afanyeje ?

Nazan ni muda sasa dini na desturi ziangaliwe upya wanawake nao wapewe machaguzi km yawanaume af ndo tutajua inauma kias gan kushare Mke /mume na ndo mtajua why wanawake wengne hawapend waume zao waoe wake zaid ya mmoja japo dini zao ninaruhusu
Nasubiri comments za waja 😂😂😂
 
Ifike wakati wanaume tusiumize vichwa kwa vitu vidogo, mke akikubania haki yako ya unyumba usiangaike naye, mpe treatment zake zote za mke na unyumba utapewa na mwanamke mwingine tena utapewa yote.

Kuongeza mke siyo solution, maana ikitokea ukayumba kiuchumi wote wawili utawakosa na hakuna rangi utaacha kuiona.
Kutafuta unyumba nje ya ndoa huo uhuni haurusiwi kwenye dini
 
Back
Top Bottom