Ukiacha kasoro ya Uchawi Wanawake wa Kirangi ni wazuri kuwazidi wa makabila mengine yote hapa Tanzania.

Halafu wana huruma kupitiliza neno NO halipo kwenye kamusi yao ujue kabisa. Usije jinyonga.
 
Nilichoona hapa bro wako ni police, kwanini hakusoma Hadi anapitia vyeo vya chunk vya kozi miezi3?
 
Tanzania hii wanawake ambao ukiwaoa ujue umetafuta presha ni warangi,wairaq(wambulu) na wanyiramba/wanyaturu hao tunawaita ni cha wote kugawa uchi kwao ni jambo la kawaida saana
Nani asiyegawa siku hizi ukinyimwa tambua hajakukubali tu
 
Aisee ila kweli, unakuta demu fulani mbaya afu mchawi!!
 
Picha iko wapi sasa?? Huendaa na sie wengine tukawa tunafanana na Warangii afu hatujijuii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata kwenye uchawi sio?[emoji23][emoji23]
 



Ukiacha vyombo vya moto, Ngamia ndo namna pekee ya kwenda Mwanza kutoka Dar es salaam.
 
Warangi hawakwanguliwi kisimbusi.
Mashemeji tu ndio wasizoee kuja nyumbani Kama umeoa mrangi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…