Ukiacha kasoro ya Uchawi Wanawake wa Kirangi ni wazuri kuwazidi wa makabila mengine yote hapa Tanzania.

Ukiacha kasoro ya Uchawi Wanawake wa Kirangi ni wazuri kuwazidi wa makabila mengine yote hapa Tanzania.

Wasalaam JF,

Kwenye ukweli tuseme kweli tuache mazoea ya kubisha bisha. Wambulu, wamang'ati, Wanyaturu, Wachaga, Wameru, wamasai wameachwa mbali na warangi kwa uzuri, wana rangi, wanashepu, wanatrackoo, wako soft, wanakwanguliwa kisimilo chote hakibaki hata chembe.

Ni hayo ukibisha ni wewe tu

Wadiz
Mm mm mungu Anakuona kwa uliyoyasema juu ya hawa dada zetu sifa zao
 
Picha iko wapi sasa?? Huendaa na sie wengine tukawa tunafanana na Warangii afu hatujijuii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah!
 
Mimi ni Msukuma na kwenye hii ishu ya weupe huniambii kitu [emoji16][emoji16][emoji16]

😂😂😂
Chukua Mwanamke yeyote.
Mhudumie
Apake mafuta mazuri
Aoge atakate
Ale chakula kizuri.
Mvalishe vizuri.
Usimpe Stress alafu uje hapa ufute Kauli.

Wabongo wengi umaskini imewafanya wafubae. Ila siku wakipata Pesa na Maisha mazuri utawashangaa.
 
Wasalaam JF,

Kwenye ukweli tuseme kweli tuache mazoea ya kubisha bisha. Wambulu, wamang'ati, Wanyaturu, Wachaga, Wameru, wamasai wameachwa mbali na warangi kwa uzuri, wana rangi, wanashepu, wanatrackoo, wako soft, wanakwanguliwa kisimilo chote hakibaki hata chembe.

Ni hayo ukibisha ni wewe tu

Wadiz
 
Back
Top Bottom