DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Good questionHivi unadhani semen retention pekee Inatosha?
Kwanini hamtaki watu wat*mban*?
Hivi unadhani semen retention pekee Inatosha?
Kwanini hamtaki watu wat*mban*?
Dr haua land hii semeni retention ni nyeto au..?Kama unatafuta mafanikio au kazi au kusimamisha Empire yako ebu fanya semen retention then utanipa majibu.
TAYARI??Kama unatafuta mafanikio au kazi au kusimamisha Empire yako ebu fanya semen retention then utanipa majibu.
Hebu jazia nyama hapo kwa sperm retention, unaweza ukawa na hoja muhimu afu mi nakubishia tu.Mkuu mambo Kama hayo sio kwa ajili ya kila MTU mfano semen retention ikiwa upo sex driven you can't handle this situation.
Dr haua land hii semeni retention ni nyeto au..?
Sperm retention Ni kutokutoa manii aidha kwa kufanya Mapenzi au kupiga nyeto.Dr haua land hii semeni retention ni nyeto au..?
Dr hii mbona ni ngumu an no nyeto no kulanaHamna mkuu
Semen retention unabadilisha matumizi ya nishati na kuielekeza sehemu Fulani ili ufikie malengo Fulani nikujizuia kufanya ejaculation
Labda egg retention... π π πKwa wanawake wao wafanye nini retention?
Weeeeh hii hatareee mkuu ..Sperm retention Ni kutokutoa manii aidha kwa kufanya Mapenzi au kupiga nyeto.
Ahahahahah wee kuwezaLabda egg retention... π π π
Akija bila gadi unagawa wastani kwa idadiMtu akizungumzia mambo ya Semen Retention na bra bra nyingine namchukulia kama motivation speaker tu.
Ukiwa kijana unaetafuta mafanikio wewe TIA ila tafuta namna ya kupunguza gharama za ku TIA , Kufanya mapenzi kwa wastani kuna faida nyingi kuliko mambo ya Semen retention.
Kweli kabisa kijana...unaepuka na magonjwa ya tezi dume...Mtu akizungumzia mambo ya Semen Retention na bra bra nyingine namchukulia kama motivation speaker tu.
Ukiwa kijana unaetafuta mafanikio wewe TIA ila tafuta namna ya kupunguza gharama za ku TIA , Kufanya mapenzi kwa wastani kuna faida nyingi kuliko mambo ya Semen retention.